Kama Jenerali wa Marekani amewasili nchini, kesi ya Mbowe itatazamwa upya

Kama Jenerali wa Marekani amewasili nchini, kesi ya Mbowe itatazamwa upya

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Kwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa jana ni kumwachia huru Mbowe.

Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems.

Kwamba " Kama Tanzania iko hivi, pack my bag, I want to go there."
 
Watu wanafanya. vikao vingi kuingilia mambo ya nchi nyingine,bila kuelewa kwamba Sheria za Mungu ni Immutable,ni Sheria ambazo hazibadiliki na hazina rufaa. Kama watu wakiielewa nia yetu ya kuishi kwa kufuata Sheria,itakuwa hakuna lazima kuwafanyia ukatili hawa petty offenders.
 
Mtume Muhammad aliongelea kuhusu watu kusameheana makosa waliyofanya kabla ya Uislamu.

Joe Biden anapata Security briefing Kila asubuhi. Anauliza," what's happening"? Anaambiwa,"leo, nothing much,isipokuwa tu kule Tanzania kiongozi wa Upinzani ameswekwa mahabusu."
 
Mimi siyo Bavicha. Na mimi nimefurahi nchi ilivyokuwa shwari baada ya Mbowe kupelekwa Segerea.
Lakini sasa naongea kuhusu mambo mengine.
 
Kwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa Jana no kumwachia huru Mbowe.
Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems. Kwamba " Kama Tanzania iko hivi,pack my bag,I want to go there."
Mbowe ataachiwa mahakamani,sio kwa furaha ya jenerali au wadwanzi wa chadema

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mtume Muhammad aliongelea kuhusu watu kusameheana makosa waliyofanya kabla ya Uislamu.
Joe Biden anapata Security briefing Kila asubuhi. Anauliza," what's happening"? Anaambiwa,"leo, nothing much,isipokuwa tu kule Tanzania kiongozi wa Upinzani ameswekwa mahabusu."
🤣🤣🤣🤣
 
Kwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa Jana no kumwachia huru Mbowe.
Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems. Kwamba " Kama Tanzania iko hivi,pack my bag,I want to go there."
Intestinal problems? Huu ugonjwa ni mbaya kuliko uviko. Na chanzo watakuwa ni CCM
 
Kwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa Jana no kumwachia huru Mbowe.
Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems. Kwamba " Kama Tanzania iko hivi,pack my bag,I want to go there."
Intestinal problems?
 
Kwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa jana ni kumwachia huru Mbowe.

Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems.

Kwamba " Kama Tanzania iko hivi, pack my bag, I want to go there."
Michepuko ya Mboi ina hahaaaaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom