fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Au kama wa kipindi cha mzee wa Msoga 🤣Bongo sahv uhuru wetu kama wa Kenya tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au kama wa kipindi cha mzee wa Msoga 🤣Bongo sahv uhuru wetu kama wa Kenya tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini kila mwaka wanatuwekeaga haya mavinyago? What does it imply?Haya sasa JF mwaka mpya umeshafika mtutolee hayo Mavinyago yenu kwenye Avator zetu.
Kila nikikumbuka hii hotuba yake najiuliza sasa royal tour alifanya ya nini? Maza inawezekana kichwani mifumo haisomaniDay One kabisa kwenye Kiti alisema.... "Tembo hawana maaana waondolewe penye madini yachimbwe tuuuu kwani wana Faida gani".
Kuna jamaa nilikuwa naangalia nao hii hotuba alivofika kwenye kudhibiti mfumuko wa bei wakauliza kwani bei ya sukari na nauli zikoje, wakapayuka kwa nguvu oya tutolee huyo mtu hapa😀😀Nilianza kumsikiliza
Alipomaliza kuelezea kuwa amedhibiti mfumuko wa bei ambapo leo nimwnunua kilo ya sukari Tahs 3,200 nikajiona mjinga sana kuenselwa kusikiliza....
Hizo namba namba zinawafaa kina Madelu, siai tunataka reality.
Kweli sijajua hotuba ilihusu nini haswa
Kumbe una personal issuesSijawahi kupenda na kuvutiwa Kumsikiliza.
ILA usijisahau sanaMkufunzi wangu Mmoja wa Somo Communication aliwahi kusema ukiwa ni mwenye Hadhi yoyote ile jitahidi sana Hotuba zako ziwe zinaendana na Mood ya Watu wako kwa wakati husika au ukiona labda hukubaliki nao au una Gundu Gundulile dhidi yao sitisha Kwanza Kuzunzumza nao ( Kuwahutubia ) kwani Ukilazimisha hakuna atakayekusikiliza na utaonekana Kituko zaidi japo una Hadhi Kubwa kuliko yao / wao.
Message Sent and Delivered.
[emoji2][emoji3][emoji55][emoji16]Kuna jamaa nilikuwa naangalia nao hii hotuba alivofika kwenye kudhibiti mfumuko wa bei wakauliza kwani bei ya sukari na nauli zikoje, wakapayuka kwa nguvu oya tutolee huyo mtu hapa[emoji3][emoji3]
Na imekua read....Mkufunzi wangu Mmoja wa Somo Communication aliwahi kusema ukiwa ni mwenye Hadhi yoyote ile jitahidi sana Hotuba zako ziwe zinaendana na Mood ya Watu wako kwa wakati husika au ukiona labda hukubaliki nao au una Gundu Gundulile dhidi yao sitisha Kwanza Kuzunzumza nao ( Kuwahutubia ) kwani Ukilazimisha hakuna atakayekusikiliza na utaonekana Kituko zaidi japo una Hadhi Kubwa kuliko yao / wao.
Message Sent and Delivered.
Ni hisia zako tu mbovu. Nimemsikia Rais Samia akitoa State of the Nation address ambayo imegusa maeneo yote.Mkufunzi wangu Mmoja wa Somo Communication aliwahi kusema ukiwa ni mwenye Hadhi yoyote ile jitahidi sana Hotuba zako ziwe zinaendana na Mood ya Watu wako kwa wakati husika au ukiona labda hukubaliki nao au una Gundu Gundulile dhidi yao sitisha Kwanza Kuzunzumza nao ( Kuwahutubia ) kwani Ukilazimisha hakuna atakayekusikiliza na utaonekana Kituko zaidi japo una Hadhi Kubwa kuliko yao / wao.
Message Sent and Delivered.
Lucas mwashambwa yupo chimbo muda huu anaandikiwa insha ya kuja kubandika hapa kwamba hotuba ya Hangaya imeangaliwa na Watanzania wote na nusu ya Wakenya huku wakitetemeka kwa furaha ya ajabu.Kuna jamaa nilikuwa naangalia nao hii hotuba alivofika kwenye kudhibiti mfumuko wa bei wakauliza kwani bei ya sukari na nauli zikoje, wakapayuka kwa nguvu oya tutolee huyo mtu hapa😀😀