The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hata Diamond kuimbia kanisani pia ilikua ni maigizo tu haikua uhalisia,Nimekuelewa vizuri sana.
Kwa pale ni maigizo tu, sijaona sababu kwa baadhi ya walioguswa walichukulie hili kama vile imekashifiwa imani ya mtu
Sasa mbona wagalatia walitokwa povu? Au kunya anya Kuku akinya Bata kaharisha?