Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawasikia wenye kazi zao hao...
Mmoja kati yao akikubalia umuoeNiwafuate PM kufanya nini?
Ahsante sana mdogo wangu. Love u too.Dadada yangu emmy.
.love you.ila mtoa mada ngojangoja yaumiza matumbo yasije kukupata ya ruge.
Hahaaa. Nishakuja mdogo wangu.D emmyta jamani njoo huku, unaitwa
Mwenye sifa zke mpe
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] hongereni jamaan halaf sakayo avatar umeshabadili tena hivi unataka kuvumbua niniiiii
Asante mnoo mkuu RRONNDO kwa kuliona hilo, hakika sio mie ni Mungu tu ndo naweza kusema hivyo!!!
Barikiwa mnoo, na Mungu azidi kukutunza naamini kijiji unamoishi yupo wa ndoto zako sema wakati bado haujafika!!!!
[emoji11]
Nipo!!. halakati za magu zimesababisha kukimbiana..Ahsante sana mdogo wangu. Love u too.
Nimekumiss ila kulikoni kujificha huko mdogo wangu?
Hamna mkate mgumu mbele ya chaiYaan RRONDO wala hujakosea hao watu ni wife material kweli ebu piga ana ana do kwa ndugu zangu hawa wawili sakayo na emmyta ikiangukia kwa mmojawapo muwowe wapo single hao [emoji12] ila kwa mama heaven sent hapo pagumu ujue
Daah. Pole sana. Ila mbali na yote nafurahi kukuona mdogo wangu.Nipo!!. halakati za magu zimesababisha kukimbiana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamna mkate mgumu mbele ya chai
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] hongereni jamaan halaf sakayo avatar umeshabadili tena hivi unataka kuvumbua niniiiii
Dada akee jaman me mzima sana hofu kwako ebu msimfanyie hivyo jaman awawowe woteee si etiii nikuje kucheza kwaito[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nakusalimia dada ake. Upo?
Hahaaa. Hamna bwana swahiba kawaida.Swahiba Emyta naona sikuhizi nyota inang'aa sana[emoji5][emoji5]