Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mungu wenu ni mmoja wewe na akina nani???????????????Acheni uchonganishi na malumbano ya kiimani. Mungu wetu ni mmoja kwanini tukanyagane?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wenu ni mmoja wewe na akina nani???????????????Acheni uchonganishi na malumbano ya kiimani. Mungu wetu ni mmoja kwanini tukanyagane?
Mimi na akina nyaniMungu wenu ni mmoja wewe na akina nani???????????????
Binti mbaruku..sisi tulisubsribe Joti tv kila ijumaa asilete zake,Mbona haina shida na wewe, kwani joti kaanza leo kuigiza km mwanamke.
Yule ni kiboga bint mbaruk sio joti elewa script.
Huyu jamaa ni walewale wa jinsia moja.kwani humjui huyu!??Popama kuna wakati jaribu kuficha ujinga wako sio kila mda kujitoa ufahamu
Kama ulichukizwa na kitendo alichikifanya diamond kwenye nyimbo yake inatakiwa usimame wa kukemea na hapa pia ,kama hauoni tatizo basi tukibaliane nyimbo ya diamond Haina tatizo.Sioni Kosa lolote hapo kwa Joti na ukiona Umekwazika na Jambo fulani jua Sindano imefika Mfupani. Hongera mno Joti kwa Ulichokifanya.
Suala sio kuigiza kama mwanamke Hilo waislamu walisha liongea Kuna sheikh alimpa ushauri joti miaka ya nyumba kuwa sio vizuri mwanaume kujifananisha na mwanamke lkn hayo ni maisha yake binafsi aliyochagua mbona Kuna yule dogo dulivan anaigiza kama mwanamke na ni muislamu lkn waislamu hawajatoa makasiriko zaidi ya kumuusia kwamba kidini haifai.Hivi joti huwa anaigiza kama shoga linalovaa nguo za kike?? Au anaigiza kama mwanamke?? Kama anaigiza kama shoga basi waislam wanapaswa kumkaripia hapa.
Lakini Kama huwa anajifanya mwanamke basi hamna shida na tusimsumbue joti eti kisa amekosa nyeti za kike.
Ni sawa tu na mtu anapoigiza daktari, kwahyo bodi ya madaktari imshukie mtu aliyeigiza daktari kwakuwa hana vyeti?
Ila Diamond kuimbia Kanisani ilikua sio kukuza mambo kwa kulalamika kwenu? Ule pia ni wimbo tu na sio uhalisia ila mbona mlitokwa povu?Nafikiri kuna kukuza tu haya mambo, Joti hapo ameigiza kama mwanamke na wala sio shoga aliyevaa nguo za kike!
Ndugu Icebreaker ni vyema ukaepuka kujumlisha mambo...mimi sikutoa maoni yangu kuhusu wimbo wa Diamond katika mandhari ya kanisa, na ukifuatilia michango yangu humu JF hasa inayohusiana na dini utaelewa kuwa mimi sio wa imani unayoninasibisha nayo! vinginevyo uelewe tu kuwa huo ni mtazamo wangu kama binadamu wa kawaida na wala hauna uhusiano na imani yangu ya dini!Ila Diamond kuimbia Kanisani ilikua sio kukuza mambo kwa kulalamika kwenu? Ule pia ni wimbo tu na sio uhalisia ila mbona mlitokwa povu?
We jamaa ndio maana ule mchepuko unakuchezesha kadanse sasa hapo kosa liko wapi au huoni kama joti ameigiza kama mwanamke hapo?Huu Ni udhalilishaji dhidi ya uislam,
Waislam hawana utaratibu wa ndoa za jinsia moja.
Hii Ni kesi Kubwa,
Asipokua Makin itamsumbua sana joti
Wewe kweli ni hamnazo,akili zako umeamua kuziweka kwenye mfuko wa shati na kutembea na kichwa tu ili kukamilisha kiwiliwili,Pale wameigiza ndoa ya jinsia moja??
Mbona unakua mbumbumbu ndgu yako. Wewe mwenyewe umesema "issue ni KUIGIZA", hivi unajua maana ya kuigiza??
Wale jamaa ni mashekhe kweli?? Mbona hujataka uhalali wa wale wanaogungisha hiyo ndoa kama ni waislamu kweli au lah??
WANAIGIZA sio kweli ila WANAIGIZA sijui unaelewa maana ya kuigiza??
Sijaona sehemu yoyote walipo kashifu Dini ya mnyanzi MunguWakuu salaam,
Siku kadhaa zilizopita msanii Diamond alifungiwa wimbo wake kwa maelezo kwamba unadharirisha imani ya watu fulani. Watu walienda mbali zaidi wakasema jamaa kwanza ni muislamu hivyo ule wimbo angerekodia kwenye mazingira yanayomhusu na sio kanisani.
Sasa leo Joti kaachia kazi yake ya sanaa ambayo pia inadharirisha imani fulani. Kwamba anachodepict kwenye hii video ni kwamba uislamu unaozesha watu wa jinsia moja.
Joti anafahamu kabisa kua katika uislamu kujifananisha na jinsia tofauti ni kosa na hairuhusiwi (wakati akiwa orijino komedi walienda kwa sheikh wa mkoa sheikh alhad akawaambia hilo suala). Na pia Joti yeye ni mkristo so hiyo video angeenda kurekodia kanisani.