Kama kijana nifanye vipi sasa kabla muda haujanitupa mkono?

Kama kijana nifanye vipi sasa kabla muda haujanitupa mkono?

Wrevta

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2023
Posts
1,442
Reaction score
1,731
Heri ya siku njema ya leo.
Mimi ni kijana wa miaka 24 naelekea kutimizia 25 hivi karibuni. Ninasoma chuo kikuu mwaka wa nne(wa mwisho).

Nimewaona wengi ambao wangeweza kunishauri vitu vya msingi vya kuwa navyo umri huu kabla muda haujaniacha, ila kwa heshima ya madini yatokayo JF nimeamua kuja humu kwanza kutoa duku duku langu hili.

Humu najua tupo watu tofauti ila wengi ni intellectuals. Naomba mnisaidie fumbo langu hili, kulitafsiri na kuniambia chochote kitu.

Sitaki kujutia kama wengi wa miaka 50+ wanavyojuta, kwa kushindwa kuukomboa wakati. Sitaki yanifike hayo.

Wakati ni sasa, na leo ni leo asemaye kesho ni mwongo. Wakati umeiva!
 
Heri ya siku njema ya leo.
Mimi ni kijana wa miaka 24 naelekea kutimizia 25 hivi karibuni. Ninasoma chuo kikuu mwaka wa nne(wa mwisho).

Nimewaona wengi ambao wangeweza kunishauri vitu vya msingi vya kuwa navyo umri huu kabla muda haujaniacha, ila kwa heshima ya madini yatokayo JF nimeamua kuja humu kwanza kutoa duku duku langu hili.

Humu najua tupo watu tofauti ila wengi ni intellectuals. Naomba mnisaidie fumbo langu hili, kulitafsiri na kuniambia chochote kitu.

Sitaki kujutia kama wengi wa miaka 50+ wanavyojuta, kwa kushindwa kuukomboa wakati. Sitaki yanifike hayo.

Wakati ni sasa, na leo ni leo asemaye kesho ni mwongo. Wakati umeiva!
Maliza shule kwanza dogo
 
Heri ya siku njema ya leo.
Mimi ni kijana wa miaka 24 naelekea kutimizia 25 hivi karibuni. Ninasoma chuo kikuu mwaka wa nne(wa mwisho).

Nimewaona wengi ambao wangeweza kunishauri vitu vya msingi vya kuwa navyo umri huu kabla muda haujaniacha, ila kwa heshima ya madini yatokayo JF nimeamua kuja humu kwanza kutoa duku duku langu hili.

Humu najua tupo watu tofauti ila wengi ni intellectuals. Naomba mnisaidie fumbo langu hili, kulitafsiri na kuniambia chochote kitu.

Sitaki kujutia kama wengi wa miaka 50+ wanavyojuta, kwa kushindwa kuukomboa wakati. Sitaki yanifike hayo.

Wakati ni sasa, na leo ni leo asemaye kesho ni mwongo. Wakati umeiva!
Anzisha biashara
 
Huwa natafakari sana kuhusu hili fumbo la maisha. Nikupongeze mdogo wangu mapema umejua hiko. Kaka ako nna DECADES 3+, mpaka sasa mambo bado sijui lini yatakaa sawa


NB: jitahidi kwenye mtihani wa maisha uwe na maksi ya kuvutia
 
Kwanza kabisa ukitaka kufanikiwa acha na habari za wanawake tafuta mmoja sahihi kwako utafanikiwa sana. .

Pili angalia kampani yako. Mara nyingi sana marafiki wanachangia sana jinsi maisha yako yakakavyokua. Ukiwa na marafiki wa kubet, walevi nk kifupi marafiki wa hovyo na wewe utakuwa kijana wa hovyo

Tatu acha na mambo ya dhuluma. Wengi wanakwama kwa sababu ya dhuluma. Babu yangu alinionya nisije kuwa mwizi au kuwa polisi alikataa kabisa

Nne hii ingekuwa ya kwanza ila nishaandika hivyo mtumainie dana Mungu. .

Mwisho kabisa achana na mambo ya kukupotezea mda. Mfabo vijiwe, umbea na mitandao ya kijamii. Kwenye mitandao ya kujamii uwepo wako uwe wa faida sio kupoteza mda. .
 
Kwanza kabisa ukitaka kufanikiwa acha na habari za wanawake tafuta mmoja sahihi kwako utafanikiwa sana. .

Pili angalia kampani yako. Mara nyingi sana marafiki wanachangia sana jinsi maisha yako yakakavyokua. Ukiwa na marafiki wa kubet, walevi nk kifupi marafiki wa hovyo na wewe utakuwa kijana wa hovyo

Tatu acha na mambo ya dhuluma. Wengi wanakwama kwa sababu ya dhuluma. Babu yangu alinionya nisije kuwa mwizi au kuwa polisi alikataa kabisa

Nne hii ingekuwa ya kwanza ila nishaandika hivyo mtumainie dana Mungu. .

Mwisho kabisa achana na mambo ya kukupotezea mda. Mfabo vijiwe, umbea na mitandao ya kijamii. Kwenye mitandao ya kujamii uwepo wako uwe wa faida sio kupoteza mda. .
Umemaliza kabisa
 
Huwa natafakari sana kuhusu hili fumbo la maisha. Nikupongeze mdogo wangu mapema umejua hiko. Kaka ako nna DECADES 3+, mpaka sasa mambo bado sijui lini yatakaa sawa


NB: jitahidi kwenye mtihani wa maisha uwe na maksi ya kuvutia
Hata wewe mbona bado hujachelewa? Bado wote ni vijana.
 
Kwanza kabisa ukitaka kufanikiwa acha na habari za wanawake tafuta mmoja sahihi kwako utafanikiwa sana. .

Pili angalia kampani yako. Mara nyingi sana marafiki wanachangia sana jinsi maisha yako yakakavyokua. Ukiwa na marafiki wa kubet, walevi nk kifupi marafiki wa hovyo na wewe utakuwa kijana wa hovyo

Tatu acha na mambo ya dhuluma. Wengi wanakwama kwa sababu ya dhuluma. Babu yangu alinionya nisije kuwa mwizi au kuwa polisi alikataa kabisa

Nne hii ingekuwa ya kwanza ila nishaandika hivyo mtumainie dana Mungu. .

Mwisho kabisa achana na mambo ya kukupotezea mda. Mfabo vijiwe, umbea na mitandao ya kijamii. Kwenye mitandao ya kujamii uwepo wako uwe wa faida sio kupoteza mda. .
Sawa nashukuru sana. Nina uraibu wa mitandao ya kijamii pia. Je, ni kama ipi? JF?
 
Kaa mbali na wanawake
Wekeza katika career nikimaanisha Kazi na sio vitu mfano ukipata hela nunua vitu vya muhimu tu Kama Kitanda Godoro ,hela nyingine wekeza katika career yako kupitia hiyo matunda utakayopata ndo utaanza kununua liabilities so invest on ur carrer firstly.

Kaa mbali na Pombe na wanawake hii haimaniishi usiende clubs No

Pesa hakikisha haikuendeshi kudharau watu au kutukana Mtu respect everyone .
 
Heri ya siku njema ya leo.
Mimi ni kijana wa miaka 24 naelekea kutimizia 25 hivi karibuni. Ninasoma chuo kikuu mwaka wa nne(wa mwisho).

Nimewaona wengi ambao wangeweza kunishauri vitu vya msingi vya kuwa navyo umri huu kabla muda haujaniacha, ila kwa heshima ya madini yatokayo JF nimeamua kuja humu kwanza kutoa duku duku langu hili.

Humu najua tupo watu tofauti ila wengi ni intellectuals. Naomba mnisaidie fumbo langu hili, kulitafsiri na kuniambia chochote kitu.

Sitaki kujutia kama wengi wa miaka 50+ wanavyojuta, kwa kushindwa kuukomboa wakati. Sitaki yanifike hayo.

Wakati ni sasa, na leo ni leo asemaye kesho ni mwongo. Wakati umeiva!
Mkuu nina mengi ya kukushauri,ila kama la kwanza ni hili anza kujenga uhusiano mzuri na watu waliofanikiwa,jifunze kupitia wao,kuwa kama nyuki beba uchafu wote kisha uchambue uchafu zaidi uutupe,penda kujituma,penda kujiweka msafi kuwa na heshima kwa kila mtu,usijifanye una jua kila kitu.

Ni hayo kwa sasa.
 
Kaa mbali na wanawake
Wekeza katika career nikimaanisha Kazi na sio vitu mfano ukipata hela nunua vitu vya muhimu tu Kama Kitanda Godoro ,hela nyingine wekeza katika career yako kupitia hiyo matunda utakayopata ndo utaanza kununua liabilities so invest on ur carrer firstly.

Kaa mbali na Pombe na wanawake hii haimaniishi usiende clubs No

Pesa hakikisha haikuendeshi kudharau watu au kutukana Mtu respect everyone .
Ahsante kaka yangu Haya Land!
 
Back
Top Bottom