National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
polisi anateuliwa ? ficha upumbavu wakoWewe huna akili, makatibu wakuu ni nafasi ya kisiasa? Wakurugenzi wa mashirika ni wanasiasa? Mbona pamoja na hayo maslahi makubwa hawajaacha kuiba na kuchukua rushwa?