Kumbe kufungua uzi ni mpaka umuwaze mtu?! Mbona niko nao humu miaka na miakaTeh teh teh!
Braza naona umewawaza sana hadi ukawafungulia uzi.
Weee Heaven Sent unapendwa na RRONDO bwana!
Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi, hawa wanawake watatu ningefanya jitihada zote za hali na mali nioe mmoja wao.
Hawa ni definition ya wife material, Heaven Sent emmyta Sakayo mmebarikiwa hekima.
Mara moja moja tupost vitu vyenye positive energy na sio kila siku kuzungumzia vitu negative.
Aisee...!Kuna mmoja hapo ' anabanduana ' vizuri Zamaradi Mketema anasubiri / anakaa hivyo jipange kwani Wewe hutoishia tu Kulia na Kupenda Makamasi katika Simu kama mwenzako ' Father Fursa ' bali unaweza hata ' ukaufyeka ' kabisa ' Mkuyenge ' wako kama akikumwaga / akikuacha.
Asante kwa kutujulisha ulishatongoza wawili kati yao.wawili kati yao wako "peace" sana hata ukiwafuata PM....waendelee na mioyo io io ya huruma kwa viumbe tunaosumbua PM.....wanakukataa ki-amani kabisa bila maneno ya ajabu...hihihi
eenh...umewaZa mbali sana mkuu...imenibid niedit niliyoyaandika!Asante kwa kutujulisha ulishatongoza wawili kati yao.
Amen.Ahsante sana RRONDO kwa kuniona ni mmoja kati ya wanawake waliobarikiwa hekima ndani ya jf kiukweli ndio niko hivyo na haya maneno sio kwako tu bali hata kwa watu wanonizunguka ambao tunaonana mubashara. Sina budi kumshukuru M'Mungu aliye juu kwa kunifanya niwe mmoja kati ya wanawake walio bora na wenye kujitambua katika hii dunia.
Ahsante sana. Barikiwa mno RRONDO
    
Nimekuja pacha. Niambie. [emoji85]Emmyta pacha njoo huku
Nimefurahi pacha kuona unakubalika dearNimekuja pacha. Niambie. [emoji85]
Ahsante sana pacha. Mi pia nafurahi sana sio siri kwa sababu jf ni Mji Mkubwa sana ikitokea watu wanaona una kitu ambacho kipo tofauti na wengine hakuna budi kushukuru.Nimefurahi pacha kuona unakubalika dear
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji122] [emoji122] Niko poa pacha wa mmAhsante sana pacha. Mi pia nafurahi sana sio siri kwa sababu jf ni Mji Mkubwa sana ikitokea watu wanaona una kitu ambacho kipo tofauti na wengine hakuna budi kushukuru.
Mzima?
Ahsante sana pacha. [emoji120] [emoji120][emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji122] [emoji122] Niko poa pacha wa mm
Nawe piaAhsante sana pacha. [emoji120] [emoji120]
Nafurahi kusikia uko poa pacha. Uwe na siku njema pacha ake. [emoji7]
Mkuu anza tu hizo jitihada..Huwezi juaKama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi, hawa wanawake watatu ningefanya jitihada zote za hali na mali nioe mmoja wao.
Hawa ni definition ya wife material, Heaven Sent emmyta Sakayo mmebarikiwa hekima.
Mara moja moja tupost vitu vyenye positive energy na sio kila siku kuzungumzia vitu negative.
Kumbe kufungua uzi ni mpaka umuwaze mtu?! Mbona niko nao humu miaka na miaka
Mkuu anza tu hizo jitihada..Huwezi jua
Nipo Bro..Mambo vipi??Wewe njemba upo??