Kama ilivyokuwa kwa Diamond Platnumz, Joti naye achukuliwe hatua...

Kama bodi ya Filamu wameipitidha wewe ni nani hadi uiponde?
 
Mkuu kuna video moja joti alishawahi kuigiza kama muislamu anaekula kitimoto lakini akatumia jina Joseph, kwanini ile video ilifutwa youtube ikiwa mlaji wa kitimoto sio shabani ila ni joseph? Jibu utapata ni kua alidhalilisha imani isiyo yake.
 
Acheni uchonganishi na malumbano ya kiimani. Mungu wetu ni mmoja kwanini tukanyagane?
Aliekwambia Mungu ni mmoja nan mzee?!Mungu wa kikristo katupa njia ya kweli na uzima Kupitia Yesu,waslam wamepewa Mtume Muhammad na pepo yao kila mwanaume atapewa wanawake 72,Huez kuwa na Mungu mmoja atakaewapa dini tofaut huku akiona watu wakiuana na kuchukuana cos ya hizi dini zake afu tunaambiwa Mungu wetu ni wa upendo[emoji419]
 
Ahueni na nyinyi sasa mtapitia maumivu kama tunayopitia sisi pale ndugu zenu wanapoleta masihara katika imani yetu.

Ikiwapendeza, mchomeni tu moto kwa kuikashifu dini yenu ya haki.
Hivi kuna watu bado mnaumizwa na mambo ya dini sijui huyu anadharirisha dini yetu cjui nn
 
Joti naona ana promote San ushoga maana miaka ya nyuma ashawahi toa tangazo la tigo akiwa amevaa wigi lenye rangi za kuhamasishwa mapenzi ya jinsia moja
Mzee unafuatilia sana haya mambo ee?
 
Hii nchi bado Sana kupewa Uhuru, thinking capacity za wengi ziko below average,,itabidi tumuombe Mchina aitawale kwa miaka mingine 30.
 
Naona sheikh wa mkoa hajaiona
Sheikh Alhad pitia kwa jtv [emoji1787][emoji1787][emoji2]
 
Hizi dini ni tatizo,, kila kitu kinajdiliwa kwa chuki
 
Hapa Jot ameeigina kama mwanamke na sio kama Shoga! Tuache kukurupuka. KIBOGA Binti Mbaruku
 
Hii nchi bado Sana kupewa Uhuru, thinking capacity za wengi ziko below average,,itabidi tumuombe Mchina aitawale kwa miaka mingine 30.
dunia ya sasa imebadilika, ulimwengu huu umejaa machafu ya kila aina,ushoga ndo fashion mpya worse enough wanatumiwa watu maarufu kama wasanii, wachezaji,waigizaji ambao ni vipenzi vya mashabiki ili iwe rahsi kufiksha ujumbe
 
Sioni Kosa lolote hapo kwa Joti na ukiona Umekwazika na Jambo fulani jua Sindano imefika Mfupani. Hongera mno Joti kwa Ulichokifanya.
π™·πšŠπšπšŠ πš–πš’πš–πš’ πšœπš’πš˜πš—πš’ πš”πš˜πšœπšŠ πš•πšŠπš”πšŽ πš‘πš’πš’πš˜ πšœπš’πš˜ πš—πšπš˜πšŠ 𝚒𝚊 πš“πš’πš—πšœπš’πšŠ πš–πš˜πš“πšŠ
 
Diamond kadhalilisha imani ya watu haijapita hata muda Joti anarudisha goli la kusawazisha ngoma dro moja moja mchezo unaendelea

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mbavu zangu mie.
 
Acha uongoo ni dhambii kabisaa acha uongoo hujui kitu funga bakuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…