GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta
Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza
Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali...
Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?
Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia
Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.
Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.
Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza
Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali...
Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?
Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia
Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.
Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.