eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Sio namvunja moyo wanamilikiwa hapa jf tayariUsimvunje moyo na ww
Chit chatWapi huko
Ahahah ujue mawazo unayoyawaza sio kabisaEeehh
Leo hayupo eeehh, ntamwambia arudi ujue
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Chitchat
Mh okSio namvunja moyo wanamilikiwa hapa jf tayari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa sifa umwagiwazo swahiba nami naanza kuvutika taratibu unipokee tu uko PM, utanifanya weekend hii nije kukutembelea.
[emoji1] [emoji1] Sindo nakuja weekend hii sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Usije PM bwana swahiba mi nakusubiri kuleee ukija tena ndio tukutane bana.
Mzima lakini?
Sakayo si Wa transcendYaan RRONDO wala hujakosea hao watu ni wife material kweli ebu piga ana ana do kwa ndugu zangu hawa wawili sakayo na emmyta ikiangukia kwa mmojawapo muwowe wapo single hao [emoji12] ila kwa mama heaven sent hapo pagumu ujue
Nimefurahi kusikia hivyo swahiba.[emoji1] [emoji1] Sindo nakuja weekend hii sasa
Mzima wa afya swahiba
Poa swahibaNimefurahi kusikia hivyo swahiba.
Ahsante sana swahiba na kwako pia.Poa swahiba
Uwe na siku njema
Ila baadae nakuja PM [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ahsante sana swahiba na kwako pia.
Nimefunga na Makufuli swahiba halafu funguo hata sina ujue.Ila baadae nakuja PM [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ndo mana nilikuona unaitafuta funguo, Wala usijali swahiba maana funguo ninayo mimi niliichukua[emoji1] [emoji1]Nimefunga na Makufuli swahiba halafu funguo hata sina ujue.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo mana nilikuona unaitafuta funguo, Wala usijali swahiba maana funguo ninayo mimi niliichukua[emoji1] [emoji1]
Nilijua kuwa hautouhitaji kwa sasa ndo mana nikaendelea kuuhifadhi mpaka utakapo niuliza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe unao eee. Mbona hukusema sasa swahiba wakati mie nahangaika huku kuutafuta.
Hahahaaaa. Basi sawa kama unao swahiba endelea kunitunzia. [emoji85]Nilijua kuwa hautouhitaji kwa sasa ndo mana nikaendelea kuuhifadhi mpaka utakapo niuliza
Haya sawaHahahaaaa. Basi sawa kama unao swahiba endelea kunitunzia. [emoji85]
Hakuna shida swahiba. [emoji23] [emoji23]Haya sawa
Kwakua ninao mimi basi muda wowote nitakuwa nafungua, nitautunza mpaka utakapouhitaji
Haya poa swahibaHakuna shida swahiba. [emoji23] [emoji23]