Kama Iran hawakumuelewa Netanyahu, Walitakiwa kumuelewa rais wao mstaafu Mahmoud Ahmadinejad. Israel iko kila kona Iran

Kama Iran hawakumuelewa Netanyahu, Walitakiwa kumuelewa rais wao mstaafu Mahmoud Ahmadinejad. Israel iko kila kona Iran

Nakwambiaje huyo Israel hata tumpe kambi kabisa ya kwake Mossad mule Tehran alale sebuleni kwa Ayatollah siku akigusa maslahi ya Irani atafuatwa tu. Wao hawaangalii unafika wapi ni umefanya nini? Na sasa hivi Irani amesema ujinga wowote utakaofanywa miundo mbinu yote anafagia mpaka mahospitali, alafu kumwambia Marekani akileta upuuzi kambi zake halali ya wahuni pale mido east
Acha ushoga wewe@
 
Hapa umeongeza chumvi. Kwa hii kauli huyu mtu haamini Mungu!!?
"
Anyone who doesn't believe in miracles is not a realist."
David Ben-Gurion
Maana ya Miracle kwa huyo jamaa sio miracle ya makanisani au ya kimungu.

Yeye anamaanisha miracle ya kitaaluma.
Mfano ndiye mwandamu aliyefqnya miracle ya kubadili jangwa la negev kuwa bustani za matunda. Kuonyesha kwamba inawezekana yeye mwenyewe alihamishia makazi yake Kibbutz sde Boker
 
Back
Top Bottom