Lile sakata la kufutwa gharama za kuonwa/kuhudumiwa hospitali na wahudumu linazidi kuchanja mbuga. Kwanza tuwekane sawa hapa, haiitwi gharama ya kumuona daktari, inaitwa "Consultation Fee" ikimaanisha "Gharama ya Kuhudumiwa" kwa maana utapita mikono ya wataalamu kadhaa siyo daktari tuu.
Baraza lao wanadai hii pesa huwa inaenda kwenye mfuko wa hospitali. Lakini hii ni danganya toto kwani hali ni tofauti kwa upande wa mifuko ya bima.
Sasa ngoja tusanuane, kwa wale wasiojua. Suala la hii gharama ni kweli inaingia mfuko wa hospitali, lakini ni kwa wagonjwa wanaolipa cash tuu. Consultation fees za mifuko ya bima ina mgawanyo tofauti ambao umekaa kiunyanyasji wa hali ya juu sana.
Consultations fees za bima zote, hospitali inachukua 40%, daktari naye anachukua 40%, wauguzi wanachukua 15% na 5% inayobaki wanachukua wengine kama maabara na wahudumu wa afya.
Sasa ukiangalia hizo % hapo juu unaweza ukaona kama ni kitu kidogo, lakini ngoja niweke figure halisi ndiyo utajua hawa madaktari ni kwa jinsi gani wameweka mfumo wa kitumwa kwa kada zingine wanazoshirikiana nao.
Huo mfano hapo juu ni wa consultation fee ya NHIF ambayo ni 25,000/=. Hospitali inachukua 10,000/=, Daktari anachukua 10,000/=, Muuguzi anachua 3,500/= na wengine wanaobaki wanagawana 1,500/= iliyobaki.
Ndiyo maana nasema hii ni janja janja tuu ya siku zote. Kwanza wale wanaolipia cash, consultation fee mara nyingi ni 10,000/= tuu. Hivyo bima ndizo zina consultation fee kubwa na ndizo hizo madaktari wakajitungia ka utaratibu ka kujikwapulia kiasi sawa na hospitali, huku wakiwabakizia wengine kiduchu.
Nimewahi kuleta uzi humu nikielezea ni kwa namna gani hawa madaktari wamejijengea ka empire kwenye sekta ya afya kiasi kwamba hawataki wengine nao waifurahie hii sekta. Wamejimilikisha sekta ya afya utadhani wako peke yao.
Kwanza kwa heshima na taadhima nakusalimu na kukupa pole Mh. Rais kwa kazi nzito ya kuwaongoza Watanzania na taifa kwa ujumla. Mimi sio mwandishi mzuri sana Mh. lakini naomba nikupe hints chache tu ili ujue na watu wajue ni kwa jinsi gani humo wizara ya afya kuna ki empire kimejengwa ambapo kwa...
www.jamiiforums.com
Hivyo waziri unapoenda kukaa nao chini kaa nao chonjo sana, wanaweza wakapendekeza consultation fee za cash ndizo zifutwe lakini za bima zisifutwe kwa sababu wao wanafaidika nazo.
Una inferiority kubwa sana, we kwanini hukusoma kua daktari,? Hizo data ulizoonesha hapo juu una uhakika ndivyo mgawanyo unavyofanyika nchi nzima?? Huo ndo muongozo wa ugawaji hela ya bima kitaifa?.
I spent a lot of time to learn everything, and I'm still learning.
That's why I said this circular from MCT is just a "Sugar Over Alovera"
You guys should know the tide has changed, we are approaching next era.
Niliwahi mpeleka mgonjwa wangu Muhimbili kitengo cha magonjwa ya akili, bahati kukawa na shida upande wa bima nilitakiwa kusubiri mpaka J3 Ili nipate huduma kwa kutumia bima, na siku hiyo ilikua J,mosi. Niliomba nilipie cash , walikubali, nikapewa profomer invoice, consolitation fee kwa Dr ilikua Tsh 60,000/ na nililipia. Unaposema hiyo kwa cash ni Tsh 10,000/ nitakushangaa, kwani mimi mwenyewe nililipia 60,000/ na huduma zingine nililipia pia
Mkuu na wenzenu wamesoma miaka 4 plus mmoja wa intern.
Hiyo difference iloyopo hapo siyo fair, ndiyo maana wanashangilia kuondolewa consultation fee huku nyie mkinuna.
Una inferiority kubwa sana, we kwanini hukusoma kua daktari,? Hizo data ulizoonesha hapo juu una uhakika ndivyo mgawanyo unavyofanyika nchi nzima?? Huo ndo muongozo wa ugawaji hela ya bima kitaifa?.
Shida yenu mkiguswa kidogo tuu mnaliiiiaaa. Hapo nimegusa consultation fee tuu, na nikiingia deep si utazimia?
Halafu unataka wote tusome kada moja then ualimu aende nani. Hata kama mmekamata sekta lakini jaribuni kuwa fair kwenye migawanyo ya hizi posho ili sekta iwe na ustawi kwenye kada zote.
Hakuna mwenye inferiority complex bali nyie ndiyo mna superiority complex, grandiose creatures.
Lile sakata la kufutwa gharama za kuonwa/kuhudumiwa hospitali na wahudumu linazidi kuchanja mbuga. Kwanza tuwekane sawa hapa, haiitwi gharama ya kumuona daktari, inaitwa "Consultation Fee" ikimaanisha "Gharama ya Kuhudumiwa" kwa maana utapita mikono ya wataalamu kadhaa siyo daktari tuu.
Baraza lao wanadai hii pesa huwa inaenda kwenye mfuko wa hospitali. Lakini hii ni danganya toto kwani hali ni tofauti kwa upande wa mifuko ya bima.
Sasa ngoja tusanuane, kwa wale wasiojua. Suala la hii gharama ni kweli inaingia mfuko wa hospitali, lakini ni kwa wagonjwa wanaolipa cash tuu. Consultation fees za mifuko ya bima ina mgawanyo tofauti ambao umekaa kiunyanyasji wa hali ya juu sana.
Consultations fees za bima zote, hospitali inachukua 40%, daktari naye anachukua 40%, wauguzi wanachukua 15% na 5% inayobaki wanachukua wengine kama maabara na wahudumu wa afya.
Sasa ukiangalia hizo % hapo juu unaweza ukaona kama ni kitu kidogo, lakini ngoja niweke figure halisi ndiyo utajua hawa madaktari ni kwa jinsi gani wameweka mfumo wa kitumwa kwa kada zingine wanazoshirikiana nao.
Huo mfano hapo juu ni wa consultation fee ya NHIF ambayo ni 25,000/=. Hospitali inachukua 10,000/=, Daktari anachukua 10,000/=, Muuguzi anachua 3,500/= na wengine wanaobaki wanagawana 1,500/= iliyobaki.
Ndiyo maana nasema hii ni janja janja tuu ya siku zote. Kwanza wale wanaolipia cash, consultation fee mara nyingi ni 10,000/= tuu. Hivyo bima ndizo zina consultation fee kubwa na ndizo hizo madaktari wakajitungia ka utaratibu ka kujikwapulia kiasi sawa na hospitali, huku wakiwabakizia wengine kiduchu.
Nimewahi kuleta uzi humu nikielezea ni kwa namna gani hawa madaktari wamejijengea ka empire kwenye sekta ya afya kiasi kwamba hawataki wengine nao waifurahie hii sekta. Wamejimilikisha sekta ya afya utadhani wako peke yao.
Kwanza kwa heshima na taadhima nakusalimu na kukupa pole Mh. Rais kwa kazi nzito ya kuwaongoza Watanzania na taifa kwa ujumla. Mimi sio mwandishi mzuri sana Mh. lakini naomba nikupe hints chache tu ili ujue na watu wajue ni kwa jinsi gani humo wizara ya afya kuna ki empire kimejengwa ambapo kwa...
www.jamiiforums.com
Hivyo waziri unapoenda kukaa nao chini kaa nao chonjo sana, wanaweza wakapendekeza consultation fee za cash ndizo zifutwe lakini za bima zisifutwe kwa sababu wao wanafaidika nazo.
Kwa nini usitengeneze hoja ya kuomba fani nyingine ziongezewe maslai,kuliko kuombea wengine washushwe kama nyie.jifunze kuleta watu pamoja ili upate ushindi kwenye malengo yako plz.
Hapo ndugu yangu wewe ndo unarudisha sekta ya Afya nyuma.
Kitu cha kwanza unavunja umoja katika sekta ya Afya,bali ungeimiza sekta nyingine zipandishiwe maslai msisitizo kwa walio chini sana.
Pili kuhimiza mazingila ya kazi yawebora kwa wote,ili kuondoa haya manung'uniko.
Tatu.hayo malipo yakifutwa wauguzi na sekta nyingine watafaidika vipi,wewe fikili kidogo tu,ndo maana na naimiza kuongeza maslai kwa wote.
Kwa nini usitengeneze hoja ya kuomba fani nyingine ziongezewe maslai,kuliko kuombea wengine washushwe kama nyie.
Hapo ndugu yangu wewe ndo unarudisha sekta ya Afya nyuma.Kitu cha kwanza unavunja umoja katika sekta ya Afya,bali ungeimiza sekta nyingine zipandishiwe maslai msisitizo kwa walio chini sana.
Pili kuhimiza mazingila ya kazi yawebora kwa wote,ili kuondoa haya manung'uniko.
Hapa nimetolea mfano wa consultation fee tuu, bado mambo mengine mengi ambayo ndiyo worse zaidi.Hkuna mahali nimeombea washushwe, bali kuwe na mgawanyo sawa.
Kumbuka tunaongelea hii 25,000/= inavyogawanywa. 10,000/= anachukua daktari, 10,000/= nyingine inachukua hospitali, kisha ile 5,000/= inayobaki ndiyo kama fupa lilibaki wanatupiwa wengine waligombanie.
Sasa unaposema wengine waombe kuongezwa hiko cha kuongeza kitatoka wapi wakati mgawanyo unatoka kwenye hiyo 25,000/=?
Hapa nimetolea mfano wa consultation fee tuu, bado mambo mengine mengi ambayo ndiyo worse zaidi.Hkuna mahali nimeombea washushwe, bali kuwe na mgawanyo sawa.
Kumbuka tunaongelea hii 25,000/= inavyogawanywa. 10,000/= anachukua daktari, 10,000/= nyingine inachukua hospitali, kisha ile 5,000/= inayobaki ndiyo kama fupa lilibaki wanatupiwa wengine waligombanie.
Sasa unaposema wengine waombe kuongezwa hiko cha kuongeza kitatoka wapi wakati mgawanyo unatoka kwenye hiyo 25,000/=?
Kwa nini uwaze kitatoka wapi na usidai kuongezewa?.wewe achia viongozi wawaze watapata wapi.
Huko kuwaza kwako kwamba mwingine kamzidi huyu basi na yeye ashushwe alingane na wachini ,haina afya hata kidogo kwa sekta ya Afya.
Hoja ela iongezwe ili na wengine wapate good fair only that.
Hapa nimetolea mfano wa consultation fee tuu, bado mambo mengine mengi ambayo ndiyo worse zaidi.Hkuna mahali nimeombea washushwe, bali kuwe na mgawanyo sawa.
Kumbuka tunaongelea hii 25,000/= inavyogawanywa. 10,000/= anachukua daktari, 10,000/= nyingine inachukua hospitali, kisha ile 5,000/= inayobaki ndiyo kama fupa lilibaki wanatupiwa wengine waligombanie.
Sasa unaposema wengine waombe kuongezwa hiko cha kuongeza kitatoka wapi wakati mgawanyo unatoka kwenye hiyo 25,000/=?
Sidhani kama umewahi hata ku-process malipo ya form za Bima (NHIF) umekuja kuongopea tuu watu jukwaani.
unatakiwa ujue haya mambo.
1.level ya priscriber
2.level ya kituo.
na vingine vingi .Mapato yote yanaingia kwenye Accont ya kituo husika
then ndo kuna hii 15% ya mapato ya Bima ndio inatakiwa igawanywe kwa watumishi sometimes kuna baadhi ya settings zinaitoa kama flat rate kwa wote. Vingine umedhihirisha chuki yako tuu kwa so called Drs. Pambania kada yako ipande usipambane wengine kushuka so far hata kwa wagonjwa wa cash pesa inalipwa kwa control number ....
Kwa nini uwaze kitatoka wapi na usidai kuongezewa?.wewe achia viongozi wawaze watapata wapi.
Huko kuwaza kwako kwamba mwingine kamzidi huyu basi na yeye ashushwe alingane na wachini ,haina afya hata kidogo kwa sekta ya Afya.
Hoja ela iongezwe ili na wengine wapate good fair only that.
Sidhani kama umewahi hata ku-process malipo ya form za Bima (NHIF) umekuja kuongopea tuu watu jukwaani.
unatakiwa ujue haya mambo.
1.level ya priscriber
2.level ya kituo.
na vingine vingi .Mapato yote yanaingia kwenye Accont ya kituo husika
then ndo kuna hii 15% ya mapato ya Bima ndio inatakiwa igawanywe kwa watumishi sometimes kuna baadhi ya settings zinaitoa kama flat rate kwa wote. Vingine umedhihirisha chuki yako tuu kwa so called Drs. Pambania kada yako ipande usipambane wengine kushuka so far hata kwa wagonjwa wa cash pesa inalipwa kwa control number ....
Hao wanaotoa flat rate safi sana, wanapaswa kuigwa na vituo vyote, au wizara itoe tamko iwe hivyo kwa levels zote.
Hayo mengine uliyoongezea sijui ya chuki kwa hao watu ni your personal intuition tuu sababu nimetoa mfano halisi hapo juu wa jinsi mgawanyo kwenye kituo husika ulivyo.
Kwa nini usitengeneze hoja ya kuomba fani nyingine ziongezewe maslai,kuliko kuombea wengine washushwe kama nyie.jifunze kuleta watu pamoja ili upate ushindi kwenye malengo yako plz.
Hapo ndugu yangu wewe ndo unarudisha sekta ya Afya nyuma.
Kitu cha kwanza unavunja umoja katika sekta ya Afya,bali ungeimiza sekta nyingine zipandishiwe maslai msisitizo kwa walio chini sana.
Pili kuhimiza mazingila ya kazi yawebora kwa wote,ili kuondoa haya manung'uniko.
Tatu.hayo malipo yakifutwa wauguzi na sekta nyingine watafaidika vipi,wewe fikili kidogo tu,ndo maana na naimiza kuongeza maslai kwa wote.
Hayo maslahi yaongezwe kutoka hela gani si ashasema hela inatoka ni 25,000.
Mi sijui mambo kwenye sekta hii. Nasubiri mtu ajieleze kwanini mtumishi aliyesoma miaka mitano alipwe 10,000 na mtumishi mwingine aliyesoma miaka mitatu sijui minne alipwe 3,750 kwenye hiyo 25,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.