Kama kijana nifanye vipi sasa kabla muda haujanitupa mkono?

Kama kijana nifanye vipi sasa kabla muda haujanitupa mkono?

Kweli kabisa, mie niliondoka bongo mwaka mmoja tu baada ya kumaliza UDSM, nipo huku kwa Biden na sijutii. Niliondoka na lengo langu moja tu kuja kuishi huku, sio kurudi tena afrika. Bongo uwa nakuja kusalimia maana nina mijengo yangu huko miwili na huku nina mjengo wangu wa mortgage, sitaki kurudi huko kwa sasa. Bongo bila connection au kua kwenye circle ya ccm ni kweli hutoboi , ila tatizo ninaloliona wabongo wengi ni waoga wa maisha sio kama wakenya au waganda na west africans ambao wamejaa huku wanapambana haswa.

Sidhani kama ni waoga ila hawakua na sababu ya msingi ya kuondoka nchini. Bongo ilikua tambarare miaka hiyo, mtu ulikua na uhakika wa kupata kazi hata kama ni ndogo, nyumba na shamba. Wakarelax. Sasa hata kazi ya kujitolea hupati.

Nchi ulizozitaja kwao game tight toka miaka ya uhuru. Nigeria kila siku mapinduzi na vita toka 60s, Uganda na Kenya njaa kila siku plus vita. Bongo there's none of that. Watu hawakua na sababu ya msingi kukimbia nchi. Wengi walikua wanazamia just for fun na yakiwashinda wanarudi home ambako ilikua tambarare.

Ni kama leo ni nadra sana kukutana na raia wa South Africa, Namibia au Botswana wanaishi nje ya ya nchi zao permanently, nchi zao zina mazingira yote ya kukufanya ubaki pale.
 
Kweli kabisa, mie niliondoka bongo mwaka mmoja tu baada ya kumaliza UDSM, nipo huku kwa Biden na sijutii. Niliondoka na lengo langu moja tu kuja kuishi huku, sio kurudi tena afrika. Bongo uwa nakuja kusalimia maana nina mijengo yangu huko miwili na huku nina mjengo wangu wa mortgage, sitaki kurudi huko kwa sasa. Bongo bila connection au kua kwenye circle ya ccm ni kweli hutoboi , ila tatizo ninaloliona wabongo wengi ni waoga wa maisha sio kama wakenya au waganda na west africans ambao wamejaa huku wanapambana haswa.
Uliomba sholarship au? Ulifikaje fikaje huko?
 
Kweli kabisa, mie niliondoka bongo mwaka mmoja tu baada ya kumaliza UDSM, nipo huku kwa Biden na sijutii. Niliondoka na lengo langu moja tu kuja kuishi huku, sio kurudi tena afrika. Bongo uwa nakuja kusalimia maana nina mijengo yangu huko miwili na huku nina mjengo wangu wa mortgage, sitaki kurudi huko kwa sasa. Bongo bila connection au kua kwenye circle ya ccm ni kweli hutoboi , ila tatizo ninaloliona wabongo wengi ni waoga wa maisha sio kama wakenya au waganda na west africans ambao wamejaa huku wanapambana haswa.
Huko ni bora uje ukiwa na elimu ya fani fulani na ui master hasa.
 
Sidhani kama ni waoga ila hawakua na sababu ya msingi ya kuondoka nchini. Bongo ilikua tambalale miaka hiyo, mtu ulikua na uhakika wa kupata kazi hata kama ni ndogo, nyumba na shamba. Wakarelax. Sasa hata kazi ya kujitolea hupati.

Nchi ulizozitaja kwao game tight toka miaka ya uhuru. Nigeria kila siku mapinduzi na vita toka 60s, Uganda na Kenya njaa kila siku plus vita. Bongo there's none of that. Watu hawakua na sababu ya msingi kukimbia nchi. Wengi walikua wanazamia just for fun na yakiwashinda wanarudi home ambako ilikua tambalale.

Ni kama leo ni nadra sana kukutana na raia wa South Africa, Namibia au Botswana wanaishi nje ya ya nchi zao permanently, nchi zao zina mazingira yote ya kukufanya ubaki pale.
Kweli kabisa, Wanaijeria mpaka leo wanaondoka kwa wingi kupitia jangwani hadi morocco, libya, tunisia wanachukua boti ingawaje wanazama na kufia huko, hawakomi tu ili mradi wafike ulaya. Kweli bongo ilikua tambarare hamna ma shida sana na vita, ila sasa hivi vijana waamke watafute fursa za kuondoka, Covid imewaua sana wazungu ma kazi ya kumwaga na kingine old age wamekua wengi ulaya na US.. wanatafuta nguvu kazi.
 
Watu wako karibu na Mungu na maisha yamewachapa hawana hata nauli ya daladala. Mwambie dogo ukweli
Hahah huenda hao hawapo seriously karibu na Mungu
 
Kweli kabisa, Wanaijeria mpaka leo wanaondoka kwa wingi kupitia jangwani hadi morocco, libya, tunisia wanachukua boti ingawaje wanazama na kufia huko, hawakomi tu ili mradi wafike ulaya. Kweli bongo ilikua tambarare hamna ma shida sana na vita, ila sasa hivi vijana waamke watafute fursa za kuondoka, Covid imewaua sana wazungu ma kazi ya kumwaga na kingine old age wamekua wengi ulaya na US.. wanatafuta nguvu kazi.
Misosi ya huko mainly wewe unatumia vyakula vipi? Je, mikate yao mitamu? Bluebands zao ni tamu? Vyakula vyako wewe ni vipi huko?
 
Uliomba sholarship au? Ulifikaje fikaje huko?
hio sasa itakubidi uje inbox. Ninachokwambia tu penye nia pana njia. Hivi ile ofisi ya US iliokuwepo pale opposite na Bushtrekker bado ipo??? maana ile ndio tulikuwa tunaenda kukaa pale tunajisomea na kupata fursa za US.
 
hio sasa itakubidi uje inbox. Ninachokwambia tu penye nia pana njia. Hivi ile ofisi ya US iliokuwepo pale opposite na Bushtrekker bado ipo??? maana ile ndio tulikuwa tunaenda kukaa pale tunajisomea na kupata fursa za US.
Ngoja nitafuatilia nione kama ipo au haipo
 
hio sasa itakubidi uje inbox. Ninachokwambia tu penye nia pana njia. Hivi ile ofisi ya US iliokuwepo pale opposite na Bushtrekker bado ipo??? maana ile ndio tulikuwa tunaenda kukaa pale tunajisomea na kupata fursa za US.
Misosi ya kawaida hasa kwa WaTZ wengi huko ni ipi?
 
Mkuu tupe hints za kufika US
hio sasa itakubidi uje inbox. Ninachokwambia tu penye nia pana njia. Hivi ile ofisi ya US iliokuwepo pale opposite na Bushtrekker bado ipo??? maana ile ndio tulikuwa tunaenda kukaa pale tunajisomea na kupata fursa za US.
 
Kama upo chuo anza kujihusisha na siasa hasa uwe upande wa ccm , fanya juu chin jipendekeze , yani tetea serikal ata kama inafanya madudu , utakuja kunishukuru dogo.
Dahh ebu pitieni huu ushauri 😅😅😅 wee jamaa 🙌🙌
 
Dahh ebu pitieni huu ushauri 😅😅😅 wee jamaa 🙌🙌
Ushauri uchwara Mimi hapa Nina. 25 na siogopi Maisha siwezi kuwa chawa kisa ajira uchwara wakati boda yangu naingiza 50/40 kila siku

Washaurini vijana wawe na spirit ya KUPAMBANA katika situation na sio kuwa mpiga zumali
 
Hahah huenda hao hawapo seriously karibu na Mungu

Kuwa karibu na Mungu hakuna maana utatoboa in the physical world. Mungu kakupa utashi uutumie sio kumuomba tena akusaidie jambo lililo ndani ya uweko wako.

Watu wanalala makanisani na misikitini ila wamechapwa na maisha hawana hamu sio kwamba hawako serious na Mungu, dare I say walio mbali na Mungu ndo wametoboa zaidi, go figure. Watu wa maombi maombi sana hawajitumi wanasubiri miujiza tu.
 
Pia namshauri atafute mwenza akiwa chuo uku mtaani apaogope kama ukoma atanishukuru baadae
 
Back
Top Bottom