Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua naitafuta hi post,acha sasa nisiishie hapa.Mpaka Iran anachukua hayo maamuzi anajua nini kitakachofuata.
Securityyy!! Securityyyy! Securityyyy!!!Kumbe hauna akili
Netanyahu juzi amesema mkono wa IDF unafika kila kona Iran.
Nimeangalia interview moja kati ya Rais mtaafu wa Iran Ahmadinejad na CNN -Turk, anathibitisha Mossad wametapakaa kila kona Iran.
Anasema Iran Ilianzisha kikosi maalum cha kijasusi kupambana na Mossads waliojipenyeza Iran. Cha ajabu walikuja kugundua mkuu wa kikosi hicho ni jasusi nguli la Mossad, na wanakikosi zaidi ya 20 nao ni maajent ywa Mossad. Kikosi hiki kilikuwa ni cha hadhi ya juu sana, kilichofanywa vetting ya juu sana.
Hayo waligundua baada ya wababe hao kumaliza misheni yao kuua wanasayansi, na kuibq documents nyingi za miradi ya nyuklia na kukimbilia Israel.
Hii story inawafanya wairan na mawakala wake kuwa uchi leo zaidi ya zamani mbele ya Israel.
Baada ya mabomu 200+ kurushwa Nimemuona Netanyahu anaongea huku anatetemea, hadi ikabidi mchukua video amzoom ili kumficha mikoni, huku wakiahidi kulipa kisasi kwa wakati muafaka na kishindo muafaka.
Makombora yalikuwa na kasi kubwa kiasi kwamba Muda yaliyotumia kufika Iran ni mfupi kuliko muda wa ndege za kivita kutoka Israel kufika iran na kurudi Israel. Rais wa Iran anasema hilo ni funzo kuwa Israel itakapotuma ndege ijue kabla hazijaanza kurudi zitakuta Israel imeshateketea.
Jambo ambalo wakubwa hawa hawajui, Israel inauwezo wa kuwashambulia kwa mfumo wa trojanhorse. Yaani wakati unategemea ndege, kumbe huko ndani yako jamaa wamo kitambo na kwa staili ya ajabu wakawaumiza kuliko wanavyokusudia.
Poa sababu za iran Kuishambulia Israel hazina mashiko. Hakuna ushahidi kuwa waliomuua kiongozi wa Hamas walikuwa ni Israel. Kuuwawa kwa Kiongozi wa Hamas ni suala la Lebanon sio Iran. Hivyo Israel inajipa uhalali kwa kufanya itakavyo kulipa kisasi maana kimsingi imeshambuliwa na kuchokozwa sana.
Tuombe amani, ila tutarajie jibu la kisayansi sana lenye uchungu mkubwa sana kwa wapenzi wa Iran.
Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.
Huyo kwangu wala anifikii umri wangu, mdogo sanaUnatafuta laana, eeeh?
Mtake radhi huyo mzee haraka sana, shauri yako!
Ahahaha mkuu Watanzania ni watu wa ajabu sana, Gari washa moja linakimbiza watu elfu 3000😂😂😂😂
Kwamba Tanzania askari watatu(3) tu, wanatosha kutawanya raia 1000?
Tutake radhi Watanzania mkongwe!
Jambo vita ni mbaya ila bila kupigana hawataheshimiana maana diplomasia imeshindwa kuweka utulivu mashariki ya kati.
Miaka nenda miaka rudi, tunasikia kelele zao tu za kutunishiana misuli na uchokozi wa rejareja wa kutupiana silaha. Sasa waachwe tu. Wapigane mpaka pale wenyewe watakapoona inafaa kuacha mapigano. Watakaa na kufanya tathimini ya uamuzi wao wa kuingia vitani (faida na hasara). Halafu baadaye watajua namna bora zaidi ya kushughulikia tofauti zao. Kutia ndani na kudanganywa na watu wengine ili wapigane.
Aliyekua maslahi ya Iran amelipiwa kisasi chake ndege zote zilizoruka kumuua na na command center ni majivu saivKile kijirais cha Iran kilichouliwa na Israel hayakuwa maslahi ya Iran? 😂🤣
Ajaribu hio move uone nin kitatokea pale mido east kuua sio shida US anaweza kuua yeyote pale Iran lakin yuko makini mno. Alijaribu kwa Suleiman nadhani hawezi fanya tena ijekua kiongozi Mkuu wa mamlaka ya Iran ni bora uue rais wao wanaweza kupapasa tu wakamuachaBasi ni kwamba Iran inajua kila mpaka kuuliwa kwa Rais wake ,halafu ishu ya kufa kwa viongozi pale ni kawaida ...Iran karusha mabomu yale kulinda heshima tu basi ili Israel asizidi kumdharau ila alikuwa hana mda wa kulipiza .
Iran analenga sehemu za majeshi sio wananchi wasiokuwa na hatia , usichokijua Utawala wa Iran na israel wote wamekalia kuti kavu ...Netanyhulu analinda kibarua chake kwa shinikizo la wtu la bado kuwa watu wanampinga , vivyo hivyo kwa Iran ndio maana Netanyuhlu anatumia propaganda za kumchafua kiongozi wa Iran ili kuungwa mkono na wairan .
Hii ngoma ni mbichi wale wanamjua israel ....Israel ana nafasi moja tu ya kummaliza Ayatollah ijumaa ijayo maana ataongoza sala kubwa hapo Iran ....Atakuwepo hadharani kumbuka jamaa alishawahi kushambuliwa enzi za urais ndio maana mkono wakee mmmoja haufanyi kazi .....
Mkuu hii picha ya kuchora
Hamisi toka uende Urusi unaongea kwa code Kanali.
Nimeusoma uzi vizuri sana, sijaona kama mwandishi kaweka mahaba ya kidini au kazungumza kuhusu uwezo wa nani ni mkubwa; kama nimemuelewa vizuri, mleta uzi ni kwamba kwa maana ya upataji taarifa kati ya nchi hizi 2, Israeli na Iran then Israeli yupo juu zaidi cause most of senior officials wa security system wa Iran ni mapandikizi ya Mossaid. Sasa issue ya uwezo kati ua Russia na USA na Israeli umeiona wapi kupitia uzi hu?