Kama kahutubia mbona kila ninayemuuliza anasema hajui alichozungumza, huku wengine wakiishia Kusonya tu?

Kama kahutubia mbona kila ninayemuuliza anasema hajui alichozungumza, huku wengine wakiishia Kusonya tu?

Nilianza kumsikiliza
Alipomaliza kuelezea kuwa amedhibiti mfumuko wa bei ambapo leo nimwnunua kilo ya sukari Tahs 3,200 nikajiona mjinga sana kuenselwa kusikiliza....

Hizo namba namba zinawafaa kina Madelu, siai tunataka reality.

Kweli sijajua hotuba ilihusu nini haswa
Kuna jamaa nilikuwa naangalia nao hii hotuba alivofika kwenye kudhibiti mfumuko wa bei wakauliza kwani bei ya sukari na nauli zikoje, wakapayuka kwa nguvu oya tutolee huyo mtu hapa😀😀
 
Mkufunzi wangu Mmoja wa Somo Communication aliwahi kusema ukiwa ni mwenye Hadhi yoyote ile jitahidi sana Hotuba zako ziwe zinaendana na Mood ya Watu wako kwa wakati husika au ukiona labda hukubaliki nao au una Gundu Gundulile dhidi yao sitisha Kwanza Kuzunzumza nao ( Kuwahutubia ) kwani Ukilazimisha hakuna atakayekusikiliza na utaonekana Kituko zaidi japo una Hadhi Kubwa kuliko yao / wao.

Message Sent and Delivered.
ILA usijisahau sana

Hata kama dishi limeyumba
 
Kuna jamaa nilikuwa naangalia nao hii hotuba alivofika kwenye kudhibiti mfumuko wa bei wakauliza kwani bei ya sukari na nauli zikoje, wakapayuka kwa nguvu oya tutolee huyo mtu hapa[emoji3][emoji3]
[emoji2][emoji3][emoji55][emoji16]
 
Mkufunzi wangu Mmoja wa Somo Communication aliwahi kusema ukiwa ni mwenye Hadhi yoyote ile jitahidi sana Hotuba zako ziwe zinaendana na Mood ya Watu wako kwa wakati husika au ukiona labda hukubaliki nao au una Gundu Gundulile dhidi yao sitisha Kwanza Kuzunzumza nao ( Kuwahutubia ) kwani Ukilazimisha hakuna atakayekusikiliza na utaonekana Kituko zaidi japo una Hadhi Kubwa kuliko yao / wao.

Message Sent and Delivered.
Na imekua read....
Big up bro
 
Mkufunzi wangu Mmoja wa Somo Communication aliwahi kusema ukiwa ni mwenye Hadhi yoyote ile jitahidi sana Hotuba zako ziwe zinaendana na Mood ya Watu wako kwa wakati husika au ukiona labda hukubaliki nao au una Gundu Gundulile dhidi yao sitisha Kwanza Kuzunzumza nao ( Kuwahutubia ) kwani Ukilazimisha hakuna atakayekusikiliza na utaonekana Kituko zaidi japo una Hadhi Kubwa kuliko yao / wao.

Message Sent and Delivered.
Ni hisia zako tu mbovu. Nimemsikia Rais Samia akitoa State of the Nation address ambayo imegusa maeneo yote.

Kama ulitaka aanze kusema sijui bei ya nauli ya basi imeteremka basi hujui kazi ya urais ni nini.
 
Tatizo amezungukwa na mbweha, haiingii akilini kabisa mafuta yalipo shuka bei wakapandisha nauli.
 
Kuna jamaa nilikuwa naangalia nao hii hotuba alivofika kwenye kudhibiti mfumuko wa bei wakauliza kwani bei ya sukari na nauli zikoje, wakapayuka kwa nguvu oya tutolee huyo mtu hapa😀😀
Lucas mwashambwa yupo chimbo muda huu anaandikiwa insha ya kuja kubandika hapa kwamba hotuba ya Hangaya imeangaliwa na Watanzania wote na nusu ya Wakenya huku wakitetemeka kwa furaha ya ajabu.

Kiukweli ni kwamba, anachokihutubia kinapingana na uhalisia. Bora hata Mkwere alikuwa ananata na beat yaani anaukubali ukweli kisha anatupiga fix.

Huyu wa sasa anatutajia manamba namba kana kwamba Watanzania wote tumesomea tarakimu. Hotuba haijashawishi kwa sababu imejaa hewa
 
Back
Top Bottom