GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Madame Time WasterNani huyo katoa hutuba.?
Bongo sahv uhuru wetu kama wa Kenya tu[emoji23][emoji23][emoji23]Madame Time Waster
Katoa boko gani Maza?Madame Time Waster
Sijawahi kupenda na kuvutiwa Kumsikiliza.Katoa boko gani Maza?
Nitawaamini Watu wote ila siyo Yeye.Niliona post ya eatv kule fb,amesema umeme mwisho kukatika ni mwezi wa pili mwakani
Uongo huo uongo bana aah uongo huoNiliona post ya eatv kule fb,amesema umeme mwisho kukatika ni mwezi wa pili mwakani
TusubiriUongo huo uongo bana aah uongo huo
Nilianza kumsikilizaMkufunzi wangu Mmoja wa Somo Communication aliwahi kusema ukiwa ni mwenye Hadhi yoyote ile jitahidi sana Hotuba zako ziwe zinaendana na Mood ya Watu wako kwa wakati husika au ukiona labda hukubaliki nao au una Gundu Gundulile dhidi yao sitisha Kwanza Kuzunzumza nao ( Kuwahutubia ) kwani Ukilazimisha hakuna atakayekusikiliza na utaonekana Kituko zaidi japo una Hadhi Kubwa kuliko yao / wao.
Message Sent and Delivered.
Kaongea pumbestMkufunzi wangu Mmoja wa Somo Communication aliwahi kusema ukiwa ni mwenye Hadhi yoyote ile jitahidi sana Hotuba zako ziwe zinaendana na Mood ya Watu wako kwa wakati husika au ukiona labda hukubaliki nao au una Gundu Gundulile dhidi yao sitisha Kwanza Kuzunzumza nao ( Kuwahutubia ) kwani Ukilazimisha hakuna atakayekusikiliza na utaonekana Kituko zaidi japo una Hadhi Kubwa kuliko yao / wao.
Message Sent and Delivered.
afu kama kichwa cha nyoka hiviHaya sasa JF mwaka mpya umeshafika mtutolee hayo Mavinyago yenu kwenye Avator zetu.