Kama kawaida ya madaktari, huwa hawapendi kuguswa

Kama kawaida ya madaktari, huwa hawapendi kuguswa

Nobunaga

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,205
Reaction score
5,121
Lile sakata la kufutwa gharama za kuonwa/kuhudumiwa hospitali na wahudumu linazidi kuchanja mbuga. Kwanza tuwekane sawa hapa, haiitwi gharama ya kumuona daktari, inaitwa "Consultation Fee" ikimaanisha "Gharama ya Kuhudumiwa" kwa maana utapita mikono ya wataalamu kadhaa siyo daktari tuu.

Baraza lao wanadai hii pesa huwa inaenda kwenye mfuko wa hospitali. Lakini hii ni danganya toto kwani hali ni tofauti kwa upande wa mifuko ya bima.
IMG-20220812-WA0071.jpg


Sasa ngoja tusanuane, kwa wale wasiojua. Suala la hii gharama ni kweli inaingia mfuko wa hospitali, lakini ni kwa wagonjwa wanaolipa cash tuu. Consultation fees za mifuko ya bima ina mgawanyo tofauti ambao umekaa kiunyanyasji wa hali ya juu sana.
Consultations fees za bima zote, hospitali inachukua 40%, daktari naye anachukua 40%, wauguzi wanachukua 15% na 5% inayobaki wanachukua wengine kama maabara na wahudumu wa afya.

Sasa ukiangalia hizo % hapo juu unaweza ukaona kama ni kitu kidogo, lakini ngoja niweke figure halisi ndiyo utajua hawa madaktari ni kwa jinsi gani wameweka mfumo wa kitumwa kwa kada zingine wanazoshirikiana nao.
IMG_20220812_223046.jpg

Huo mfano hapo juu ni wa consultation fee ya NHIF ambayo ni 25,000/=. Hospitali inachukua 10,000/=, Daktari anachukua 10,000/=, Muuguzi anachua 3,500/= na wengine wanaobaki wanagawana 1,500/= iliyobaki.

Ndiyo maana nasema hii ni janja janja tuu ya siku zote. Kwanza wale wanaolipia cash, consultation fee mara nyingi ni 10,000/= tuu. Hivyo bima ndizo zina consultation fee kubwa na ndizo hizo madaktari wakajitungia ka utaratibu ka kujikwapulia kiasi sawa na hospitali, huku wakiwabakizia wengine kiduchu.

Nimewahi kuleta uzi humu nikielezea ni kwa namna gani hawa madaktari wamejijengea ka empire kwenye sekta ya afya kiasi kwamba hawataki wengine nao waifurahie hii sekta. Wamejimilikisha sekta ya afya utadhani wako peke yao.


Hivyo waziri unapoenda kukaa nao chini kaa nao chonjo sana, wanaweza wakapendekeza consultation fee za cash ndizo zifutwe lakini za bima zisifutwe kwa sababu wao wanafaidika nazo.
 
Niliwahi mpeleka mgonjwa wangu Muhimbili kitengo cha magonjwa ya akili, bahati kukawa na shida upande wa bima nilitakiwa kusubiri mpaka J3 Ili nipate huduma kwa kutumia bima, na siku hiyo ilikua J,mosi. Niliomba nilipie cash , walikubali, nikapewa profomer invoice, consolitation fee kwa Dr ilikua Tsh 60,000/ na nililipia. Unaposema hiyo kwa cash ni Tsh 10,000/ nitakushangaa, kwani mimi mwenyewe nililipia 60,000/ na huduma zingine nililipia pia
 
Niliwahi mpeleka mgonjwa wangu Muhimbili kitengo cha magonjwa ya akili, bahati kukawa na shida upande wa bima nilitakiwa kusubiri mpaka J3 Ili nipate huduma kwa kutumia bima, na siku hiyo ilikua J,mosi. Niliomba nilipie cash , walikubali, nikapewa profomer invoice, consolitation fee kwa Dr ilikua Tsh 60,000/ na nililipia. Unaposema hiyo kwa cash ni Tsh 10,000/ nitakushangaa, kwani mimi mwenyewe nililipia 60,000/ na huduma zingine nililipia pia
Ukihamishwa kutoka bima kwenda cash unakuwa considered kama "Private" hivyo gharama zinakuwa juu zaidi.​
 
Kwani unataka wapate sawa wote, wakati hata wakiwa wanasoma ada zao tofauti wote, ya Dakitari ipo juu, na yeye ndo atamsikiliza patient na kumanage
Hakuna mahali nimesema wapate sawa, ila angalau kuwe na mpishano mdogo...
Angalau hospitali ichukue 50%, daktari 20%, muuguzi 15% na inayobaki wengine nao wapate.​
 
Ungejua tunayopitia ungekaa kimya

Kila week tunachangishana almost ef kumi kumi kwa ajili ya wagonjwa wasio na ndugu wale

Wapate dawa

Ungejua na mengine yaliyopo ungekaa kimya lakini hakuna namna tunaweza kufanya uelewe ni bora tukuache
Hii na consultation fee inahusiana vipi mkuu, kwa hiyo nyie mmekuwa ustawi wa jamii siku hizi?
Kwamba mnajihusisha na kuassess wasio na uwezo kisha mnawasaidia?​
 
Huwezi kuelewa I don't think daktari yeyote atakuja kujibishana na wewe hapa hauwezi kuelewa
Just have a good night young man
Siyo kwamba siwezi kuelewa old man, ni kwamba hakuna justifications ya maana kwenye hizo figures hapo juu...
Mkiguswa kidogo kelele nyiingii, oooh tunachangia wasio na uwezo, oooh ungejua na mengine ya nyuma ya pazia, yapiii...... Blaah blaah tuu hakuna kitu.​
 
Lile sakata la kufutwa gharama za kuonwa/kuhudumiwa hospitali na wahudumu linazidi kuchanja mbuga. Kwanza tuwekane sawa hapa, haiitwi gharama ya kumuona daktari, inaitwa "Consultation Fee" ikimaanisha "Gharama ya Kuhudumiwa" kwa maana utapita mikono ya wataalamu kadhaa siyo daktari tuu.

Baraza lao wanadai hii pesa huwa inaenda kwenye mfuko wa hospitali. Lakini hii ni danganya toto kwani hali ni tofauti kwa upande wa mifuko ya bima.
View attachment 2322322

Sasa ngoja tusanuane, kwa wale wasiojua. Suala la hii gharama ni kweli inaingia mfuko wa hospitali, lakini ni kwa wagonjwa wanaolipa cash tuu. Consultation fees za mifuko ya bima ina mgawanyo tofauti ambao umekaa kiunyanyasji wa hali ya juu sana.
Consultations fees za bima zote, hospitali inachukua 40%, daktari naye anachukua 40%, wauguzi wanachukua 15% na 5% inayobaki wanachukua wengine kama maabara na wahudumu wa afya.

Sasa ukiangalia hizo % hapo juu unaweza ukaona kama ni kitu kidogo, lakini ngoja niweke figure halisi ndiyo utajua hawa madaktari ni kwa jinsi gani wameweka mfumo wa kitumwa kwa kada zingine wanazoshirikiana nao.
View attachment 2322344
Huo mfano hapo juu ni wa consultation fee ya NHIF ambayo ni 25,000/=. Hospitali inachukua 10,000/=, Daktari anachukua 10,000/=, Muuguzi anachua 3,500/= na wengine wanaobaki wanagawana 1,500/= iliyobaki.

Ndiyo maana nasema hii ni janja janja tuu ya siku zote. Kwanza wale wanaolipia cash, consultation fee mara nyingi ni 10,000/= tuu. Hivyo bima ndizo zina consultation fee kubwa na ndizo hizo madaktari wakajitungia ka utaratibu ka kujikwapulia kiasi sawa na hospitali, huku wakiwabakizia wengine kiduchu.

Nimewahi kuleta uzi humu nikielezea ni kwa namna gani hawa madaktari wamejijengea ka empire kwenye sekta ya afya kiasi kwamba hawataki wengine nao waifurahie hii sekta. Wamejimilikisha sekta ya afya utadhani wako peke yao.


Hivyo waziri unapoenda kukaa nao chini kaa nao chonjo sana, wanaweza wakapendekeza consultation fee za cash ndizo zifutwe lakini za bima zisifutwe kwa sababu wao wanafaidika nazo.
Mkuu tulisoma miaka mitano kumbuka plus intern au shuleni haukuambiwa udaktari unalipa😂😂
 
Lile sakata la kufutwa gharama za kuonwa/kuhudumiwa hospitali na wahudumu linazidi kuchanja mbuga. Kwanza tuwekane sawa hapa, haiitwi gharama ya kumuona daktari, inaitwa "Consultation Fee" ikimaanisha "Gharama ya Kuhudumiwa" kwa maana utapita mikono ya wataalamu kadhaa siyo daktari tuu.

Baraza lao wanadai hii pesa huwa inaenda kwenye mfuko wa hospitali. Lakini hii ni danganya toto kwani hali ni tofauti kwa upande wa mifuko ya bima.
View attachment 2322322

Sasa ngoja tusanuane, kwa wale wasiojua. Suala la hii gharama ni kweli inaingia mfuko wa hospitali, lakini ni kwa wagonjwa wanaolipa cash tuu. Consultation fees za mifuko ya bima ina mgawanyo tofauti ambao umekaa kiunyanyasji wa hali ya juu sana.
Consultations fees za bima zote, hospitali inachukua 40%, daktari naye anachukua 40%, wauguzi wanachukua 15% na 5% inayobaki wanachukua wengine kama maabara na wahudumu wa afya.

Sasa ukiangalia hizo % hapo juu unaweza ukaona kama ni kitu kidogo, lakini ngoja niweke figure halisi ndiyo utajua hawa madaktari ni kwa jinsi gani wameweka mfumo wa kitumwa kwa kada zingine wanazoshirikiana nao.
View attachment 2322344
Huo mfano hapo juu ni wa consultation fee ya NHIF ambayo ni 25,000/=. Hospitali inachukua 10,000/=, Daktari anachukua 10,000/=, Muuguzi anachua 3,500/= na wengine wanaobaki wanagawana 1,500/= iliyobaki.

Ndiyo maana nasema hii ni janja janja tuu ya siku zote. Kwanza wale wanaolipia cash, consultation fee mara nyingi ni 10,000/= tuu. Hivyo bima ndizo zina consultation fee kubwa na ndizo hizo madaktari wakajitungia ka utaratibu ka kujikwapulia kiasi sawa na hospitali, huku wakiwabakizia wengine kiduchu.

Nimewahi kuleta uzi humu nikielezea ni kwa namna gani hawa madaktari wamejijengea ka empire kwenye sekta ya afya kiasi kwamba hawataki wengine nao waifurahie hii sekta. Wamejimilikisha sekta ya afya utadhani wako peke yao.


Hivyo waziri unapoenda kukaa nao chini kaa nao chonjo sana, wanaweza wakapendekeza consultation fee za cash ndizo zifutwe lakini za bima zisifutwe kwa sababu wao wanafaidika nazo.
Ndio maana huwa kuna posho kutoka BIMA(NHIF) kila mwezi kwa watumishi walioko kitengo cha Bima.

Sikujua huu mgawanyo, nilijua tu ni bonus ya kawaida
 
Back
Top Bottom