Sio kwamba hawaoni
Sio kwamba hawajui kwamba wamefanya makosa
Sio kwamba wahusika hawajaguswa na hili
Sio kwamba hawawezi kusema
La
Ila kwakuwa washajiona wao miungu watu basi watapotezea
Ukitaka walisemee itokee hivi
Jamii Forums wachapishe taarifa hii katika mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram na twitter juu ya unyanyasaji wao
Trust me lazima watasema Tu
Vinginevyo tuendelee kupaza sauti pengine Mungu atawaadhibu kama anavyo muadhibu kanali huko sakafuni
Tanzania kuna uoga ila Amani tunadanganywa
Sent from my SM-A047F using
JamiiForums mobile app