Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaani wengi vicheche hawajatulia ,magonjwa plus uswahili chukua aliesoma kijanaKwa nini umesema hivyo?!
Kwa sasa anza kumiliki hivi:
1. Nidhamu
2. Imani
3. Juhudi
Mkuu iyo lawama hapo ya upendeleo ni kwangu au ume quote vibaya Mkuu?Skills umesahau. Unalipwa kwa value ya unayozalisha,na sio muda wako,Mana hata mbuzi anao muda wake pia.
Pia mbona umependelea mno ambao Ni intellectual so ambao sio intellectual hatuna uwezo wa kuongea dogo ama kwenu wote ambaye hajasoma kaishia bachelor.
Lower down your ego ,weka elimu pembeni usiitangulize kila mahala. Kumbuka mwana fa Ni waziri Ila Kuna maprofesa na PhD holders wako pembeni.
Hivi Prof Muhongo ama mataragio wa tpdc Ni wakuwekwa pembeni.
Yaani ujanja Janja kujipendekeza ,kuwa chawa mno,kusifia hata penye ujinga 2025 upo bungeni
Nadhani Ni kwa mleta maada. Nimemuongezea tokea kwako. Sijawa na maana ya ku complain Bali kumuonyesha uhalisiaMkuu iyo lawama hapo ya upendeleo ni kwangu au ume quote vibaya Mkuu?
Poa poa MkuuNadhani Ni kwa mleta maada. Nimemuongezea tokea kwako. Sijawa na maana ya ku complain Bali kumuonyesha uhalisia
Nashukuru bro. Ila Sasa huo ugeni si umeisha Bora ubadili Ina Mana mpaka saivi u mgeni kweli? Hujalijua jiji kweliPoa poa Mkuu