Kama Jeshi la Polisi ni la wapigaji ni vipi linaweza kulinda raia na mali zao?

Kama Jeshi la Polisi ni la wapigaji ni vipi linaweza kulinda raia na mali zao?

Unarudi palepale, mawaziri , wabunge, makatibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika Wana maslahi mazuri je wameacha kuchukua rushwa na kuiba?
Unatakaje sasa?


Mimi nasema waboreshewe maslahi yao maana kazi zao za kurisk maisha.Wanachopata ndugu zetu ni aibu[emoji23]
 
Kwenye hotuba ya Mama lao Pale Mosjo anaonekana kulalmikia Jeshi la police hasa kwenye upigaji wa pesa, inavyo elekea wanapiga sana pesa za umma, na hizo ndio hizo hizo tozo tunazo tozwa.

Hio moja je Mama ana fikiria Pilice hao wanaweza vipi sasa kulinda Raia na Mali zao? Je, wanaweza saidia kwenye vita dhidi ya Rushwa?

Rushwa ni kama wizi, sasa kama Taasisi inayo paswa kulinda wizi na yenyewe ni wezi how come waendelee kulinda mali?

Mbaya zaidi wana bembelezwa waache kula rushwa na waacha matumizi mabaya ya pesa hasa bajeti.

Nazani hii nchi tuna safari ndefu sana kwa staili hii tuna safari ndefu mbo ya kufikia mafaniko, yaani hadi tuje tumalize safari ya kubembeleza wezi wa mali za umma tutakuwa tumechoka sana.

View attachment 2340014
Ni mambo ya aibu sn
 
Sikatai hata wenye malipo mazuri hawajaacha kula rushwa/wizi.

Ila ninachomaanisha polisi waboreshewe maslahi,kazi yao ni ngumu maslahi kiduchu.Wadogo zetu wanafanya kazi za kuhatarisha maisha yao kwa maslahi duni.Ni aibu!![emoji134]
Sasa hapa naungana na wewe, Ila nilikua sikubaliani na point ya kusema eti maslahi ndio yanafanya wachukue rushwa.
 
Unatakaje sasa?


Mimi nasema waboreshewe maslahi yao maana kazi zao za kurisk maisha.Wanachopata ndugu zetu ni aibu[emoji23]
Kuboreshwa maslahi ni jambo zuri na naamini wataboreshewa. ninachopinga ni kuwa maslahi hayafanyi mtu aache kuchukua rushwa
 
Back
Top Bottom