Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Mmetumwa kujiunga na jeshi? Ninyi ndio kanituma baba. Jeshi ni kujitolea na nidhamu unapaswa kujizuia mambo ya hovyo ipo siku mtapata shida na hakuna mwananchi atakaye wasaidia. Kama hadi sasa unataka ulipwe fadhila kwa kuwa jeshi gumu wewe bado hujawa mjeshi kamili. Mjeshi halalamiki, hajisifii na wala hana makuu lakini ninyi wengi wenu mpo hivyo. Wachache ndio wanajitambua. Inasikitisha sana kuona haya
 
Kwani wamelazimishwa kwenda huko??
Matokeo nadhanin umeona kwa kanal.
 
Mafala sana hawa
 
Alafu ndio wanajiita eti "jeshi la sita duniani" vichekesho kabisa hivi, hao watu wakipeleka kesi mahakamani japo wameonewa lakini kuna uwezekano mkubwa wakashindwa kesi, hiyo ni ile inaitwa "kesi ya nyani hakimu ngedere" cha msingi niku waroga tuu kwa sababu uchawi hauna ushahidi
 
Ni mambo ya kishamba sana ,kutumia nguvu kwenye kila kitu !!
 
Tatizo wabongo tumefubaa, kuprotest hatuwezi ndio maana tunaonewa.

Hii tabia ya kuwalea wanajeshi hadi wameizoea ndio inatugharimu.

Mara ngapi tunasikia hawa wanajeshi wanajichukulia sheria mkononi huku tukiwachekelea.

Tuamue kwanza kuprotest huu tabia yao, then ndio wataweza kufuata sheria.
 

 
Jeshi la tz linafanyaga mambo ya aibu sana jeshi lina act utafikiri kikundi fulani cha panya road au waimba singeli amapiano
Hivi hili jeshi halina shuguli za kufanya au ?kwa hiyo kitendo walichofanya kawe kwao wanaiona operation kubwa huko jeshini siyo.
Vyanzo vyao vingi vinavyoleta mgogoro na raia huwa ni vya kipuuz
Utakuta mara wanagombania madem,au ndiyo ile kupishana kauli na raia kwa mambo ya kijinga tu

Ova
 
Subiri siku akipigwa Baba au Mama ako,njoo na hizi kauli zako za kipumbavu, Jadili hili jambo kama binaadamu mpenda haki,siyo kila muda ni wa kukejeliana tu humu!!
 
Mtaendelea tu kuuwawa 🤣🤣 huyu ni mjeda wa tatu ! mwingine alifia kilabuni huko Tanga ! kalewa kaanza kujishaua muhuni kakimbilia Panga akamuua !! sifurahii mauaji ila nasikitika kwanini hamjui nafasi yenu kwenye jamii ? We hujui kwamba ni Mwanajeshi ?

kama huyu mwingine aliyekufa nasikia pia alikua na mke na watoto eneo la tukio bado tu halijiamini anataka kujionesha ni mjeda !! hivi kweli mtu una akili na unajitambua unapigana mbele ya mke na watoto 🤣 unataka kuonesha nini ? Pang'ang'a

Ukifika maeneo ambayo yana changanyikeni , shiriki kama wao ongea kama wao ! Hata wakikuita poti au afande isiwe ya hofu iwe ya kukubali kazi unayoifanya ya kulinda mipaka ya nchi.
 
Tanzania kuna wajinga wengi, duh! Ngoja tusiseme
 
Walaaahi wajichanganye waje waguse mtu wa familia yangu.
Hata kama hiyo siku watanitoa roho ila na mimi nitaondoka na baadhi yao.
Huu ni upumbavu kuvumilia unyanyasaji wa aina hii
 
Tunawasubiri mtaani wakistaafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…