Kama Katiba Yetu Ingeruhusu Matokeo ya Urais Kuhojiwa Mahakamani, Jee Chadema Wangepinga Ushindi wa Magufuli?!.

Kama Katiba Yetu Ingeruhusu Matokeo ya Urais Kuhojiwa Mahakamani, Jee Chadema Wangepinga Ushindi wa Magufuli?!.

Hitimisho.
Japo sisi hatuna sheria ya kupinga matokeo ya urais mahakamani, lakini hata kama tungekuwa na sheria hiyo, safari ya kuwafikia wenzetu Wakenya pale walipo, bali ni mbali kwa Tanzania kwa sababu bado hatuna any credible na serious opposition ya kuyafanya waliyoyafanya wenzetu wa Kenya. Upinzani wetu bado ni upinzani uchwala!, wanasheria wetu ni wanasheria uchwala, mahakama zetu bado ni mahakama uchwala na baadhi ya majaji wa mahakama zetu pia ni majaji uchwala wakiongwa na CJ aliyepo kwenye probation!, ila kwa vile kwa mujibu wa sheria, mwisho wa probation period ni miezi 9, na huu ndio mwezi wa 9 tangu alipoanza probation, lets hope mwezi huu, ama atathibitishwa na kuwa CJ, au tutapatiwa CJ kamili!.

Haya ni maoni yangu, vipi wewe mwenzagu, unasema kwa hoja hizi?.

Wasalaam.

Paskali.


Mzee naona unapiga za Uso tu mfululizo kama Tyson!
Maana umeongea Kweli tena kweli tupu!

Wacha tumuombee Mkulu atreue jaji kamili hope hato toka kule kanda yenu na ataendelea kuwa wa dini yetu kama huyu anayekaimu.
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali "Kama Katiba Yetu Ingeruhusu Matokeo ya Urais Kuhojiwa Mahakamani, Jee Chadema Wangepinga Ushindi wa Magufuli?!".

Baada ya Mahakama Kuu nchini Kenya kutengua matokeo ya uchaguzi wa rais, wengi wa wanasiasa, wanaharakati na wana mitandao ya kijamii, wanajielekeza kwenye madai ya katiba mpya inayoruhusu matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani, kwa matumaini kama tungekuwa na sheria hiyo, Chadema Jee Chadema ingefungua shauri mahakamani kuhoji ushindi wa Magufuli kama walivyofanya wenzao wa Kenya?.

Kwa swali hili, japo nakuachia wewe kutoa majibu, ila naomba katika kutoa maoni yako, pia naomba uzingatie hoja hizi tatu.

1. Jee Chadema wana hoja za msingi za kuyapinga matokeo hayo mahakamani?.
2. Chadema kama Chama Kikuu cha Upinzani, Jee kina Seriousness ya Kungua Shauri Serious kama Hilo?. Inao wanasheria wenye that capacity kama wanasheria wenzao wa Kenya?.
3. Tuseme Chadema wana hoja za msingi, na wako serious with the capacity kufungua shauri, na wamefungua shauri, Jee Mahakama zetu zenye majaji wanaoteuliwa kwa hisani ya rais, zina uwezo wa kutoa haki kama The Supreme Court ya Kenya?.

Maoni Yangu.
1. Hoja za Chadema.
Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wetu yaliyompa ushindi Magufuli, Chadema walipinga matokeo hayo, jee walikuwa na hoja?. Jibu langu ni kweli Chadema walikuwa na hoja za msingi kabisa, lakini very unfortunately, hawana uwezo wa kuwasilisha hoja zao, zaidi ya kupiga tuu kelele!. Kama Chadema walikuwa na hoja, lakini katiba yetu hairuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, then wangewasilisha hizo hoja zao kwa umma, ili Watanzania tuwaelewe.
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...

Jee kuna any moment ambapo Chadema waliwahi kuwasilisha hoja zao popote?.

2. Seriousness ya Chadema.
Kwa maoni yangu, japo Chadema ndicho chama kikuu cha upinzani kwa Tanzania kwa sasa, lakini Chadema has never been serious hata mara moja katika serious issues zinahusu kwenda mahakamani. Tangu Magufuli ameingia Ikulu, ameanza kwa kuisigina Katiba mwanzo mwisho!. Chadema wangekuwa serious, wangeishakwenda mahakamani!, but they are not!. Kama Katiba imeruhusu mikutano ya kisiasa, Magufuli ameingia madarakani kwa kula kiapo cha kuilinda katiba, halafu akapiga marufuku mikutano ya kisiasa, Chadema padala ya kufungua shauri mahakamani, kupinga huu udikiteta wa rais Magufuli, ndio kwanza wanaunda UKUTA kuhamasisha maandamano na mikutano nchi nchi!. Udikiteta haupingwi kwa maandamano na mikutano, Chadema kingekuwa chama serious, kingefungua shauri mahakamani kuhoji kama katiba inaruhusu mikutano ya kisiasa, Rais Magufuli, amepiga marufuku mikutano hiyo ya kisiasa kwa kutumia mamlaka gani? na kifungu gani cha katiba?.
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...


Hivyo hata kama katiba yetu ingeruhusu matokeo ya urais kuhojiwa Mahakamani, lakini bado Chadema wasingefungua shauri kuhoji matokeo hayo kama wenzao wa Kenya, kwa sababu Chadema hawako serious kihivyo, wangekuwa serious kihivyo, then wangeonyesha seriousness yao katika madogo ambayo sheria zipo lakini they did nothing!. Sasa kama Chadema kwenye hili dogo tuu la udikiteta wameshindwa kuli challenge mahakamani, vipi kwenye kubwa la uchaguzi na matokeo ya urais?.

3. Makamama Zetu Ziko Huru?, Zinauwezo wa Kutenda Haki na Kutoa Haki na Haki Ikaonekana Inatendeka?.

Jibu ni hapana!. Japo mhimili wa mahakama ni moja ya mihili ya dola ambao unapaswa kuwa huru, yaani independence of the Judiciary, lakini kiukweli mahakama zetu haziko huru kivile. Kwanza shauri la kuhoji matokeo ya urais lingewasilishwa, Jamhuri ingekuja na hoja kuwa mjaza pingamizi, awasilishe mabilioni kadhaa mahakamani yalitumika kuandaa uchaguzi, au vikwazo vingine vyovyote, na mfano mzuri zile Kesi za Mchugaji Mtikila (RIP), kuhusu mgombea binafsi!.

Linapokuja suala linalohusu maslahi ya CCM na maslahi ya rais ambaye ndiye mteuzi wa watendani wa mahakama, maslahi ya CCM na maslahi ya rais yanawekwa mbele.
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of ...
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
Je, Huu Sio Uvunjaji wa Haki Za Msingi za Binaadamu Unaofanywa na ...
Kaimu Jaji Mkuu wa TZ, pole Prof. | JamiiForums | The Home of ...
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu ...


Hitimisho.
Japo sisi hatuna sheria ya kupinga matokeo ya urais mahakamani, lakini hata kama tungekuwa na sheria hiyo, safari ya kuwafikia wenzetu Wakenya pale walipo, bali ni mbali kwa Tanzania kwa sababu bado hatuna any credible na serious opposition ya kuyafanya waliyoyafanya wenzetu wa Kenya. Upinzani wetu bado ni upinzani uchwala!, wanasheria wetu ni wanasheria uchwala, mahakama zetu bado ni mahakama uchwala na baadhi ya majaji wa mahakama zetu pia ni majaji uchwala wakiongwa na CJ aliyepo kwenye probation!, ila kwa vile kwa mujibu wa sheria, mwisho wa probation period ni miezi 9, na huu ndio mwezi wa 9 tangu alipoanza probation, lets hope mwezi huu, ama atathibitishwa na kuwa CJ, au tutapatiwa CJ kamili!.

Haya ni maoni yangu, vipi wewe mwenzagu, unasema kwa hoja hizi?.

Wasalaam.

Paskali.
Mkuu Paskali,
nilimsikia jaji Magara (kama sijakosea jina) alisema... ELECTION IS NOT AN EVENT, IS A PROCESS.... hivyo basi kwa nilivyoelewa mimi..
1. Within the process, chochote kikivunjwa, IT DOESNT MATTER KAMA UMEPATA KURA MOJA DHIDI YA KURA MAMILIONI YA MSHINDI ALIYETANGAZWA, uchaguzi unakuwa batili
2. USHINDI hauji kwa idadi ya kura tu, bali na uhalali wa process nzima ya uchaguzi

HIVYO BASI KWA KUANGALIA PROCESS NZIMA AMBAYO IDADI YA KURA NI SEHEMU YAKE, NAAMINI WANGEPINGA MAHAKAMANI

BTW
Kinachonishangaza na kuniskitisha ni wale WALIOKATAA RASIMU YA WARIOBA YENYE KIPENGELE CHA KUHOJI MATOKEO YA URAISI MAKAMANI, nao wanatoa pongezi kwa mahakama ya Kenya... UNANAFIKI ULIOTUKUKA

Ngali K.
 
Upinzani ni nani?
Upinzani au watawala ni watanzania. Tujilaumu sisi kama watanzania. Katiba imekuwepo tangu miaka hiyo, mahakama, TLS, majaji vyote vimekuwepo tangu miaka hiyo.
Swali ni je, vyombo vyote hivyo, watanzania kupitia bunge linalo tunga na kupitia sheria hawakuona kwamba katiba ina vifungu vinavyo jipinga?

Katiba inasema hakuna mtu, mamlaka iliyopo juu ya sheria.

Lakini katiba hiyo hiyo inaeleza kuwa rais hatashitakiwa mahakamani kwa jambo lolote!
Je, kwa vile rais anajua hashitakiwi, akiamua kutenda kinyume na katiba mtamfanyaje?

Watanzania tuendelee kuinamisha vichwa tu, tusilaumu wapinzani, kwanza hakuna aliye sajiliwa kama mpinzani. Akili zetu tunazijua wenyewe na "Elimu ndogo ni Sumu"

Unazungumzia Bunge lipi? tuache kujitoa ufahamu.
 
Upinzani ni nani?
Upinzani au watawala ni watanzania. Tujilaumu sisi kama watanzania. Katiba imekuwepo tangu miaka hiyo, mahakama, TLS, majaji vyote vimekuwepo tangu miaka hiyo.
Swali ni je, vyombo vyote hivyo, watanzania kupitia bunge linalo tunga na kupitia sheria hawakuona kwamba katiba ina vifungu vinavyo jipinga?

Katiba inasema hakuna mtu, mamlaka iliyopo juu ya sheria.

Lakini katiba hiyo hiyo inaeleza kuwa rais hatashitakiwa mahakamani kwa jambo lolote!
Je, kwa vile rais anajua hashitakiwi, akiamua kutenda kinyume na katiba mtamfanyaje?

Watanzania tuendelee kuinamisha vichwa tu, tusilaumu wapinzani, kwanza hakuna aliye sajiliwa kama mpinzani. Akili zetu tunazijua wenyewe na "Elimu ndogo ni Sumu"
Balanced, safi sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majaji wateule wa Rais = CCM

Tume ya uchaguzi wateule wa rais = CCM

Kwa vyovyote vile kuenda mahakamani nikupoteza muda unless

1. Tuwe na majaji huru na ionekane kivitendo sio blabla tu.

2. Tuwe na tume huru ya uchaguzi sio ya ccm na oinekane huru kivitendo

LUBUVA KADA NK NK NK

Ccm imeenda mbali kuwekeza mpaka kwa vyombo vya usalama......hiki chama nijanga kubwa na laana kwa Taifa letu

Simnamkumbuka Shimbo mjeshi yupo wapi kama sio china balozi wa Tanzania

Huyu Tulia wa Tukuyu na naibu spika si alikuwa Jaji uccm aliingia lini

Na je Kanal kinana na marehem Komba nao ni vipi siwajeshi

Sijajuwa mkuu wetu kamanda siro
 
Pascal Mayalla siku zinavyozidi kwenda mbele unazidi kuwa na hoja dhaifu.

Hoja uliyoleta ni dhaifu sana na kwa mtazamo wako unaziona zina nguvu kwa kuwa hupendi kutafiti. Mambo yako yote matatu yamejengewa kwenye msingi wa kuona tuna wanasheria dhaifu sana nchini na majaji mabwege ambao hawawezi kuhandle constitutional cases kitu ambacho kimsingi ni upotoshaji.

Kesi zozote zile zinafunguliwa kwa mujibu wa sheria, sio Chadema tu mtu awaye yoyote anauwezo wa kufungua mashtaka makubwa na kupata haki yake.

Kesi za kikatiba zimefunguliwa nyingi tena nyingine wakulima wameigalagaza serikali na kupelekea baadhi ya sheria kufutwa. Majaji hao unaowachukulia poa wamewahi kufuta sheria zilizotungwa na bunge kwa kuwa hazikufuata katiba hili sio dogo.

Kuwadharau mawakili wa Chadema ni wazi huelewi mfumo wa maamuzi na uendeshaji wa mashauri. Si lazima Chadema wamtumie Tundu Lissu wanaweza kuwakilishwa na mawakili wengine ikiwamo Lamwai kama suala ni capacity.

Watu wengine wanahisi uamuzi wa kufuta matokeo ya Urais ni mkubwa sana, wanasahau mahakama yetu hii hii imesikiliza mashauri ya Uhaini na Ugaidi na bado wanasheria wetu wamewakilisha watu na wamepata haki zao.

Nikuhakikishie nyie wanahabari njaa ndio hamna capacity ya kujifananisha na wenzenu wa Kenya.
 
Nimesoma paragraph ya kwanza na ya pili, nikaona we jamaa umekurupuka tu kuandika, ili na wewe uonekane kua ulitoa uchambuzi kwenye hili. Kifupi unauliza maswali ulio na majibu.

Mfano:-Unauaje kama hawana wanasheria imara mabao wangeweza kuwasilisha uteuzi wao...wakati katiba yenyewe hauiruhusu kuhoji hayo matokeo?.

Msikurupuke kuandika bana..
.....
. ...awaandikie Vilaza kule lumumbafc
 
Uzi mrefu ila nijielekeze kidogo tu kwenye kuwasilisha hoja kwa wananchi kuonesha kuwa aliyetangazwa si halali, sijasema hakushinda, ila ile doubt.... Je unajua masharti ya kikatiba kuhusu baada ya kipatikana mshindi? Hairuhusiwi kujojiwa kokote....nadharia ni kuwa ikihoji popote nayo inaweza kuwa grand offence. Take note.

Je kuwaslisha kwa wananchi kungeleta difference? Refer to the above and the katiba.
Mfano mdogo Mh Zitto aliwaonya kuhusu matokeo ya mwanza kuwa exactly mpaka nukta ya mkoa flani. Si Nec wala mamlaka yoyote ilishangaa ilo.


Ishu ya majaji kuteuliwa. Ilo ni jambo kuu na la msingi. Ila ni uhuru tu WA majaji. Walikuwapo kina Mwalusanya. Ila kwa haiba yao wangeweza "kumnyonga" hata aliyewatengenezea kifaa cha kazi, "kitanzi"= uteuzi.

Unahoji chadema kuwa na wanasheria Wazuri!? Ivi kweli paschal unahoji ili na kila siku taarifa za habari zinaonesha kina nani wanaenda sambamba na serikali iwe kule polisi mpaka mahakamani? Na si lazma chadema, kwa katiba yetu ilivo mwenyekiti wa Tume angeamua kumtangaza labda swahiba wake tuseme Chief Liemba au yule mkuu wa mkoa Anna, au kwa makosa au kwa makusudi, baada ya kumtangaza mshindi matokeo hayahojiwi. Pia angeweza kutengeneza complication hata akajitangaza yeye kama mshindi HAKUNA NAMNA YA KUTENGUA USHINDI WAKE ,au hata kuhoji. No more room kinachosubiriwa ni kuapishwa tu. IMAGINE! Then tukae tunadiscuss kama chama cha upinzani wanaweza kusimama ??

Kenya wapinzani walikuwa na private Tallying centre, obviously ndio ilisaidia kujua vyovyote vile rais ni computer generated. Tz mwaka 2015 walikamatwa wapinzani na vitendea kazi vyao kisa walijaribu kujumlisha kuona kiasi gani wanakubalika!

Kama waeledi wasemavo, tunahitaji miaka kama40 au miaka 300 kufika siasa za Kenya na marekani simultenously!
 
Nadhani Kenya hawakupewa oposition hiyo kazi bali walipiwe independent Auditor.

Walipewa opposition yani NASA. Mahakama ilitoa ruksa japo serikali ilibana mpaka mwisho. Nayo nadhani mahakama itatoa adhabu kwa IEBC mapema wiki ijayo kwa kukaidi kutoa access kwa sababu za ajabu kabisa
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali "Kama Katiba Yetu Ingeruhusu Matokeo ya Urais Kuhojiwa Mahakamani, Jee Chadema Wangepinga Ushindi wa Magufuli?!".

Baada ya Mahakama Kuu nchini Kenya kutengua matokeo ya uchaguzi wa rais, wengi wa wanasiasa, wanaharakati na wana mitandao ya kijamii, wanajielekeza kwenye madai ya katiba mpya inayoruhusu matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani, kwa matumaini kama tungekuwa na sheria hiyo, Chadema Jee Chadema ingefungua shauri mahakamani kuhoji ushindi wa Magufuli kama walivyofanya wenzao wa Kenya?.

Kwa swali hili, japo nakuachia wewe kutoa majibu, ila naomba katika kutoa maoni yako, pia naomba uzingatie hoja hizi tatu.

1. Jee Chadema wana hoja za msingi za kuyapinga matokeo hayo mahakamani?.
2. Chadema kama Chama Kikuu cha Upinzani, Jee kina Seriousness ya Kungua Shauri Serious kama Hilo?. Inao wanasheria wenye that capacity kama wanasheria wenzao wa Kenya?.
3. Tuseme Chadema wana hoja za msingi, na wako serious with the capacity kufungua shauri, na wamefungua shauri, Jee Mahakama zetu zenye majaji wanaoteuliwa kwa hisani ya rais, zina uwezo wa kutoa haki kama The Supreme Court ya Kenya?.

Maoni Yangu.
1. Hoja za Chadema.
Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wetu yaliyompa ushindi Magufuli, Chadema walipinga matokeo hayo, jee walikuwa na hoja?. Jibu langu ni kweli Chadema walikuwa na hoja za msingi kabisa, lakini very unfortunately, hawana uwezo wa kuwasilisha hoja zao, zaidi ya kupiga tuu kelele!. Kama Chadema walikuwa na hoja, lakini katiba yetu hairuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, then wangewasilisha hizo hoja zao kwa umma, ili Watanzania tuwaelewe.
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...

Jee kuna any moment ambapo Chadema waliwahi kuwasilisha hoja zao popote?.

2. Seriousness ya Chadema.
Kwa maoni yangu, japo Chadema ndicho chama kikuu cha upinzani kwa Tanzania kwa sasa, lakini Chadema has never been serious hata mara moja katika serious issues zinahusu kwenda mahakamani. Tangu Magufuli ameingia Ikulu, ameanza kwa kuisigina Katiba mwanzo mwisho!. Chadema wangekuwa serious, wangeishakwenda mahakamani!, but they are not!. Kama Katiba imeruhusu mikutano ya kisiasa, Magufuli ameingia madarakani kwa kula kiapo cha kuilinda katiba, halafu akapiga marufuku mikutano ya kisiasa, Chadema padala ya kufungua shauri mahakamani, kupinga huu udikiteta wa rais Magufuli, ndio kwanza wanaunda UKUTA kuhamasisha maandamano na mikutano nchi nchi!. Udikiteta haupingwi kwa maandamano na mikutano, Chadema kingekuwa chama serious, kingefungua shauri mahakamani kuhoji kama katiba inaruhusu mikutano ya kisiasa, Rais Magufuli, amepiga marufuku mikutano hiyo ya kisiasa kwa kutumia mamlaka gani? na kifungu gani cha katiba?.
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...


Hivyo hata kama katiba yetu ingeruhusu matokeo ya urais kuhojiwa Mahakamani, lakini bado Chadema wasingefungua shauri kuhoji matokeo hayo kama wenzao wa Kenya, kwa sababu Chadema hawako serious kihivyo, wangekuwa serious kihivyo, then wangeonyesha seriousness yao katika madogo ambayo sheria zipo lakini they did nothing!. Sasa kama Chadema kwenye hili dogo tuu la udikiteta wameshindwa kuli challenge mahakamani, vipi kwenye kubwa la uchaguzi na matokeo ya urais?.

3. Makamama Zetu Ziko Huru?, Zinauwezo wa Kutenda Haki na Kutoa Haki na Haki Ikaonekana Inatendeka?.

Jibu ni hapana!. Japo mhimili wa mahakama ni moja ya mihili ya dola ambao unapaswa kuwa huru, yaani independence of the Judiciary, lakini kiukweli mahakama zetu haziko huru kivile. Kwanza shauri la kuhoji matokeo ya urais lingewasilishwa, Jamhuri ingekuja na hoja kuwa mjaza pingamizi, awasilishe mabilioni kadhaa mahakamani yalitumika kuandaa uchaguzi, au vikwazo vingine vyovyote, na mfano mzuri zile Kesi za Mchugaji Mtikila (RIP), kuhusu mgombea binafsi!.

Linapokuja suala linalohusu maslahi ya CCM na maslahi ya rais ambaye ndiye mteuzi wa watendani wa mahakama, maslahi ya CCM na maslahi ya rais yanawekwa mbele.
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of ...
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
Je, Huu Sio Uvunjaji wa Haki Za Msingi za Binaadamu Unaofanywa na ...
Kaimu Jaji Mkuu wa TZ, pole Prof. | JamiiForums | The Home of ...
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu ...


Hitimisho.
Japo sisi hatuna sheria ya kupinga matokeo ya urais mahakamani, lakini hata kama tungekuwa na sheria hiyo, safari ya kuwafikia wenzetu Wakenya pale walipo, bali ni mbali kwa Tanzania kwa sababu bado hatuna any credible na serious opposition ya kuyafanya waliyoyafanya wenzetu wa Kenya. Upinzani wetu bado ni upinzani uchwala!, wanasheria wetu ni wanasheria uchwala, mahakama zetu bado ni mahakama uchwala na baadhi ya majaji wa mahakama zetu pia ni majaji uchwala wakiongwa na CJ aliyepo kwenye probation!, ila kwa vile kwa mujibu wa sheria, mwisho wa probation period ni miezi 9, na huu ndio mwezi wa 9 tangu alipoanza probation, lets hope mwezi huu, ama atathibitishwa na kuwa CJ, au tutapatiwa CJ kamili!.

Haya ni maoni yangu, vipi wewe mwenzagu, unasema kwa hoja hizi?.

Wasalaam.

Paskali.
Hili ni swali chokozi!
 
Mkuu umeongea mmbo mengi sana,mi naomba kukuuliza moja tuuu,nani kakuambia mwisho wa Probation/kukaimu ni miezi 9?
mbona kuna watu wengi tuu wana kaimu zaidi ya mwaka/miaka miwili? si anaambiwa bado tunaendelea kukuangalia so Probation extended to 2 years.hata mashirika ya serikali mbona ipo sana hii,Au mimi ndo sielewi?
Hv Kama kuna watu wana uwezo wa kumuangalia huyo mtu aliye kwenye probation kwanini wasipewe wao hyo nafasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majaji wateule wa Rais = CCM

Tume ya uchaguzi wateule wa rais = CCM

Kwa vyovyote vile kuenda mahakamani nikupoteza muda unless

1. Tuwe na majaji huru na ionekane kivitendo sio blabla tu.

2. Tuwe na tume huru ya uchaguzi sio ya ccm na oinekane huru kivitendo

LUBUVA KADA NK NK NK

Ccm imeenda mbali kuwekeza mpaka kwa vyombo vya usalama......hiki chama nijanga kubwa na laana kwa Taifa letu

Simnamkumbuka Shimbo mjeshi yupo wapi kama sio china balozi wa Tanzania

Huyu Tulia wa Tukuyu na naibu spika si alikuwa Jaji uccm aliingia lini

Na je Kanal kinana na marehem Komba nao ni vipi siwajeshi

Sijajuwa mkuu wetu kamanda siro
Content ya post hii inaeleza wazi tofauti ya Tanzania na Kenya...
BTW
Kinachonishangaza na kuniskitisha ni wale WALIOKATAA RASIMU YA WARIOBA YENYE KIPENGELE CHA KUHOJI MATOKEO YA URAISI MAHAKAMANI, nao wanatoa pongezi kwa mahakama ya Kenya... UNANAFIKI ULIOTUKUKA
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali "Kama Katiba Yetu Ingeruhusu Matokeo ya Urais Kuhojiwa Mahakamani, Jee Chadema Wangepinga Ushindi wa Magufuli?!".

Baada ya Mahakama Kuu nchini Kenya kutengua matokeo ya uchaguzi wa rais, wengi wa wanasiasa, wanaharakati na wana mitandao ya kijamii, wanajielekeza kwenye madai ya katiba mpya inayoruhusu matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani, kwa matumaini kama tungekuwa na sheria hiyo, Chadema Jee Chadema ingefungua shauri mahakamani kuhoji ushindi wa Magufuli kama walivyofanya wenzao wa Kenya?.

Kwa swali hili, japo nakuachia wewe kutoa majibu, ila naomba katika kutoa maoni yako, pia naomba uzingatie hoja hizi tatu.

1. Jee Chadema wana hoja za msingi za kuyapinga matokeo hayo mahakamani?.
2. Chadema kama Chama Kikuu cha Upinzani, Jee kina Seriousness ya Kungua Shauri Serious kama Hilo?. Inao wanasheria wenye that capacity kama wanasheria wenzao wa Kenya?.
3. Tuseme Chadema wana hoja za msingi, na wako serious with the capacity kufungua shauri, na wamefungua shauri, Jee Mahakama zetu zenye majaji wanaoteuliwa kwa hisani ya rais, zina uwezo wa kutoa haki kama The Supreme Court ya Kenya?.

Maoni Yangu.
1. Hoja za Chadema.
Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wetu yaliyompa ushindi Magufuli, Chadema walipinga matokeo hayo, jee walikuwa na hoja?. Jibu langu ni kweli Chadema walikuwa na hoja za msingi kabisa, lakini very unfortunately, hawana uwezo wa kuwasilisha hoja zao, zaidi ya kupiga tuu kelele!. Kama Chadema walikuwa na hoja, lakini katiba yetu hairuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, then wangewasilisha hizo hoja zao kwa umma, ili Watanzania tuwaelewe.
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...

Jee kuna any moment ambapo Chadema waliwahi kuwasilisha hoja zao popote?.

2. Seriousness ya Chadema.
Kwa maoni yangu, japo Chadema ndicho chama kikuu cha upinzani kwa Tanzania kwa sasa, lakini Chadema has never been serious hata mara moja katika serious issues zinahusu kwenda mahakamani. Tangu Magufuli ameingia Ikulu, ameanza kwa kuisigina Katiba mwanzo mwisho!. Chadema wangekuwa serious, wangeishakwenda mahakamani!, but they are not!. Kama Katiba imeruhusu mikutano ya kisiasa, Magufuli ameingia madarakani kwa kula kiapo cha kuilinda katiba, halafu akapiga marufuku mikutano ya kisiasa, Chadema padala ya kufungua shauri mahakamani, kupinga huu udikiteta wa rais Magufuli, ndio kwanza wanaunda UKUTA kuhamasisha maandamano na mikutano nchi nchi!. Udikiteta haupingwi kwa maandamano na mikutano, Chadema kingekuwa chama serious, kingefungua shauri mahakamani kuhoji kama katiba inaruhusu mikutano ya kisiasa, Rais Magufuli, amepiga marufuku mikutano hiyo ya kisiasa kwa kutumia mamlaka gani? na kifungu gani cha katiba?.
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...


Hivyo hata kama katiba yetu ingeruhusu matokeo ya urais kuhojiwa Mahakamani, lakini bado Chadema wasingefungua shauri kuhoji matokeo hayo kama wenzao wa Kenya, kwa sababu Chadema hawako serious kihivyo, wangekuwa serious kihivyo, then wangeonyesha seriousness yao katika madogo ambayo sheria zipo lakini they did nothing!. Sasa kama Chadema kwenye hili dogo tuu la udikiteta wameshindwa kuli challenge mahakamani, vipi kwenye kubwa la uchaguzi na matokeo ya urais?.

3. Makamama Zetu Ziko Huru?, Zinauwezo wa Kutenda Haki na Kutoa Haki na Haki Ikaonekana Inatendeka?.

Jibu ni hapana!. Japo mhimili wa mahakama ni moja ya mihili ya dola ambao unapaswa kuwa huru, yaani independence of the Judiciary, lakini kiukweli mahakama zetu haziko huru kivile. Kwanza shauri la kuhoji matokeo ya urais lingewasilishwa, Jamhuri ingekuja na hoja kuwa mjaza pingamizi, awasilishe mabilioni kadhaa mahakamani yalitumika kuandaa uchaguzi, au vikwazo vingine vyovyote, na mfano mzuri zile Kesi za Mchugaji Mtikila (RIP), kuhusu mgombea binafsi!.

Linapokuja suala linalohusu maslahi ya CCM na maslahi ya rais ambaye ndiye mteuzi wa watendani wa mahakama, maslahi ya CCM na maslahi ya rais yanawekwa mbele.
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of ...
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
Je, Huu Sio Uvunjaji wa Haki Za Msingi za Binaadamu Unaofanywa na ...
Kaimu Jaji Mkuu wa TZ, pole Prof. | JamiiForums | The Home of ...
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu ...


Hitimisho.
Japo sisi hatuna sheria ya kupinga matokeo ya urais mahakamani, lakini hata kama tungekuwa na sheria hiyo, safari ya kuwafikia wenzetu Wakenya pale walipo, bali ni mbali kwa Tanzania kwa sababu bado hatuna any credible na serious opposition ya kuyafanya waliyoyafanya wenzetu wa Kenya. Upinzani wetu bado ni upinzani uchwala!, wanasheria wetu ni wanasheria uchwala, mahakama zetu bado ni mahakama uchwala na baadhi ya majaji wa mahakama zetu pia ni majaji uchwala wakiongwa na CJ aliyepo kwenye probation!, ila kwa vile kwa mujibu wa sheria, mwisho wa probation period ni miezi 9, na huu ndio mwezi wa 9 tangu alipoanza probation, lets hope mwezi huu, ama atathibitishwa na kuwa CJ, au tutapatiwa CJ kamili!.

Haya ni maoni yangu, vipi wewe mwenzagu, unasema kwa hoja hizi?.

Wasalaam.

Paskali.


Wewe ni kama watu wa Dunia nzima hamuelewi kinachoendela Kenya na mnasifu kwa sababu mmesikia Muzungu anasifu, kilichotokea Kenya hakina uhisiano wowote ule na Demokrasia bali ni Umafia tu, sasa subiri chaos inayofwata Kenya halfu baada ya miezi 3 urudi tana hapa na kusifu!
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali "Kama Katiba Yetu Ingeruhusu Matokeo ya Urais Kuhojiwa Mahakamani, Jee Chadema Wangepinga Ushindi wa Magufuli?!".

Baada ya Mahakama Kuu nchini Kenya kutengua matokeo ya uchaguzi wa rais, wengi wa wanasiasa, wanaharakati na wana mitandao ya kijamii, wanajielekeza kwenye madai ya katiba mpya inayoruhusu matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani, kwa matumaini kama tungekuwa na sheria hiyo, Chadema Jee Chadema ingefungua shauri mahakamani kuhoji ushindi wa Magufuli kama walivyofanya wenzao wa Kenya?.

Kwa swali hili, japo nakuachia wewe kutoa majibu, ila naomba katika kutoa maoni yako, pia naomba uzingatie hoja hizi tatu.

1. Jee Chadema wana hoja za msingi za kuyapinga matokeo hayo mahakamani?.
2. Chadema kama Chama Kikuu cha Upinzani, Jee kina Seriousness ya Kungua Shauri Serious kama Hilo?. Inao wanasheria wenye that capacity kama wanasheria wenzao wa Kenya?.
3. Tuseme Chadema wana hoja za msingi, na wako serious with the capacity kufungua shauri, na wamefungua shauri, Jee Mahakama zetu zenye majaji wanaoteuliwa kwa hisani ya rais, zina uwezo wa kutoa haki kama The Supreme Court ya Kenya?.

Maoni Yangu.
1. Hoja za Chadema.
Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wetu yaliyompa ushindi Magufuli, Chadema walipinga matokeo hayo, jee walikuwa na hoja?. Jibu langu ni kweli Chadema walikuwa na hoja za msingi kabisa, lakini very unfortunately, hawana uwezo wa kuwasilisha hoja zao, zaidi ya kupiga tuu kelele!. Kama Chadema walikuwa na hoja, lakini katiba yetu hairuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, then wangewasilisha hizo hoja zao kwa umma, ili Watanzania tuwaelewe.
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...

Jee kuna any moment ambapo Chadema waliwahi kuwasilisha hoja zao popote?.

2. Seriousness ya Chadema.
Kwa maoni yangu, japo Chadema ndicho chama kikuu cha upinzani kwa Tanzania kwa sasa, lakini Chadema has never been serious hata mara moja katika serious issues zinahusu kwenda mahakamani. Tangu Magufuli ameingia Ikulu, ameanza kwa kuisigina Katiba mwanzo mwisho!. Chadema wangekuwa serious, wangeishakwenda mahakamani!, but they are not!. Kama Katiba imeruhusu mikutano ya kisiasa, Magufuli ameingia madarakani kwa kula kiapo cha kuilinda katiba, halafu akapiga marufuku mikutano ya kisiasa, Chadema padala ya kufungua shauri mahakamani, kupinga huu udikiteta wa rais Magufuli, ndio kwanza wanaunda UKUTA kuhamasisha maandamano na mikutano nchi nchi!. Udikiteta haupingwi kwa maandamano na mikutano, Chadema kingekuwa chama serious, kingefungua shauri mahakamani kuhoji kama katiba inaruhusu mikutano ya kisiasa, Rais Magufuli, amepiga marufuku mikutano hiyo ya kisiasa kwa kutumia mamlaka gani? na kifungu gani cha katiba?.
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...


Hivyo hata kama katiba yetu ingeruhusu matokeo ya urais kuhojiwa Mahakamani, lakini bado Chadema wasingefungua shauri kuhoji matokeo hayo kama wenzao wa Kenya, kwa sababu Chadema hawako serious kihivyo, wangekuwa serious kihivyo, then wangeonyesha seriousness yao katika madogo ambayo sheria zipo lakini they did nothing!. Sasa kama Chadema kwenye hili dogo tuu la udikiteta wameshindwa kuli challenge mahakamani, vipi kwenye kubwa la uchaguzi na matokeo ya urais?.

3. Makamama Zetu Ziko Huru?, Zinauwezo wa Kutenda Haki na Kutoa Haki na Haki Ikaonekana Inatendeka?.

Jibu ni hapana!. Japo mhimili wa mahakama ni moja ya mihili ya dola ambao unapaswa kuwa huru, yaani independence of the Judiciary, lakini kiukweli mahakama zetu haziko huru kivile. Kwanza shauri la kuhoji matokeo ya urais lingewasilishwa, Jamhuri ingekuja na hoja kuwa mjaza pingamizi, awasilishe mabilioni kadhaa mahakamani yalitumika kuandaa uchaguzi, au vikwazo vingine vyovyote, na mfano mzuri zile Kesi za Mchugaji Mtikila (RIP), kuhusu mgombea binafsi!.

Linapokuja suala linalohusu maslahi ya CCM na maslahi ya rais ambaye ndiye mteuzi wa watendani wa mahakama, maslahi ya CCM na maslahi ya rais yanawekwa mbele.
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of ...
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
Je, Huu Sio Uvunjaji wa Haki Za Msingi za Binaadamu Unaofanywa na ...
Kaimu Jaji Mkuu wa TZ, pole Prof. | JamiiForums | The Home of ...
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu ...


Hitimisho.
Japo sisi hatuna sheria ya kupinga matokeo ya urais mahakamani, lakini hata kama tungekuwa na sheria hiyo, safari ya kuwafikia wenzetu Wakenya pale walipo, bali ni mbali kwa Tanzania kwa sababu bado hatuna any credible na serious opposition ya kuyafanya waliyoyafanya wenzetu wa Kenya. Upinzani wetu bado ni upinzani uchwala!, wanasheria wetu ni wanasheria uchwala, mahakama zetu bado ni mahakama uchwala na baadhi ya majaji wa mahakama zetu pia ni majaji uchwala wakiongwa na CJ aliyepo kwenye probation!, ila kwa vile kwa mujibu wa sheria, mwisho wa probation period ni miezi 9, na huu ndio mwezi wa 9 tangu alipoanza probation, lets hope mwezi huu, ama atathibitishwa na kuwa CJ, au tutapatiwa CJ kamili!.

Haya ni maoni yangu, vipi wewe mwenzagu, unasema kwa hoja hizi?.

Wasalaam.

Paskali.
Screenshot_20170901-193217.jpg
 
Mkuu Pasco

Heshima kwako

Hizi idea ni kubwa sana kwa CHADEMA. Ndugu zetu hawa hawawezi kuzitekeleza hata ufanyeje. Utekelezaji wa masuala serious ya kitaifa uliondoka na Dr Slaa.

Wanabodi,

Hii ni thread ya swali "Kama Katiba Yetu Ingeruhusu Matokeo ya Urais Kuhojiwa Mahakamani, Jee Chadema Wangepinga Ushindi wa Magufuli?!".

Baada ya Mahakama Kuu nchini Kenya kutengua matokeo ya uchaguzi wa rais, wengi wa wanasiasa, wanaharakati na wana mitandao ya kijamii, wanajielekeza kwenye madai ya katiba mpya inayoruhusu matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani, kwa matumaini kama tungekuwa na sheria hiyo, Chadema Jee Chadema ingefungua shauri mahakamani kuhoji ushindi wa Magufuli kama walivyofanya wenzao wa Kenya?.

Kwa swali hili, japo nakuachia wewe kutoa majibu, ila naomba katika kutoa maoni yako, pia naomba uzingatie hoja hizi tatu.

1. Jee Chadema wana hoja za msingi za kuyapinga matokeo hayo mahakamani?.
2. Chadema kama Chama Kikuu cha Upinzani, Jee kina Seriousness ya Kungua Shauri Serious kama Hilo?. Inao wanasheria wenye that capacity kama wanasheria wenzao wa Kenya?.
3. Tuseme Chadema wana hoja za msingi, na wako serious with the capacity kufungua shauri, na wamefungua shauri, Jee Mahakama zetu zenye majaji wanaoteuliwa kwa hisani ya rais, zina uwezo wa kutoa haki kama The Supreme Court ya Kenya?.

Maoni Yangu.
1. Hoja za Chadema.
Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wetu yaliyompa ushindi Magufuli, Chadema walipinga matokeo hayo, jee walikuwa na hoja?. Jibu langu ni kweli Chadema walikuwa na hoja za msingi kabisa, lakini very unfortunately, hawana uwezo wa kuwasilisha hoja zao, zaidi ya kupiga tuu kelele!. Kama Chadema walikuwa na hoja, lakini katiba yetu hairuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, then wangewasilisha hizo hoja zao kwa umma, ili Watanzania tuwaelewe.
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...

Jee kuna any moment ambapo Chadema waliwahi kuwasilisha hoja zao popote?.

2. Seriousness ya Chadema.
Kwa maoni yangu, japo Chadema ndicho chama kikuu cha upinzani kwa Tanzania kwa sasa, lakini Chadema has never been serious hata mara moja katika serious issues zinahusu kwenda mahakamani. Tangu Magufuli ameingia Ikulu, ameanza kwa kuisigina Katiba mwanzo mwisho!. Chadema wangekuwa serious, wangeishakwenda mahakamani!, but they are not!. Kama Katiba imeruhusu mikutano ya kisiasa, Magufuli ameingia madarakani kwa kula kiapo cha kuilinda katiba, halafu akapiga marufuku mikutano ya kisiasa, Chadema padala ya kufungua shauri mahakamani, kupinga huu udikiteta wa rais Magufuli, ndio kwanza wanaunda UKUTA kuhamasisha maandamano na mikutano nchi nchi!. Udikiteta haupingwi kwa maandamano na mikutano, Chadema kingekuwa chama serious, kingefungua shauri mahakamani kuhoji kama katiba inaruhusu mikutano ya kisiasa, Rais Magufuli, amepiga marufuku mikutano hiyo ya kisiasa kwa kutumia mamlaka gani? na kifungu gani cha katiba?.
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...


Hivyo hata kama katiba yetu ingeruhusu matokeo ya urais kuhojiwa Mahakamani, lakini bado Chadema wasingefungua shauri kuhoji matokeo hayo kama wenzao wa Kenya, kwa sababu Chadema hawako serious kihivyo, wangekuwa serious kihivyo, then wangeonyesha seriousness yao katika madogo ambayo sheria zipo lakini they did nothing!. Sasa kama Chadema kwenye hili dogo tuu la udikiteta wameshindwa kuli challenge mahakamani, vipi kwenye kubwa la uchaguzi na matokeo ya urais?.

3. Makamama Zetu Ziko Huru?, Zinauwezo wa Kutenda Haki na Kutoa Haki na Haki Ikaonekana Inatendeka?.

Jibu ni hapana!. Japo mhimili wa mahakama ni moja ya mihili ya dola ambao unapaswa kuwa huru, yaani independence of the Judiciary, lakini kiukweli mahakama zetu haziko huru kivile. Kwanza shauri la kuhoji matokeo ya urais lingewasilishwa, Jamhuri ingekuja na hoja kuwa mjaza pingamizi, awasilishe mabilioni kadhaa mahakamani yalitumika kuandaa uchaguzi, au vikwazo vingine vyovyote, na mfano mzuri zile Kesi za Mchugaji Mtikila (RIP), kuhusu mgombea binafsi!.

Linapokuja suala linalohusu maslahi ya CCM na maslahi ya rais ambaye ndiye mteuzi wa watendani wa mahakama, maslahi ya CCM na maslahi ya rais yanawekwa mbele.
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of ...
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
Je, Huu Sio Uvunjaji wa Haki Za Msingi za Binaadamu Unaofanywa na ...
Kaimu Jaji Mkuu wa TZ, pole Prof. | JamiiForums | The Home of ...
Mhe.Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu ...


Hitimisho.
Japo sisi hatuna sheria ya kupinga matokeo ya urais mahakamani, lakini hata kama tungekuwa na sheria hiyo, safari ya kuwafikia wenzetu Wakenya pale walipo, bali ni mbali kwa Tanzania kwa sababu bado hatuna any credible na serious opposition ya kuyafanya waliyoyafanya wenzetu wa Kenya. Upinzani wetu bado ni upinzani uchwala!, wanasheria wetu ni wanasheria uchwala, mahakama zetu bado ni mahakama uchwala na baadhi ya majaji wa mahakama zetu pia ni majaji uchwala wakiongwa na CJ aliyepo kwenye probation!, ila kwa vile kwa mujibu wa sheria, mwisho wa probation period ni miezi 9, na huu ndio mwezi wa 9 tangu alipoanza probation, lets hope mwezi huu, ama atathibitishwa na kuwa CJ, au tutapatiwa CJ kamili!.

Haya ni maoni yangu, vipi wewe mwenzagu, unasema kwa hoja hizi?.

Wasalaam.

Paskali.
 
Back
Top Bottom