Kama jibu hili la kipuuzi alilolitoa Rais Chakwera wa Malawi ndizo akili za Wapinzani wengi Barani Afrika, ni bora Vyama Vikongwe vitutawale milele

Kama jibu hili la kipuuzi alilolitoa Rais Chakwera wa Malawi ndizo akili za Wapinzani wengi Barani Afrika, ni bora Vyama Vikongwe vitutawale milele

Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta.

Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza.

Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali......

Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?

Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia..

Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.

Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.
Ndio maana wengine sie tunataka turudishiwe Magavana tu.

IMG_20200320_223458.jpg

Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli alipoenda Arusha na Kilimanjaro alitangaza kuwasamehe wapiga kura kwa kuwa hawakumchagua kwa wingi.

Mwanza wakasamehewa kubomolewa nyumba zao zilizotakiwa kubomolewa kupisha upanuzi wa airport sababu wao ni wapiga kura wake.

Huku Afrika kwa ujumla kama mshindi wa urais asipokuwa na moyo wa kusamehe Kama Magufuli akiingia Ikulu ni kiama kwa wasiompigia kura.
Si kosa hata kidogo kumnyima mtu kura bali ni haki yake na kamwe hutomuingilia. Lakini hiyo haiamui ufanye kazi kwa hila dhidi ya eneo lisilo kupa kura.
 
'wanaopenetrait' na 'kulibda' ndiyo Viswahili gani hivi? Sasa kama Kuandika tu vyema kwa Lugha ya Kiswahili hamuwezi je, kuitoa 'CCM' mtaweza?


CCM imeua , imenajisi, imeiba mali za watu , jee unataka kutuambia na upinzani utafanya hivyo hivyo ??
 
Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta.

Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza.

Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali......

Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?

Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia..

Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.

Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.
Hiyo ndio fact whether unaipenda au kutoipenda,inabakia kuwa fact
 
Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta.

Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza.

Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali......

Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?

Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia..

Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.

Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.
Labda ameiga "kaeni na Bwege wenu huyohuyo" Hataivo hayo ndiyo majibu ya vyama kongwe barani africa, MCP kinarejea ikulu mara ya pili.
 
Kusamehe ni jambo gumu sana hasa likiwa la dhati toka moyoni "kusamehe kunauma mno"
Mwisho wa kunukuu...
Hahah niliandika hii comment kwny Thread khs Nape Modes wakaifuta,hahah sijui hata ni kwanini.
 
Nikiichukua sababu ya Rais wa Malawi Chakwera na Kiongozi wa Upinzani nchini Uganda Dkt. Kiiza Besigye aliyoitoa leo 'siwaamini' tena Wapinzani.
Uzuri hata wapinzani nao 'hawakuamini' pia.
 
Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta.

Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza.

Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali......

Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?

Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia..

Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.

Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.
Upuuzi wake sio conclusion ya kuhukumu wengine, anaweza akawa kajifunza kwa jiwe lkn hakumaanishi wapinzani wote wapo hivo
 
Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta.

Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza.

Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali......

Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?

Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia..

Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.

Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.
Unaweza kuweka hapa video ya mahojiano/sehemu ya mahojiano hayo aliyoulizwa hivyo usemavyo na kujibu kama ulivyosema hapa?
Naomba mkuu utukumbushe ndugu zake wa damu rais Chakwera walio katika baraza lake la mawaziri
 
Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta.

Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza.

Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali......

Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?

Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia..

Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.

Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.

Kajibu uhalisia na sio kwa unafiki usieijua Malawi kisiasa na kihistoria huwezi kuelewa hilo jibu, yakupasa kujifunja na uelewe critical thinking, realism has the upper hand over idealism, the magnitude of division and hatrage across regions and ethnic groups in Malawi ni hatari, Malawi ni fragile and volatile beyond what you know, the Malawians are too infants mentally and pro west slavery is so acute.
 
Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta.

Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza.

Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali......

Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?

Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia..

Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.

Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.
Genta Mbona hizo akili za raisi wa sasa wa malawi hazina tofauti na za mgombea wa sasa wa CCM??? Kwa juzi alivyokuwa jimboni kwa Bwege yale aliyoyasema yana tofauti gani na hayo maneno ya raisi wa malawi??!
 
Kwahiyo Kwako Wewe Kosa 'linahalalishwa' kwa Kosa Mkuu?
Genta Mbona hujaelewa swali? Wewe umetoa mfano ukihusisha wapinzani ila shida ni kwamba mfano ulioutoa ni sawasawa na anayoyafanya mgombea wa uraisi wa CCM kwa hapa Tanzania.

Na mie swali langu kwako kwa sababu kwa hapa Tanzania concern yako imeenda kumgusa mgombea wa CCM , Je bado utaipigia kura CCM mwaka huu?
 
Ndiyo maana sijutii na kamwe sitokuja Kujutia kuwa mwana CCM Chama ambacho ni 'Kikongwe' kabisa nchini Tanzania kutokana na kwamba Wapinzani wengi Barani Afrika nimegundua japo wakiwa hawajapata Madaraka na Kushika 'Dola' huwa wanatuaminisha Watu tuliochoka na 'Mifumo' Kandamizi iliyopo na 'Umasikini' lakini na Wao wakiwa 'Uongozini' hufanya 'Upuuzi' maradufu ya walioukuta.

Leo nilikuwa nimepanga kabisa Kutizama Mahojiano kati ya Mtangazaji Mahiri ambaye Kwangu Mimi ni 'Critical and Great Thinker' wa 'Kutukuka ' kabisa Shaka Ssali wa Voice of America akiwa na Rais wa Malawi Bwana Lazarus Chakwera aliyetokea kwa Wapinzani na ambaye Waafrika wengi wasiovipenda Vyama Vikongwe viendee 'Kutawala' walimpenda ila 'alichokijibu' nilijikuta napandwa na Jazba na kuacha kabisa Kumtizama na Kumsikiliza.

Hili ni Swali la Kawaida tu ila lenye Mitego mingi ndani yake aliloulizwa na Mtangazaji Shaka Ssali......

Mheshimiwa Rais Chakwera wakati wa harakati zako pamoja na Kampeni zako ulitokea Kuzikonga sana Nyoyo za Wamalawi na hata Waafrika wengi hasa kutokana na Misimamo yako na nakumbuka mara kwa mara ulisema ukiwa Rais utawapenda Wamalawi wote bila kujali kama walikupigia Kura au hapana ili kuleta Umoja. Je, Mheshimiwa Rais Chakwera imekuwaje ulipoapishwa tu kuwa Rais 98% ya Wateule wako ni ama Ndugu zako wa Damu au wa Mkeo au ni Marafiki zako wa karibu mno?

Lifuatalo hapa chini ni Jibu la Mheshimiwa Rais wa Malawi Lazarus Chikwera ambalo sioni aibu ( haya ) kuliita ni la 'Kipuuzi' pia..

Nashukuru kwa Swali lako zuri Shaka Ssali ila Jibu langu Kwako ni rahisi sana tu. Nimeteuwa Wasaidizi wangu kuanzia Mawaziri pamoja na Waandamizi wengine Serikalini kwakuwa ningekuwa ni Mwendawazimu Kuteua Mawaziri kutoka katika Maeneo ambayo hayakunipigia Kura na hata kama walinipigia basi zilikuwa ni Kidogo halafu niwaache wale ambao ndiyo walinipigia Kura nyingi. Siku zingine watajifunza kwani hata Mimi pia ni Binadamu siwezi Kuwapenda Watu wasionipenda au wasioniunga mkono.

Kwa 'Upuuzi' huu wa Rais Chikwera na Wapinzani wengine Barani Afrika nasema ni Heri Vyama Vikongwe kama CCM viendelee Kushika Hatamu tu.
Uliza ujulishwe, usikuripukie jambo usilolijua. Niliwahi kuweka POST nikiuliza Gentamycine ni nani? Tueleze chama kilichoanza kutawala Malawi ni kipi, mimi ninachokijua ni MCP (Malawi Congress Party) chini ya Dr. K. H. Banda, ndicho hichohicho kilitokea kuwa cha upinzani na kiongizi wake huyo unayembeza, sasa chama kipi kikongwe unachokijua wewe!
Ninakushauri uiondoe POST yako kwani inapotosha wasioijua Malawi.
 
Msiojua MCP ( Malawi Congress Party) anachoongoza Chakwera ndicho kimetawala tangu Uhuru chini ya Dr K. H. Banda, labda mleta POST aseme CCM ikatawale Malawi.
 
Back
Top Bottom