Kama Iran hawakumuelewa Netanyahu, Walitakiwa kumuelewa rais wao mstaafu Mahmoud Ahmadinejad. Israel iko kila kona Iran

Kama Iran hawakumuelewa Netanyahu, Walitakiwa kumuelewa rais wao mstaafu Mahmoud Ahmadinejad. Israel iko kila kona Iran

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.

Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video amzoom ili kumficha mikoni, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
 
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video qmzoom ili kumficha, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
Jambo ambalo Iran hawajui ila wewe wa mbagara unalijua au sio?
 
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video qmzoom ili kumficha, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
Ushabiki wa kiimani unawasumbua, unataka kusema Isreal inauwezo kupita Russia au US?
 
Ushabiki wa kiimani unawasumbua, unataka kusema Isreal inauwezo kupita Russia au US?
Huu sio ushabiki wa kiimani, maana israel sio taifa la kiimani ni taifa la kisiasa na mambo yao hayana uhusiano na imani maana 70% ya waisrael ni Atheists hawaamini uwepo wa Mungu. Hata Muasisi au baba wa taifa hilo David Ben Gulion alikuwa Athiest (Haamini Mungu).

Tujadili kijamii tu.
 
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video qmzoom ili kumficha, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana
 
Nakwambiaje huyo Israel hata tumpe kambi kabisa ya kwake Mossad mule Tehran alale sebuleni kwa Ayatollah siku akigusa maslahi ya Irani atafuatwa tu. Wao hawaangalii unafika wapi ni umefanya nini? Na sasa hivi Irani amesema ujinga wowote utakaofanywa miundo mbinu yote anafagia mpaka mahospitali, alafu kumwambia Marekani akileta upuuzi kambi zake halali ya wahuni pale mido east
 
Nakwambiaje huyo Israel hata tumpe kambi kabisa ya kwake Mossad mule Tehran alale sebuleni kwa Ayatollah siku akigusa maslahi ya Irani atafuatwa tu. Wao hawaangalii unafika wapi ni umefanya nini? Na sasa hivi Irani amesema ujinga wowote utakaofanywa miundo mbinu yote anafagia mpaka mahospitali, alafu kumwambia Marekani akileta upuuzi kambi zake halali ya wahuni pale mido east
Muda utaamua
 
beea.jpg
 
Jambo ambalo Iran hawajui ila wewe wa mbagara unalijua au sio?
Hahaaaaaa kwenye hii vita kuna vitu vya kuchekesha sana. Ukisoma comments na threads za wadau utacheka. Kwani kila mtu ni mjuaji.

Kuna waarabu wa Kipatimo nao wanatoa live coverage ya vita na kuna wayebusi wa Keisho nao wanatoa za ndaniiiiii kabisa za yanayoendelea kwenye Ikulu za Palestina, Israel na Iran .

😀😀😀😀😀😀
 
Huu sio ushabiki wa kiimani, maana israel sio taifa la kiimani ni taifa la kisiasa na mambo yao hayana uhusiano na imani maana 70% ya waisrael ni Atheists hawaamini uwepo wa Mungu. Hata Muasisi au baba wa taifa hilo David Ben Gulion alikuwa Athiest (Haamini Mungu).

Tujadili kijamii tu.
Hawaamini kuhusu Mungu ila wanaamini hiyo ardhi wamepewa na Mungu etii ? Au wanachagua yapi ya kuyaamini yanayo wafurahisha na yapi ya kuto yaamini yasiyo wafurahisha ?

Huwa unafuatilia hotuba za Netanyahu anapokuwa anaitetea ardhi ya Israel huwa anatumia nini kuhararisha ushenzi wake ?
 
Huu sio ushabiki wa kiimani, maana israel sio taifa la kiimani ni taifa la kisiasa na mambo yao hayana uhusiano na imani maana 70% ya waisrael ni Atheists hawaamini uwepo wa Mungu. Hata Muasisi au baba wa taifa hilo David Ben Gulion alikuwa Athiest (Haamini Mungu).

Tujadili kijamii tu.
Sijui Ile David Star kwenye bendera yao inawakilisha nini?
Naomba kuelimishwa.
 
Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana
Kumbe hauna akili
 
Hahaaaaaa kwenye hii vita kuna vitu vya kuchekesha sana. Ukisoma comments na threads za wadau utacheka. Kwani kila mtu ni mjuaji.

Kuna waarabu wa Kipatimo nao wanatoa live coverage ya vita na kuna wayebusi wa Keisho nao wanatoa za ndaniiiiii kabisa za yanayoendelea kwenye Ikulu za Palestina, Israel na Iran .

😀😀😀😀😀😀
Na weweunatuletea za ndaani za Waarabu waUmurushaka na Waisrael wa Umurusagamba😁😁😁
 
Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana
Kuna kitabu nilisoma kinazungumzia oparesheni za Mossad hawa jamaa wako njema sana pia ukijumuisha CIA na M16.
Mrusi naye yumo.
 
Back
Top Bottom