Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Heri ya siku njema ya leo.
Mimi ni kijana wa miaka 24 naelekea kutimizia 25 hivi karibuni. Ninasoma chuo kikuu mwaka wa nne(wa mwisho).
Nimewaona wengi ambao wangeweza kunishauri vitu vya msingi vya kuwa navyo umri huu kabla muda haujaniacha, ila kwa heshima ya madini yatokayo JF nimeamua kuja humu kwanza kutoa duku duku langu hili.
Humu najua tupo watu tofauti ila wengi ni intellectuals. Naomba mnisaidie fumbo langu hili, kulitafsiri na kuniambia chochote kitu.
Sitaki kujutia kama wengi wa miaka 50+ wanavyojuta, kwa kushindwa kuukomboa wakati. Sitaki yanifike hayo.
Wakati ni sasa, na leo ni leo asemaye kesho ni mwongo. Wakati umeiva!
Mimi ni kijana wa miaka 24 naelekea kutimizia 25 hivi karibuni. Ninasoma chuo kikuu mwaka wa nne(wa mwisho).
Nimewaona wengi ambao wangeweza kunishauri vitu vya msingi vya kuwa navyo umri huu kabla muda haujaniacha, ila kwa heshima ya madini yatokayo JF nimeamua kuja humu kwanza kutoa duku duku langu hili.
Humu najua tupo watu tofauti ila wengi ni intellectuals. Naomba mnisaidie fumbo langu hili, kulitafsiri na kuniambia chochote kitu.
Sitaki kujutia kama wengi wa miaka 50+ wanavyojuta, kwa kushindwa kuukomboa wakati. Sitaki yanifike hayo.
Wakati ni sasa, na leo ni leo asemaye kesho ni mwongo. Wakati umeiva!