Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama na wewe unajiona GT kwa kuandika matapishi humu basi hili neno GT labda liwe lilibadilishwa maana,😂😂😂😂 Kumbe wewe kiazi upo kidini zaidi.
Mi nikajua najibizana na GT mwenzangu kumbe wewe ushalishwa matangopori na na viongozi wako wa kidini ambao wana akili za kipumbavu kama zako.
Sasa tuliza bichwa hilo kijana, hapo huyo bwan mdogo kaigiza tu wala sio uhalisia, kuhusu diamond tafuta comment yangu kama nilicomment chochote kuhusu hiyo kitu usiwe unakurupuka kuattack watu tu hovyo.
Sio kila anaesema haoni cha ajabu pale basi ni mkristo, na sio kila anaesema achukuliwe hatua za kisheria basi ni muislam, na sio waislam wote wana akili za kipopoma kama zako.
Hufai hata kua kiongozi wa familia wewe, omba Mungu akupe mke mwenye akili zaidi yako, la sivyo kizazi chako kitaangamia.
😃😃😃 Ujumbe gani ulioutoa hapo??Kama na wewe unajiona GT kwa kuandika matapishi humu basi hili neno GT labda liwe lilibadilishwa maana,
Umebeba kichwa ili kutenganisha masikio yako tu badala ya kukitumia kufikiri,
Najua ujumbe wangu umekuingia kisawa sawa,kilichobaki nakuona unaruka ruka tu hovyo kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla.
Sasa si ngoma dro kuna shida tenaIla Diamond kuimbia Kanisani ilikua sio kukuza mambo kwa kulalamika kwenu? Ule pia ni wimbo tu na sio uhalisia ila mbona mlitokwa povu?
Kwa akili hizi bora uongozi wa Jf walivyoondoa neno la "Home of great thinker" yaani unachukulia ushabiki kama mambo ya Simba na Yanga eti "Joti kasawazisha ngoma droo" 😂😂😂😆 kwa hiyo mtu aibaka mtoto wa mtu na basi inapaswa na yeye atoe chambo mtoto wake akafanyiwe kitendo kile ili ngoma isawazishwe iwe droo ?Diamond kadhalilisha imani ya watu haijapita hata muda Joti anarudisha goli la kusawazisha ngoma dro moja moja mchezo unaendelea
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nyie si mlifurahia sasa hapo mnaonaje na wengine wakifurahia.Kwa akili hizi bora uongozi wa Jf walivyoondoa neno la "Home of great thinker" yaani unachukulia ushabiki kama mambo ya Simba na Yanga eti "Joti kasawazisha ngoma droo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38] kwa hiyo mtu aibaka mtoto wa mtu na basi inapaswa na yeye atoe chambo mtoto wake akafanyiwe kitendo kile ili ngoma isawazishwe iwe droo ?
Elimu yako ni ipi mzee?Huu Ni udhalilishaji dhidi ya uislam,
Waislam hawana utaratibu wa ndoa za jinsia moja.
Hii Ni kesi Kubwa,
Asipokua Makin itamsumbua sana joti
Binti naona umeishia kujichekesha chekesha hovyo tu,hii si dalili nzuri kua makini.😃😃😃 Ujumbe gani ulioutoa hapo??
Hizi dini usipokua makini unakua mfuasi kiazi kama ulivyo wewe!!.
Waislam wenye akili hawawezi kasirika kwa hicho kitu coz wanaelewa ni ujumbe gani joti alikua anauwasilisha, ila wewe ambae hata huswali, unafunga kama fashion, huendi msikitini(hata leo hujaenda) ndo unaleta maksiriko hapa😃😃.
Ulaya mbali, anza na Zanzibar na MombasaMkuu hao "Wavaa vimini" hayo masuala ya ndoa za jinsia moja ndio wanayoyapenda.
Ulaya makanisa yameshaidhinisha ushoga.
Ndoa za kiislamu hazifungwi mpaka muoaji na muolewaji waulizwe kama wameridhika,Kwa nilivyoitazama, Joti ameigiza kama Mwanamke na hakuigiza kama Dada poa. Ni mwanamke ambae amelazimisha Ndoa kwa Udi na Uvumba ili aondoe mkosi, kwasababu mpaka kufikia Umri wa miaka Arobaini na tano (45) alikuwa bado hajaolewa.
Na hakutaka kuvuka mipaka kufikia kwenye Dua amewazuia waliomuozesha kumuombea Dua, bila shaka kama angeombewa Dua ingeonekana kama angejeruhi hisia za watu na alichokifanya akawapigia mruzi watu wake wa Baikoko aliokuwa amewaandaa kwa ajili ya Sherehe za Harusi yake.
Ni maigizo tu, na lengo wala si kukashifu Imani ya mtu yoyote yule.
Kwa msioitazama hiyo Video, hebu itazameni yote hadi mwisho halafu mtaona ni tofauti sana na jinsi Mada ilivyowasilishwa
Walishakutoa marinda?Watoto wa mnyaazi hua hamko timamu kichwani
Unaweza kukuta na wewe una familia na inakutegemea! Au kuna watoto eti wanakuita Baba!Diamond kadhalilisha imani ya watu haijapita hata muda Joti anarudisha goli la kusawazisha ngoma dro moja moja mchezo unaendelea
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa vizuri sana.Ndoa za kiislamu hazifungwi mpaka muoaji na muolewaji waulizwe kama wameridhika,
Ukiangalia hiyo clip mwanaume analazimishwa na Joti kuoa! Tena anapigwa ili akubali kuoa! Kitendo ambacho kwenye uislamu sio hivyo,
Kama walivyodai humu kwanini Diamond aliimbia Kanisani nae sio mkristo? Sasa kwanini na Joti hakufungishwa ndoa kwa imani ya dini yake ya kikristo?