naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
[emoji3][emoji3][emoji3]Kama isingekuwepo mitandao tukaweza kugugo basi Bavicha wangetuambia kuwa huyo Jenerali ni ndugu Yao ili tuwaogope.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Kama isingekuwepo mitandao tukaweza kugugo basi Bavicha wangetuambia kuwa huyo Jenerali ni ndugu Yao ili tuwaogope.
Mbowe, Mbowe, Mbowe for what? Hivi ndo amebeba vichwa vyenu? Mtu rubbish ndo akutese?Kwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa jana ni kumwachia huru Mbowe.
Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems.
Kwamba " Kama Tanzania iko hivi, pack my bag, I want to go there."
Umerudia kusoma ulichoandika?
Kwa sababu kama unataka watu wawe washirika wako,hutaki tena wapigane wao kwa wao.Umerudia kusoma ulichoandika?