Kama ilipo Israel siyo Israel, Wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia walikuwa wanaishi wapi?

Pia ukienda kwenye Taurati ukaisoma vizuri utaona Nabii Ibrahim alichukua ruhusa kutoka kwa nani ? Kutoka kwa
Abi Malik, King of the Philistines( We gave permission to Abraham) This is your Torah
Hiyo Torat inapatikana wapi ili tuisome?

Na Kwa mujibu wa maelezo yako kwa ivo Kuna tofauti kati ya Wayahudi na wapalestina?
 
Hiyo Torat inapatikana wapi ili tuisome?

Na Kwa mujibu wa maelezo yako kwa ivo Kuna tofauti kati ya Wayahudi na wapalestina?
Yanini usumbukeee sana nakurahisishia ili usisumbuke sana ili mjue hata bibilia zenu zina kiri hio ni ardhi ya wa Palestine.

Genesis 21:34

34 And Abraham stayed in the land of the Philistines for a long time.

Sa we nitafutie wapi bibilia inasema kuna nchi inaitwa Israel hupati, labda mje na new edition siku za mbele 😄 Afu sijui Mtume yupi anaye waletea toleo jipya, hivi bado kuna Mitume ya Mungu inashuka bada ya Mtume Muhammad!
 
Naona umebaka andiko la watu huko, Uislamu upo very clear ,kuna tofauti katı ya wana wa Israel na mayahudi. Mayahudi ni wana wa israel walioamua kutafuta njia Yao.
 
Yanini usumbukeee sana nakurahisishia ili usisumbuke sana ili mjue hata bibilia zenu zina kiri hio ni ardhi ya wa Palestine.

Genesis 21:34

34 And Abraham stayed in the land of the Philistines for a long time.
Hii ndiyo torati uliyosema?
 
You mind crippled, argue not with sound mind people.

Bad lucky are the parents who begotten such a retarded girl who is rich in nothing than her idiocy.
Huyo ni mjinga Tu ndugu yangu hakuna haja ya kubishana na MTU mpumbavu, sikuhizi hii JF iimegeuka sehemu ya mipasho na kuna wajinga wengi Sana
 
Wafilisti sio Wapalestina.....
 
Yasser Arafat kafa Hospitali Ufaransa, akiwa na miaka 75, amekuwa assassinated na waarabu? Nyie pro Israel uongo ni jadi yenu. Sababu Waisrael wamemuua Yizack mnaforce na wapalestina nao waonekane wapo hivyo hivyo.
 
Kwa hiyo mkuu hao wahafidhina wasiotaka suluhisho la mataifa mawili wana nguvu sana kuliko madola makubwa ya Dunia (Marekani) ndio maana mpaka Leo hakuna amani ya kudumu?
 
Hapa haizungumziwi Dini. Linazungumziwa Taífa la Wayahudi àmbao Zamani waligawanyika katika kingdom Mbili kingdom of Judah na Israel
Nimemuambia kuna dini kabisa lakin kuna watu wa hiyo race. Mi nina mzee tumetoka kumzika juz kati alikuwa Judaism ingawaje hakuwa myahudi.
 
Huo Mwaka 1948 hakukuwa na nchi zote za Afrika
Lakini Waafrika walikuwepo.

Tanzania haikuwepo 1948
Siyo kweli, unaonesha historia iliku[piga changa. nchi za SAfrika zipo na zilikuwepo labda una mbie Tanania haikuwepo, ilikuwepo Tanganyika, na kabla ya Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar, kabla ya Zanzibar ilikuwa Zenjbar. Kabla ya hapo unajuwa iliitwaje? Au nikupe darsa?
 
Wayahudi uamini wao wakifa wanaenda mbinguni moja kwa moja .na wavaa kobazi i uamini wao wakifa ni ufungo wa kwenda kula bata
 
Biblia imesheheni extensive details kuhusu taifa la Israeli, kwa nini una refer Quran iliyokuja more than 500 years tena kupitia jamii ya kiarabu wakati kwenye vitabu vya SAMWELI, WAFALME na vingine ndani ya Biblia vina historia kubwa kuhusu Israeli?

Content ya Quran nzima ina ujazo karibu sawa na kitabu cha Zaburi peke yake, haiwezi kuwa na details nyingi kwenye hili.

Just a question to you why Quran and not the Bible?
 
haikuwepo nchi inayoitwa "israel" Suleiman na Daud walitokea Misri, kasome vizuri historia yako.

Nukuu maandiko yako kama u mkweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…