Kama Jeshi la Polisi ni la wapigaji ni vipi linaweza kulinda raia na mali zao?

Kama Jeshi la Polisi ni la wapigaji ni vipi linaweza kulinda raia na mali zao?

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Kwenye hotuba ya Mama lao Pale Mosjo anaonekana kulalmikia Jeshi la police hasa kwenye upigaji wa pesa, inavyo elekea wanapiga sana pesa za umma, na hizo ndio hizo hizo tozo tunazo tozwa.

Hio moja je Mama ana fikiria Pilice hao wanaweza vipi sasa kulinda Raia na Mali zao? Je, wanaweza saidia kwenye vita dhidi ya Rushwa?

Rushwa ni kama wizi, sasa kama Taasisi inayo paswa kulinda wizi na yenyewe ni wezi how come waendelee kulinda mali?

Mbaya zaidi wana bembelezwa waache kula rushwa na waacha matumizi mabaya ya pesa hasa bajeti.

Nazani hii nchi tuna safari ndefu sana kwa staili hii tuna safari ndefu mbo ya kufikia mafaniko, yaani hadi tuje tumalize safari ya kubembeleza wezi wa mali za umma tutakuwa tumechoka sana.

photo_2022-08-30_15-42-37.jpg
 
Tatizo la polisi mfumo wa utawala na utendaji mmbovu, budget ya polisi, mishahara midogo, vigezo vinavyotumika kuwapata.. elimu elimu elimu ya mandata wetu wengi sio nzuri wengi walichezea miswaki.
 
Ngoja wajiongeze,maana inajulikana uraiani kua mishahara yao ni laki 3,tofauti na askari wengine,sasa watakuaje waadilifu,wasile kulingana na urefu wa kamba zao?
 
Ndio yao, na hicho ni kiini cha tatizo. Kama wakianza hata na ku deal na mfumo na mishahara mtaona kuna changes kidogo. Ebu angalia maisha ya askari wetu unafikiri kweli watakua fress from stress.. ebu kacheki kota zao
Watu wanawalaumu tu,ila makazi duni kama enzi za ukoloni,mishahara yao nasikiaga ni midogo,hivi wanaachaje rushwa na kujichukulia mafuta?
Halafu wanasikia maneno ya KULENI KULINGANA NA UREFU WA KAMBA ZENU,na wao wanafikiria,hivi kamba zetu ni zipi,wanaamua wajiongeze tu.
 
Ngoja wajiongeze,maana inajulikana uraiani kua mishahara yao ni laki 3,tofauti na askari wengine,sasa watakuaje waadilifu,wasile kulingana na urefu wa kamba zao?
Mishahara ndio inaleta uadilifu? Mawaziri Wana mishahara mikubwa Sana, je Ni waadilifu? Hawaibi?
 
Mishahara ya polisi wasipo pokea hongo watakuwa wanyonge hata bunduki zitawashinda kushikiria.
Waboresha mishahara na malupulupu mengine ya Polisi iwe kama ya TPDC au BOT, wawe na makazi mazuri kabisa ya kisasa kuanzia private na ngazi za juu. Kuwe na gari zao za kuwachukua makwao. Kuwa na fursa za kujisomea pasipo urasimu, masaa ya kazi yawe balanced waone kama watakuwa kama walivyo sasa
 
Ndio yao, na hicho ni kiini cha tatizo. Kama wakianza hata na ku deal na mfumo na mishahara mtaona kuna changes kidogo. Ebu angalia maisha ya askari wetu unafikiri kweli watakua fress from stress.. ebu kacheki kota zao
Sijui kwa nn watu wenye ID mpya mna tatizo la akili.

Mawaziri, wabunge, wakurugenzi, makatibu wakuu wote hao Wana mishahara mizuri je ni waadilifu? Hawaibi? Hawachukui rushwa?
 
Sijui kwa nn watu wenye ID mpya mna tatizo la akili.

Mawaziri, wabunge, wakurugenzi, makatibu wakuu wote hao Wana mishahara mizuri je ni waadilifu? Hawaibi? Hawachukui rushwa?
wewe utakuwa na matatizo. Umeona nime mention mishahara tu hapo ? Mbona unawashwa washwa sana aisee ?
 
wewe utakuwa na matatizo. Umeona nime mention mishahara tu hapo ? Mbona unawashwa washwa sana aisee ?
Umezungumzia makazi yao. Makazi ya wabunge na mawaziri ni mazuri kuliko kawaida, nenda kwenye nyumba zilizojengwa mikocheni pale za mawaziri kaone palivyo. Je wameacha kuiba, kuchukua rushwa?

Ndio maana nakueleza una tatizo la akili
 
Askari atakataaje kupokea rushwa,huku mshahara wake ni mdogo,halafu anasikia mawaziri wanaambiwa wale kulingana na urefu wa kamba zao?
Boresha maslahi yao,watabadilika automatically.
Mishahara ndio inaleta uadilifu? Mawaziri Wana mishahara mikubwa Sana, je Ni waadilifu? Hawaibi?
 
Umezungumzia makazi yao. Makazi ya wabunge na mawaziri ni mazuri kuliko kawaida, nenda kwenye nyumba zilizojengwa mikocheni pale za mawaziri kaone palivyo. Je wameacha kuiba, kuchukua rushwa?

Ndio maana nakueleza una tatizo la akili
Ibaki ya mtu binafsi,ila makazi na maslahi yao yaboreshwe,ili wasiingie kwenye ushawishi wa kula rushwa.
 
Umezungumzia makazi yao. Makazi ya wabunge na mawaziri ni mazuri kuliko kawaida, nenda kwenye nyumba zilizojengwa mikocheni pale za mawaziri kaone palivyo. Je wameacha kuiba, kuchukua rushwa?

Ndio maana nakueleza una tatizo la akili
Huna akili mshenzi wewe usi ni niquote tena. Kama unashindwa kusoma na kuelewa ambacho nimeandika. Usilingishe nafasi za kisiasa na wana siasa na polisi ni vitu viwili tofauti na michakato ya kuwapata ni tofauti
 
Askari atakataaje kupokea rushwa,huku mshahara wake ni mdogo,halafu anasikia mawaziri wanaambiwa wale kulingana na urefu wa kamba zao?
Boresha maslahi yao,watabadilika automatically.
Nimekueleza maslahi ya mawaziri, wabunge, makatibu wakuu ni makubwa Sana mbona bado wanachukia rushwa? Bado wanaiba?
 
Huna akili mshenzi wewe usi ni niquote tena. Kama unashindwa kusoma na kuelewa ambacho nimeandika. Usilingishe nafasi za kisiasa na wana siasa na polisi ni vitu viwili tofauti na michakato ya kuwapata ni tofauti
Wewe huna akili, makatibu wakuu ni nafasi ya kisiasa? Wakurugenzi wa mashirika ni wanasiasa? Mbona pamoja na hayo maslahi makubwa hawajaacha kuiba na kuchukua rushwa?
 
Back
Top Bottom