Kama kazi yako nitaitaja hapa chini, nakushauri fanya toba ili kizazi chako kisilaaniwe

Kama kazi yako nitaitaja hapa chini, nakushauri fanya toba ili kizazi chako kisilaaniwe

Kwa mfano umemdhulumu mtu haki yake na hajui kuwakadhulumiwa, laana utapataje?
Mfano, umemla mke wa mtu na mwenyewe hajui kabisa na wala hajawahi kuhisi.
Hiyo ni sawa na mfamasia kwa kushirikiana na daktari wanaiba dawa na kusema it's not sin because wananchi wenyewe hawajui kuwa wameibiwa
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Mbona hujaweka 'matapeli wa mapenzi'?
Mtu unatulia kwa uaminifu ukidhani umepata mwenza kumbe yeye yupo kukutumia na sio kukupenda
 
Pia ifahamike kuwa laana ni strictly kwa muhusika tu.

Mungu sio dhalimu , Mtoto hahukumiwi kwa makosa ya mzazi wake wala mzazi hahukumiwi kwa makosa ya mtoto wake.

Kila mtu atabeba furushi lake siku hiyo
Ohh husomi Biblia sio
'Nawapatiliza wana maovu ya Baba zao...' hujawahi kuiona?
Hakikisha unaomba toba na rehema kuepushwa na dhambi za wazazi wako
 
Maisha ni hapa hapa tuu...

Kwa niaba ya 14 people..
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
UKO SAHIHI NINA MIFANO MINGI YA TRAFIKI AMBAO WAKO KATIKA TABU KUBWA NA MATESO, PIA WAFANYAKAZI WA TRA, YUKO MMOJA ALIKUA ANAONA SIFA KUJA KULIPISHA WATU KODI ALIJILIMBIKIZIA MALI LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUFA DHALILI KWA KUKOSA HELA YA MATIBABU
 
Umezunguuuka,kumbe lengo ni kuyasema majeshi yetu.

Hebu fikiria vizuri kosa la askari magereza ni lipi,

Yeye kazi yake ni kushikilia mfungwa aliyehukumiwa na mahakama hata kama hana hatia.
Oya askari magereza waone uku uku nje tu wale watu wakiwa kule gerezan hawana ubinadam ni zaid ya wanyama

Unakuta mfungwa anamzidi umri ni kama baba ake kbs ila anavyomdhalilisha sio poa,
jamaa yupo sahih hawafai ata kdg japo sio wote
 
Back
Top Bottom