Kama kauli hii kaisema Mzee Bulembo, naomba wana CCM watunukiwe tuzo ya unafiki uliotukuka

Kama kauli hii kaisema Mzee Bulembo, naomba wana CCM watunukiwe tuzo ya unafiki uliotukuka

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Serikali ya Hayati Dkt. Magufuli ilitengeneza Maadui wengi na nchi za Kimataifa kupitia Waziri Kabudi ila Serikali ya Rais wa sasa Samia imerejesha Mahusiano mema na Mataifa mbalimbali kupitia Waziri Mulamula" Mzee Bulembo Kada Mwandamizi wa CCM na aliyewahi pia kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM.

Chanzo: DarBlogMpya

Kama kumbukumbu zangu hazijapotea ni kwamba ukiwataja Viongozi Watatu bora ambao walikuwa Wakimpamba / Wakimsifia sana Hayati Rais Dkt. Magufuli na kusema hakuna kama Yeye Tanzania Mzee huyu Kada wa CCM Abdallah Bulembo hakosekani ila ghafla leo hii kaamua kupiga U-turn ya Hatari.

KEROZENE natamani sana Tanzania tuje na Sheria ya KUNYONGWA HADI KUFA KWA WANAFIKI WOTE hasa hasa ndani ya Chama Tawala CCM.
 
Sio unafiki, ndivyo CCM inavyotawala. Leo mnashangilia akina HP wakinyooshwa badala ya hoja zake! Hata wakati wa JPM tuliwatetea akina Nape sababu ya tofauti yake na JPM na sio hoja zake.

CCM itatawala milele namna hii na tukishtuka Mbowe kahukumiwa kwa ugaidi! Focus! Focus! Focus! CCM aliyefariki ni mwenyekiti wao tu! Wanastahili maswali magumu ili tujue chama kipi kilitawala awamu zilizopita.
 
Kuhusu pendekezo la hiyo sheria,niko na wewe sana....hawa jamaa hapana aisee,

Wanafiki wa ukweli ambao gata aibu hawana.
 
Mzee Bulembo akiwa bungeni alitamka kuwa watu kama zito wanaomchallenge magufuli wanatakiwa wanyongwe, mapenzi yake kwa jpm yalikuwa hatari, wala hakujali kuwa zito ni mkwewe.

Lakini bila shaka njaa imeanza kumuuma
 
Back
Top Bottom