Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh imekuwa tangazo hili la biko?[emoji23] [emoji23]
Karib shemeji endelea na moyo huo huo usitetereke[emoji122]Shukran shemeji
Hahahahaa hivi yuko wapi siku hiziPADRE MCHARO TUNGEMFUKUZA KIJIJINI KWA UCHOCHEZI
ATAKUWA NAONA AMEFUNGIWA KIMYA KIMYA SI UNAJUA POST ZAKE NI ZA BOKO HARAMU TUHahahahaa hivi yuko wapi siku hizi
Usijali mchepuko wanguUsisahau ahadi ni deni...
Ole wako niachwe!!Na hii kufru inalazimika damu imwagike ili sadaka ikubalike kwa Allah
Nimekuchanganyaje mpenzi?Mimi kweli mm wa kunichanganya hiv?[emoji87] [emoji87]
Ukitaja mume wako apa ebu usinitaje pamoja na wengine hakuna mwanamke mwenye wanaume zaid ya mmoja..sawasawa? Haya upesi sema mumeo apa nani na uwa CC hao "wengine" [emoji57] [emoji57] [emoji57]Nimekuchanganyaje mpenzi?
HahahahahATAKUWA NAONA AMEFUNGIWA KIMYA KIMYA SI UNAJUA POST ZAKE NI ZA BOKO HARAMU TU
Abeee mpenzi!!Ukitaja mume wako apa ebu usinitaje pamoja na wengine hakuna mwanamke mwenye wanaume zaid ya mmoja..sawasawa? Haya upesi sema mumeo apa nani na uwa CC hao "wengine" [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Teh, you two though.....Oh dear! Sometimes it's NOT like mother like daughter...
Say whaaaaaat!!
Hivi ni kwavile ninapenda sana pesa au kuna lingine jamani!! [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
RRONDO kaniambia namchukia hadi nikisikia kafa nitafanya sherehe jamani!!Teh, you two though.....
Haha nyie ni waarabu wa pemba....RRONDO kaniambia namchukia hadi nikisikia kafa nitafanya sherehe jamani!!
Sijui ndio maana hajanisifia hapa, hivi nilivyo mpole, mstaarabu busara ndio usiseme, mtoto wa watu nimelelewa nikaleleka! (hii inaitwa sifa jipe mwenyewe ukimsubiri RRONDO atakwambia like dota like dad[emoji33][emoji33][emoji33])
Ninakumbuka hubby naDarling... Kaizer ndo yule ndugu yangu nilyekupa habari yake.
Mimi na yeye ni mtu na nduguye... damu yetu ni O+
mbona nilikuwa single muda mrefu sana mkuuUngekuwepo kwenye list bahati mbaya mke wa mtu sumu tena mume mwenyewe babu huyo asije kunitoa busha bure!
Asante mkuuWakati natoa list ulikuwa tayari married.