Kama ilivyoanzishwa kampeni ya kujenga Shule za kata sasa tuanzishe kampeni ya kupanga miji na maeneo yetu!

Kama ilivyoanzishwa kampeni ya kujenga Shule za kata sasa tuanzishe kampeni ya kupanga miji na maeneo yetu!

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nilichojifunza hapa Tanzania, ukidhamiria kufanya jambo fulani, ukalipa jitihada za kutosha na fedha , lazima jambo hilo lifanikiwe.

Kwenye moja ya sehemu ambayo kwa macho yangu nimeshuhudia hilo ni ujenzi wa madarasa zaidi ya 12,000 tena kwa viwango vizuri sana uliofanyika kipindi hiki cha Awamu ya Sita. Ndani ya miezi 3 tu, taifa limeshuhudia operesheni yenye mafanikio zaidi ya asilimia 95 ya ujenzi wa madaraka kwa ajiri ya watoto wetu kwenye viwango vya juu kabisa vya ubora!

Moja ya maeneo ambayo kwa Awamu zote 5 za nyuma Taifa hili tumekwama ni suala la kupima na kupanga miji na maeneo yetu

Jambo hili limekuwa likifanya Taifa letu kuonekana la hovyo kutokana na watu kujilimia na kujenga hovyo kila kukicha!

Leo hii ukitoka Manyara kwenda Arusha maeneo ya Tarangire unashuhudia ujenzi holela wa nyumba hadi kwenye eneo ambalo ndo yalikuwa mapito ya wanyama. Kilimo pia kinafanyika kwa kasi kwenye maeneo haya.

Leo hii ukienda Mwanza, Iringa, Mbeya, Kilimanjaro, Songwe, Tanga, Dar es Salaam, Morogoro na mikoa mingi unaona Jinsi watu wanavyozidi kujenga kila siku bila mpangilio, Wengine wanajenga hadi maeneo ya hifadhi jambo litakaloleta hatari kubwa sana huko mbeleni maana kwa Jinsi watu wanavyozidi kuongezeka Tanzania, itafika wakati Taifa zima litakuwa squatters

Naomba serikali ya Awamu ya 6 ijiondoe kwenye dhambi hii! Watanzania wa sasa wana uwezo wa kujenga nyumba Nzuri tena sana na hili limeonekana hadi maeneo ya Dodoma yaliyopangwa na kupimwa vizuri. Kinachotakiwa kufanyika kuanzia sasa ni Serikali kuweka nguvu kubwa sana kwenye kupima na kuyapanga, maeneo yote na miji yote ya nchi hii na Kuhakikisha kila sehemu inaendelezwa na kulimwa kimpangilio.

Hakuna gharama kwenye kupima na kupanga miji yetu na Tanzania nzuri Kama Dubai , Texas, New York inawezekana

Naomba kuwasilisha!
 
Nilichojifunza hapa Tanzania, ukidhamiria kufanya jambo fulani, ukalipa jitihada za kutosha na fedha , lazima jambo hilo lifanikiwe.

Kwenye moja ya sehemu ambayo kwa macho yangu nimeshuhudia hilo ni ujenzi wa madarasa zaidi ya 12,000 tena kwa viwango vizuri sana uliofanyika kipindi hiki cha Awamu ya Sita. Ndani ya miezi 3 tu, taifa limeshuhudia operesheni yenye mafanikio zaidi ya asilimia 95 ya ujenzi wa madaraka kwa ajiri ya watoto wetu kwenye viwango vya juu kabisa vya ubora!

Moja ya maeneo ambayo kwa Awamu zote 5 za nyuma Taifa hili tumekwama ni suala la kupima na kupanga miji na maeneo yetu

Jambo hili limekuwa likifanya Taifa letu kuonekana la hovyo kutokana na watu kujilimia na kujenga hovyo kila kukicha!

Leo hii ukitoka Manyara kwenda Arusha maeneo ya Tarangire unashuhudia ujenzi holela wa nyumba hadi kwenye eneo ambalo ndo yalikuwa mapito ya wanyama. Kilimo pia kinafanyika kwa kasi kwenye maeneo haya.

Leo hii ukienda Mwanza, Iringa, Mbeya, Kilimanjaro, Songwe, Tanga, Dar es Salaam, Morogoro na mikoa mingi unaona Jinsi watu wanavyozidi kujenga kila siku bila mpangilio, Wengine wanajenga hadi maeneo ya hifadhi jambo litakaloleta hatari kubwa sana huko mbeleni maana kwa Jinsi watu wanavyozidi kuongezeka Tanzania, itafika wakati Taifa zima litakuwa squatters

Naomba serikali ya Awamu ya 6 ijiondoe kwenye dhambi hii! Watanzania wa sasa wana uwezo wa kujenga nyumba Nzuri tena sana na hili limeonekana hadi maeneo ya Dodoma yaliyopangwa na kupimwa vizuri. Kinachotakiwa kufanyika kuanzia sasa ni Serikali kuweka nguvu kubwa sana kwenye kupima na kuyapanga, maeneo yote na miji yote ya nchi hii na Kuhakikisha kila sehemu inaendelezwa na kulimwa kimpangilio.

Hakuna gharama kwenye kupima na kupanga miji yetu na Tanzania nzuri Kama Dubai , Texas, New York inawezekana

Naomba kuwasilisha!
Kiukweli miji mingi Tanzania haijapangwa vizuri..ni muda serikali iweke nguvu huku..tuipange miji yetu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wazo zuri kwa Jumamosi ya leo. Unapita sehemu eneo lina tambarare nzuri na miinuko mizuri ya kuvutia, baada ya miaka 2 unakuta watu wamjenga hovyo kama mkusanyiko wa Kariakoo. Panaharibika na panashuka thamani.
Wataalamu wapo ofisini wana A za kwenye vyeti, kwenye application wana negative F.
 
Nilichojifunza hapa Tanzania, ukidhamiria kufanya jambo fulani, ukalipa jitihada za kutosha na fedha , lazima jambo hilo lifanikiwe.

Kwenye moja ya sehemu ambayo kwa macho yangu nimeshuhudia hilo ni ujenzi wa madarasa zaidi ya 12,000 tena kwa viwango vizuri sana uliofanyika kipindi hiki cha Awamu ya Sita. Ndani ya miezi 3 tu, taifa limeshuhudia operesheni yenye mafanikio zaidi ya asilimia 95 ya ujenzi wa madaraka kwa ajiri ya watoto wetu kwenye viwango vya juu kabisa vya ubora!

Moja ya maeneo ambayo kwa Awamu zote 5 za nyuma Taifa hili tumekwama ni suala la kupima na kupanga miji na maeneo yetu

Jambo hili limekuwa likifanya Taifa letu kuonekana la hovyo kutokana na watu kujilimia na kujenga hovyo kila kukicha!

Leo hii ukitoka Manyara kwenda Arusha maeneo ya Tarangire unashuhudia ujenzi holela wa nyumba hadi kwenye eneo ambalo ndo yalikuwa mapito ya wanyama. Kilimo pia kinafanyika kwa kasi kwenye maeneo haya.

Leo hii ukienda Mwanza, Iringa, Mbeya, Kilimanjaro, Songwe, Tanga, Dar es Salaam, Morogoro na mikoa mingi unaona Jinsi watu wanavyozidi kujenga kila siku bila mpangilio, Wengine wanajenga hadi maeneo ya hifadhi jambo litakaloleta hatari kubwa sana huko mbeleni maana kwa Jinsi watu wanavyozidi kuongezeka Tanzania, itafika wakati Taifa zima litakuwa squatters

Naomba serikali ya Awamu ya 6 ijiondoe kwenye dhambi hii! Watanzania wa sasa wana uwezo wa kujenga nyumba Nzuri tena sana na hili limeonekana hadi maeneo ya Dodoma yaliyopangwa na kupimwa vizuri. Kinachotakiwa kufanyika kuanzia sasa ni Serikali kuweka nguvu kubwa sana kwenye kupima na kuyapanga, maeneo yote na miji yote ya nchi hii na Kuhakikisha kila sehemu inaendelezwa na kulimwa kimpangilio.

Hakuna gharama kwenye kupima na kupanga miji yetu na Tanzania nzuri Kama Dubai , Texas, New York inawezekana

Naomba kuwasilisha!
hizo shule hazina walimu . kwanza muanze na kampeni za walimu
 
Laiti kama wangekusikia, makazi holela kila mahali na maeneo mengine serikali ilikuwa na uwezo wa kuyapima kabla ya ujenzi holela.

Hapo uliposema karibu na tarangire ile ni corridor ya wanyama kutoka manyara-tarangire, sasa hivi ujenzi umeshamiri na kilimo cha mahindi!

Nikiangalia Dom huwa najisemea bora ile CDA ingeachwa iboreshwe,hivi watu wa mipango miji kazi zao huwa ni zipi? nchi hii.......
 
Wazo zuri kwa Jumamosi ya leo. Unapita sehemu eneo lina tambarare nzuri na miinuko mizuri ya kuvutia, baada ya miaka 2 unakuta watu wamjenga hovyo kama mkusanyiko wa Kariakoo. Panaharibika na panashuka thamani.
Wataalamu wapo ofisini wana A za kwenye vyeti, kwenye application wana negative F.
Maeneo yote nchi Hii ni vurugu tupu. Niko Mwanza saivi! Hadi nasikia kichefuchefu kwa huu ujenzi holela
 
Laiti kama wangekusikia, makazi holela kila mahali na maeneo mengine serikali ilikuwa na uwezo wa kuyapima kabla ya ujenzi holela.

Hapo uliposema karibu na tarangire ile ni corridor ya wanyama kutoka manyara-tarangire, sasa hivi ujenzi umeshamiri na kilimo cha mahindi!

Nikiangalia Dom huwa najisemea bora ile CDA ingeachwa iboreshwe,hivi watu wa mipango miji kazi zao huwa ni zipi? nchi hii.......
Hilo swali unalojiuliza ndilo ninaojiuliza mie!

Sijui kama huwa hata wanajiuliza Kama kazi zao ni sawa na kazi za wananchi wa nchi zingine wanaojielewa
 
Aliyejenga Shule za Kata ni Mkapa (RIP) aliyeanza kutengeneza Miji yetu ni Magu (RIP), Waziri mzuri wa Ardhi katolewa kawekwa Ridhwani Kikwete, anajua nini kuhusu mipango miji wakati wao ndio wanaoongoza kujenga bila vibali na sehemu zisizoruhusiwa ? Huyu raisi wa sasa hata Dodoma yenyewe hakai ni kama kaipotezea, unategemea nini ? Wanataka watu zaidi ya milioni 45 wote waje kuishi Dar kwenye Square km 1 500 ?

Dodoma was a good idea, tungejenga mji wa mfano makosa tuliofanya Dar tungejaribu kuyarekebisha lkn tuna Kiongozi ambaye eti mgeni akija Tanzania ni lazima aje Dar kwa nini ? Kwa nini asikae Dodoma na wamfwate huko? Wewe ni mwenyeji halafu mgeni anaamua wapi akutane na wewe ?

Bila ya Magu na Lukuvi leo hii hat Coco beach ingekuwa yote imeshauzwa na kujengwa, huu uongozi wa sasa ni failure from get go!
 
Nilichojifunza hapa Tanzania, ukidhamiria kufanya jambo fulani, ukalipa jitihada za kutosha na fedha , lazima jambo hilo lifanikiwe.

Kwenye moja ya sehemu ambayo kwa macho yangu nimeshuhudia hilo ni ujenzi wa madarasa zaidi ya 12,000 tena kwa viwango vizuri sana uliofanyika kipindi hiki cha Awamu ya Sita. Ndani ya miezi 3 tu, taifa limeshuhudia operesheni yenye mafanikio zaidi ya asilimia 95 ya ujenzi wa madaraka kwa ajiri ya watoto wetu kwenye viwango vya juu kabisa vya ubora!

Moja ya maeneo ambayo kwa Awamu zote 5 za nyuma Taifa hili tumekwama ni suala la kupima na kupanga miji na maeneo yetu

Jambo hili limekuwa likifanya Taifa letu kuonekana la hovyo kutokana na watu kujilimia na kujenga hovyo kila kukicha!

Leo hii ukitoka Manyara kwenda Arusha maeneo ya Tarangire unashuhudia ujenzi holela wa nyumba hadi kwenye eneo ambalo ndo yalikuwa mapito ya wanyama. Kilimo pia kinafanyika kwa kasi kwenye maeneo haya.

Leo hii ukienda Mwanza, Iringa, Mbeya, Kilimanjaro, Songwe, Tanga, Dar es Salaam, Morogoro na mikoa mingi unaona Jinsi watu wanavyozidi kujenga kila siku bila mpangilio, Wengine wanajenga hadi maeneo ya hifadhi jambo litakaloleta hatari kubwa sana huko mbeleni maana kwa Jinsi watu wanavyozidi kuongezeka Tanzania, itafika wakati Taifa zima litakuwa squatters

Naomba serikali ya Awamu ya 6 ijiondoe kwenye dhambi hii! Watanzania wa sasa wana uwezo wa kujenga nyumba Nzuri tena sana na hili limeonekana hadi maeneo ya Dodoma yaliyopangwa na kupimwa vizuri. Kinachotakiwa kufanyika kuanzia sasa ni Serikali kuweka nguvu kubwa sana kwenye kupima na kuyapanga, maeneo yote na miji yote ya nchi hii na Kuhakikisha kila sehemu inaendelezwa na kulimwa kimpangilio.

Hakuna gharama kwenye kupima na kupanga miji yetu na Tanzania nzuri Kama Dubai , Texas, New York inawezekana

Naomba kuwasilisha!
Tumeshindwa vibaya mno kwenye hili.
 
Aliyejenga Shule za Kata ni Mkapa (RIP) aliyeanza kutengeneza Miji yetu ni Magu (RIP), Waziri mzuri wa Ardhi katolewa kawekwa Ridhwani Kikwete, anajua nini kuhusu mipango miji wakati wao ndio wanaoongoza kujenga bila vibali na sehemu zisizoruhusiwa ? Huyu raisi wa sasa hata Dodoma yenyewe hakai ni kama kaipotezea, unategemea nini ? Wanataka watu zaidi ya milioni 45 wote waje kuishi Dar kwenye Square km 1 500 ?

Dodoma was a good idea, tungejenga mji wa mfano makosa tuliofanya Dar tungejaribu kuyarekebisha lkn tuna Kiongozi ambaye eti mgeni akija Tanzania ni lazima aje Dar kwa nini ? Kwa nini asikae Dodoma na wamfwate huko? Wewe ni mwenyeji halafu mgeni anaamua wapi akutane na wewe ?

Bila ya Magu na Lukuvi leo hii hat Coco beach ingekuwa yote imeshauzwa na kujengwa, huu uongozi wa sasa ni failure from get go!
Kigamboni viwanja vilipimwa kipindi cha Magufuli? Chanika Buyuni viwanja vilipimwa kipindi cha magufuli?

Acha chuki! Jenga hoja
 
Kigamboni viwanja vilipimwa kipindi cha Magufuli? Chanika Buyuni viwanja vilipimwa kipindi cha magufuli?

Acha chuki! Jenga hoja

Kwa hiyo unaamini kabisa Waziri wa Ardhi Ridhwani Kikwete yuko kwa ajili ya na ana uwezo wa kusimamia mipango miji ?
 
Back
Top Bottom