Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Ameandika akiwa mtupu thus anakimbilia kuvaaUna story nzuri ila haiko straight
Mbowe ataachiwa mahakamani,sio kwa furaha ya jenerali au wadwanzi wa chademaKwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa Jana no kumwachia huru Mbowe.
Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems. Kwamba " Kama Tanzania iko hivi,pack my bag,I want to go there."
🤣🤣🤣🤣Mtume Muhammad aliongelea kuhusu watu kusameheana makosa waliyofanya kabla ya Uislamu.
Joe Biden anapata Security briefing Kila asubuhi. Anauliza," what's happening"? Anaambiwa,"leo, nothing much,isipokuwa tu kule Tanzania kiongozi wa Upinzani ameswekwa mahabusu."
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwamba wangetutia hofu,Kama isingekuwepo mitandao tukaweza kugugo basi Bavicha wangetuambia kuwa huyo Jenerali ni ndugu Yao ili tuwaogope.
Acha kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwamba wangetutia hofu,
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Huenda ameandika huku anajisaidia haja kubwaAmeandika akiwa mtupu thus anakimbilia kuvaa
Intestinal problems? Huu ugonjwa ni mbaya kuliko uviko. Na chanzo watakuwa ni CCMKwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa Jana no kumwachia huru Mbowe.
Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems. Kwamba " Kama Tanzania iko hivi,pack my bag,I want to go there."
Why should i do that? It is her story, not mine.Can you make it straight??
Why should i do that? It is her story, not mine.
Intestinal problems?Kwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa Jana no kumwachia huru Mbowe.
Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems. Kwamba " Kama Tanzania iko hivi,pack my bag,I want to go there."
Michepuko ya Mboi ina hahaaaaaKwa sababu Wamarekani ni watu ambao wanapenda civil liberties,haki ,za raia,basi njia nzuri ya kumheshimu yule Jenerali aliyefika hapa jana ni kumwachia huru Mbowe.
Yule mtu inaelekea amekuja katika hii safari kwa sababu ameona nchi hii inaanza kuwa na intestinal problems.
Kwamba " Kama Tanzania iko hivi, pack my bag, I want to go there."