Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi...

Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi...

Usichuuzike na picha, maneno, hekima za sauti, busara za sauti utaumia, hivi sio vipimo halisi vya wife material.
Mwanamke ni yuleyule Jana Leo na kesho toka maandiko na mpaka mwisho, wakiandikacho wakinenacho sicho kilichoujaza mioyo yao.
Sawa.
 
D emmyta jamani njoo huku, unaitwa

Mwenye sifa zke mpe
 
Kuna mmoja hapo ' anabanduana ' vizuri Zamaradi Mketema anasubiri / anakaa hivyo jipange kwani Wewe hutoishia tu Kulia na Kupenda Makamasi katika Simu kama mwenzako ' Father Fursa ' bali unaweza hata ' ukaufyeka ' kabisa ' Mkuyenge ' wako kama akikumwaga / akikuacha.
Aisee, [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha
Punguza uchochezi mkuu!!!
Teh teh..Sio Uchochezi mkuu..Huyu kijana mpaka kuongea hivi kuna kitu kaona..Kama jimbo liko wazi basi muingize kwenye kinyang'anyiro
 
Back
Top Bottom