Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Azimio la Bunge kuhusu Escrow, limetolewa leo, na mjadala wa Escrow, umefungwa rasmi, wakati mjadala huu unaanza, nilisema humu, Hata ikithibitika Fedha za Escrow ni za Wizi, Nawahakikishia Hakuna Atakayewajibika!. Jee leo baada ya mjadala kumalizika, vipi kuna yeyote aliyewajibika?!.
Kwa vile Bunge hili limeishawahi kushughulikia kashfa mbili, ile ya Richmond, na ile ya EPA,
Kama kashfa ya Escrow ni kama Richmond, then je Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Lowassa alionewa?!.
Kama wizi huu ni sawa na ule wizi wa EPA, then, Watuhumiwa wa Escrow wasionewe!, kama watu walikwapua mabilioni yale ya EPA na wakasamehewa kwa kutakiwa kurudisha tuu, kwa nini na watuhumiwa wa Escrow wasitakiwa kurudisha tuu yaishe?!.
Kwa nini Bunge na Serikali yetu ifanye maamuzi tofauti kwa like scenario?!.
What a double Standard?!.
Ila pia kwa vile issue ya fedha ni za umma au laa, bado haijapata majibu ya kina, matokeo ya kila kitu, yatategemea matokeo ya kumalizwa kwa utata huu!, na kwa vile hapo kati, Mhimili wa Mahakama ulidhauriwa, baada ya kwisha kwa kikao cha bunge, sasa mahakama itaendelea, hivyo lolote linaweza kutokea!.
Kwa vile bungeni walisigana na mwisho wa siku wakaondoa tofauti zao, na sisi humu jf, kuna watu tulisigana, sasa tumalize tofauti zetu, tusonge mbele!.
Paskali
Soma
Azimio la Bunge kuhusu Escrow, limetolewa leo, na mjadala wa Escrow, umefungwa rasmi, wakati mjadala huu unaanza, nilisema humu, Hata ikithibitika Fedha za Escrow ni za Wizi, Nawahakikishia Hakuna Atakayewajibika!. Jee leo baada ya mjadala kumalizika, vipi kuna yeyote aliyewajibika?!.
Kwa vile Bunge hili limeishawahi kushughulikia kashfa mbili, ile ya Richmond, na ile ya EPA,
Kama kashfa ya Escrow ni kama Richmond, then je Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Lowassa alionewa?!.
Kama wizi huu ni sawa na ule wizi wa EPA, then, Watuhumiwa wa Escrow wasionewe!, kama watu walikwapua mabilioni yale ya EPA na wakasamehewa kwa kutakiwa kurudisha tuu, kwa nini na watuhumiwa wa Escrow wasitakiwa kurudisha tuu yaishe?!.
Kwa nini Bunge na Serikali yetu ifanye maamuzi tofauti kwa like scenario?!.
What a double Standard?!.
Ila pia kwa vile issue ya fedha ni za umma au laa, bado haijapata majibu ya kina, matokeo ya kila kitu, yatategemea matokeo ya kumalizwa kwa utata huu!, na kwa vile hapo kati, Mhimili wa Mahakama ulidhauriwa, baada ya kwisha kwa kikao cha bunge, sasa mahakama itaendelea, hivyo lolote linaweza kutokea!.
Kwa vile bungeni walisigana na mwisho wa siku wakaondoa tofauti zao, na sisi humu jf, kuna watu tulisigana, sasa tumalize tofauti zetu, tusonge mbele!.
Paskali
Soma