Kama Jenerali wa Marekani amewasili nchini, kesi ya Mbowe itatazamwa upya

Kama Jenerali wa Marekani amewasili nchini, kesi ya Mbowe itatazamwa upya

Kwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa jana ni kumwachia huru Mbowe.

Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems.

Kwamba " Kama Tanzania iko hivi, pack my bag, I want to go there."
Mbowe, Mbowe, Mbowe for what? Hivi ndo amebeba vichwa vyenu? Mtu rubbish ndo akutese?
 
Umerudia kusoma ulichoandika?

Umerudia kusoma ulichoandika?
Kwa sababu kama unataka watu wawe washirika wako,hutaki tena wapigane wao kwa wao.
Wamarekani kama wanakuja hapa kufanya military exercises na JW,ni nani,basi anayesema wake ni adui zetu?
Hata charge zenyewe sina hakika kama zimetajwa kwa usàhihi. Maybe they want to hide the charges and blackmail the poor fellow.
 
Back
Top Bottom