Kama kazi yako nitaitaja hapa chini, nakushauri fanya toba ili kizazi chako kisilaaniwe

Kama kazi yako nitaitaja hapa chini, nakushauri fanya toba ili kizazi chako kisilaaniwe

ukiwakuta wanafarijiana utafikiri wana dunia yao peke yao wanaishi...ila kweli hapahapa dunia ya leo majibu huanza kabla watu hawa hawajafariki..naamini hivyo pia!
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Uzi wako umezunguka mkuu,ilikuwa iwe hivi..

1.polisi.
2.polisi.
3.polisi.
4polisi
5.polisi
6.polisi.


Askari mgereza yeye anadili na wafungwa tu wala hajui nani ana hatia na nani hana.

Wanaojua nani ana hatia nan nani hana sanasana ni polisi maana ndio wanadili na mtu tokea akiwa huru,waamkamata na kumpeleka kituoni,wanafanya upelelezi,mahakamani na hatimae kifungo.

So utaona hapo magereza unamuonea,anayejua mchakato wote ni polisi.
 
UKO SAHIHI NINA MIFANO MINGI YA TRAFIKI AMBAO WAKO KATIKA TABU KUBWA NA MATESO, PIA WAFANYAKAZI WA TRA, YUKO MMOJA ALIKUA ANAONA SIFA KUJA KULIPISHA WATU KODI ALIJILIMBIKIZIA MALI LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUFA DHALILI KWA KUKOSA HELA YA MATIBABU
Hawa vijana tukiwaambia ukweli wanapinga.
Watu tuko matured enough. Kanuni za kiroho tunazijua.
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Kiashiria (A) sio kweli maana Kristu alikwisha kitolea ufafanuzi.Wewe ni nani umzidi Yesu?
Polisi, magereza lazima wawepo ili kaisari aweze kutawala vizuri. Katika maandiko matakatifu kaisari anajulikana na anakubalika.Ya kaisari apewe kaisari.Polisi wana jukumu zuri sana la usalama wa raia.Polisi akilifanya vizuri anakuwa amemtumikia Mungu. Bali tu wana tatizo la kutotosheka na mishahara hapo ndio shida..na vitabu vitakatifu viliwaasa. Lkn endapo wapo watendao kwa haki, hao ni polisi wabarikiwa na kazi yao ni njema.
 
Huyo namba 1, umewaonea.
Sifa yao kuu ya kuajiliwa, ni mtu akose akili kabisa.
 
Ohh husomi Biblia sio
'Nawapatiliza wana maovu ya Baba zao...' hujawahi kuiona?
Hakikisha unaomba toba na rehema kuepushwa na dhambi za wazazi wako

Wewe ndio huisomi biblia ...kumbukumbu la torati 24:16

“Wazazi wasiuawe kwa makosa ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Kila mtu atauawa kwa makosa yake mwenyewe.

Ezekiel 18.20

"Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake."
 
Ohh husomi Biblia sio
'Nawapatiliza wana maovu ya Baba zao...' hujawahi kuiona?
Hakikisha unaomba toba na rehema kuepushwa na dhambi za wazazi wako
Unaisoma biblia bila ya kuelewa

Aya ina maanisha kuwa watoto watapata athari za dhambi za baba zao vizazi mpaka vizazi.

Mfano ukilelewa katika familia mnayoabudu masanamu basi ni wazi kuwa watoto watarithi mila, desturi na mienendo mibovu ya baba zao . Ila Mungu hana sifa ya dhulma kwa viumbe wake kiasi aje aadhibu kizazi cha nne au cha saba kwa makosa waliyofanya babu zao. Kila kiukbe kinaadhibiwa kwa yale mabaya na maovu kilichoyachuma. Vizazi vijavyo vitapatilizwa tu endapo vitarithi yale maovu ya baba zao
 
3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako

Usisikie ya wajinga eti jela ni jeraha
We ndo' kwanza mwaka mmoja wenzio kumi wamekaa
Kwanza muda ushaisha haturuhu tena stori
Naomba urudi bwenini ILA OH, I'M VERY SORRY
NI KWELI INIUMA ILA MI NKO KAZINI
Hey, afande Maku embu warudishe kundini hao
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
7. Anayesimamia uchaguzi na kuhujumu matokeo huku ajira yake ikimnyanyasa na mshahara wake wote amechukulia mikopo
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
unawaacha wapi watumishi wa hizi Halmashauri wanaoshughulika na maswala ya ardhi na wenzao wa wizara ya ardhi hawa ndio laana kabisa
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
8. CCM
9. Wabunge
10. Mawaziri
11. Rais
 
Haya mambo ya kutiana hofu ni upuuzi tu.Kutengeneza hadaa ndani ya imani ya kweli na ikawa sehemu ya mafundisho ya dini,kuitumia dini kama silaha ya kuogofya watu na kuwaibia.Ukilinganisha na hawa askari ni yupi astahili laana zaidi?Mimi naona mwenye laana ni yule aliyeng'ang'ania dini za kimapokeo ambazo undani wake ni utapeli na akili yake imefungwa.Watoto,wajukuu,vitukuu wanarithishwa utapeli huu.
 
Back
Top Bottom