Kama Iran hawakumuelewa Netanyahu, Walitakiwa kumuelewa rais wao mstaafu Mahmoud Ahmadinejad. Israel iko kila kona Iran

Kama Iran hawakumuelewa Netanyahu, Walitakiwa kumuelewa rais wao mstaafu Mahmoud Ahmadinejad. Israel iko kila kona Iran

Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video amzoom ili kumficha mikoni, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
Huyu rais mstaafu huwa namwelewa sana.
 
Nakwambiaje huyo Israel hata tumpe kambi kabisa ya kwake Mossad mule Tehran alale sebuleni kwa Ayatollah siku akigusa maslahi ya Irani atafuatwa tu. Wao hawaangalii unafika wapi ni umefanya nini? Na sasa hivi Irani amesema ujinga wowote utakaofanywa miundo mbinu yote anafagia mpaka mahospitali, alafu kumwambia Marekani akileta upuuzi kambi zake halali ya wahuni pale mido east

Hii ndiyo hatua ambayo italeta utulivu na heshima pale mashariki ya kati. Wakipigana kweli kweli mpaka waseme basi wenyewe, hapo ndiyo utakuwa mwisho wa safari ya vita eneo lote hili.
 
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video amzoom ili kumficha mikoni, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
Iran sio Tanzania kuwa watu elfu moja (1000) wanatawanywa na askari wa 3 , wako tayari kwa lolote wale
 
Hahaaaaaa kwenye hii vita kuna vitu vya kuchekesha sana. Ukisoma comments na threads za wadau utacheka. Kwani kila mtu ni mjuaji.

Kuna waarabu wa Kipatimo nao wanatoa live coverage ya vita na kuna wayebusi wa Keisho nao wanatoa za ndaniiiiii kabisa za yanayoendelea kwenye Ikulu za Palestina, Israel na Iran .

😀😀😀😀😀😀

Kwa hiyo ni mnyukano kati ya wagalatia wa igoma na waarabu wa itilima.
Ni balaa.
 
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video amzoom ili kumficha mikoni, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
Mtumishi upo zako buza ushajua iran alipokosea na jinsi gani israel atareact 😂😂
 
Nakwambiaje huyo Israel hata tumpe kambi kabisa ya kwake Mossad mule Tehran alale sebuleni kwa Ayatollah siku akigusa maslahi ya Irani atafuatwa tu. Wao hawaangalii unafika wapi ni umefanya nini? Na sasa hivi Irani amesema ujinga wowote utakaofanywa miundo mbinu yote anafagia mpaka mahospitali, alafu kumwambia Marekani akileta upuuzi kambi zake halali ya wahuni pale mido east
Kile kijirais cha Iran kilichouliwa na Israel hayakuwa maslahi ya Iran? 😂🤣
 
Basi ni kwamba Iran inajua kila mpaka kuuliwa kwa Rais wake ,halafu ishu ya kufa kwa viongozi pale ni kawaida ...Iran karusha mabomu yale kulinda heshima tu basi ili Israel asizidi kumdharau ila alikuwa hana mda wa kulipiza .

Iran analenga sehemu za majeshi sio wananchi wasiokuwa na hatia , usichokijua Utawala wa Iran na israel wote wamekalia kuti kavu ...Netanyhulu analinda kibarua chake kwa shinikizo la wtu la bado kuwa watu wanampinga , vivyo hivyo kwa Iran ndio maana Netanyuhlu anatumia propaganda za kumchafua kiongozi wa Iran ili kuungwa mkono na wairan .

Hii ngoma ni mbichi wale wanamjua israel ....Israel ana nafasi moja tu ya kummaliza Ayatollah ijumaa ijayo maana ataongoza sala kubwa hapo Iran ....Atakuwepo hadharani kumbuka jamaa alishawahi kushambuliwa enzi za urais ndio maana mkono wakee mmmoja haufanyi kazi .....
 
Iran sio Tanzania kuwa watu elfu moja (1000) wanatawanywa na askari wa 3 , wako tayari kwa lolote wale
😂😂😂😂
Kwamba Tanzania askari watatu(3) tu, wanatosha kutawanya raia 1000?

Tutake radhi Watanzania mkongwe!
 
Hahaaaaaa ni mtifuano wa wakaldayo na wakureshi. Kuna mkureshi mmoja anaitwa Ritz sidhani kama anapata muda wa kuswaki. Yeye huwa anatuletea za ndaniii toka Ikulu ya Iran. 😀😀😀😀
Huyo Department imemtengenezea dawa maalumu ya kusukutua anatembea nayo mfukoni muda wote, hana muda wa kuswaki.
 
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video amzoom ili kumficha mikoni, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.

Waisiraeli wa buza mnapougulia ndani kwa ndani baada ya kipigo Cha mbwa koko.

Kwani kwa aliyekuwa akiyafanya huyo ndugu mlipenda Kila mtu akenue tu kama nyie?
 
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.

Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.

Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.

Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video amzoom ili kumficha mikoni, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.

Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.

Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.

Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.


Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.


Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
Sasa kwanini yupo mgongoni mwa USA, UK na NATO?
 
Back
Top Bottom