Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi...

Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi...

Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi, hawa wanawake watatu ningefanya jitihada zote za hali na mali nioe mmoja wao.

Hawa ni definition ya wife material, Heaven Sent [color=red]emmyta[/color] Sakayo mmebarikiwa hekima.

Mara moja moja tupost vitu vyenye positive energy na sio kila siku kuzungumzia vitu negative.
Hongera dada yangu.

Live long!!!
 
Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi, hawa wanawake watatu ningefanya jitihada zote za hali na mali nioe mmoja wao.

Hawa ni definition ya wife material, Heaven Sent emmyta Sakayo mmebarikiwa hekima.

Mara moja moja tupost vitu vyenye positive energy na sio kila siku kuzungumzia vitu negative.

Heaven Sent Emmyta Sakayo ni nani huyo?
 
Ahsante sana RRONDO kwa kuniona ni mmoja kati ya wanawake waliobarikiwa hekima ndani ya jf.

Sina budi kumshukuru M'Mungu aliye juu kwa kunifanya niwe mmoja kati ya wanawake walio bora na wenye kujitambua katika hii dunia.

Ahsante sana. Barikiwa mno RRONDO

    
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom