Awamu hii mmezidi kutuibia kwa kiwango kikubwa sana.Kwenye Public finance ufisadi, upo iwe Ulaya, Marekani, China, African countries, vita ipo on to what extent that embesement can be torarated?
Mtafukuzwa nyinyi MATAGA na majangili lkn CAG anabakia kuwa kwenye nafasi yake.C.A. G mpuuzi Sana,anatumia njia ya kuchafua wengine ili abakizwe kwenye system.
Huyu ni wa kufukuza tu kwanza amekalia nafasi ya prof.Asad
Jibu swali weweAnzisha mada yenye kuchwa hicho umekosea njia hii mada inaongelea Magufuli
Msahau tu habari za jpm maana hakuna wa kumkumbukaKwa mawazo yangu, CCM wajipange, hii agenda ya kumchafua muheshimiwa hayati Magufuli, wasipoangalia 2025 hawatoki. Watanzania walio wengi hawana Twitter, Instagram wala Jamboforums (jamii siku hizi), wao wanajali mambo madogo madogo kama maji, elimu bure, umeme, barabara teleza na mambo kama hayo. Wakijipindua, vyote hivyo vitawashinda mapema sana, 2025 itakuja ndipo watajua Jiwe alikuwa nani nchi hii. RIP 🪦 JPM
Atajibu nini wakati hana uwezo wa kufikiria nje ya boxJibu swali wewe
Assad alisema tilioni 1.5 matumizi yake hayajulikani hakusema zimeibwa kama alivyoulizwa na magufuli.Hapa ndipo elimu inapaswa kuheshimiwa Assad aliulizwa kama kuna upotevu was T1.5 hadharani ili Rais afukuze watu hadharani nikumbushe jibu alilotoa .Kukurupuka na kauli za wanasiasa hauwezi kupata uhalisia wenzako wako kazini na wewe soma iyo riport ,nikikuuliza Magufuri kafanya ufisadi upi?nipatie jibu,sio kucheza na mdundo unaopita barabarani.
wapinzani waliisema so what, limetekelezwa lini??? Magufuli mtaweza kumchafua kupitia ripoti yenu mnayoita ya ukaguzi iliyoandaliwa kisiasa, lakini uchafu wenu ni wa muda mfupi sana, mwakani ubeti utakaokuwa unaimbwa ni "tunakumiss magufuliElimu bure ni sera ya zamani sana ,tangu uchaguzi wa mwaka 2000 ,wapinzani walishalisema hili. Hii haiwezi kuwa hoja kwa sasa. Tafuteni namna ya kumtetea mtu wenu.
Hii ni sababu ya matatizo yako ya kubaki na Mbunge mmoja tuu Nkasi,Awamu hii mmezidi kutuibia kwa kiwango kikubwa sana.
Wakati nyie mataga mkipiga zumari kwa boss wenu kuwa hajawahi kupatikana kiongozi kama yeye.
Jinsi mwendazake alivyokuwa anashadadia na kusimamia hayo mandege, hili lisingempita. 3.92Bn alijua walizichukua zikaenda wapi na kwa faida ya nani.Mnajitahidi kupaka rangi kaburi lakini kilichomo ni uozo mtupu.
“Nilibaini kuwa wakala wa ndege za Serikali ililipa bilioni 3.92 Kama gharama za matengenezo makubwa ya ndege. Baada ya ziara nilibaini ndege ilikuwa haifanyi kazi toka 2015.” CAG.
We jamaa umechanganyikiwa. Sasa hivi CAG yupo huru kuyaanika madudu ya mwendazakeCAG katoa hoja kisiasa hilo liko wazi. Shida ya watanzania ni wafuata upepo, NDUNGAI kawaingiza chaka kwa kuwaletea kahoja ka bandari ya bagamoyo ili muanze kumsifu, huku mkisahau kwa report hiyohiyo ya CAG imetoa matumizi yenye mashaka kwenye ofisi ya speaker.Leo mnasifia speaker mmesahau pia kuwa kuna irregularities ofisi ya spika.Endeleeni na political audit report, ila kumchafua Magufuli mtafanikiwa kwa muda mfupi usiozidi miezi sita baada ya hapo mtaimba legacies za magufuli
CAG mpya ananipa ukakasi sana sijui Kwanini.nilitegemea wangemrudisha Prof Assad.Nadhani Mwanakijiji utakua umesahau au hujafanya utafiti wa kutosha, report ya CAG KIchere haina tofauti na report za nyuma za CAG Prof Assad. Prof Assad alikua analeta report nzito zenye maswali magumu yasiyojibika.
Kweli wewe bichwa kubwa akili kisoda. Mnyonge maana yake ni mtu asienasauti kwenye mammlaka. Mnyonge ni raia ambae hashirikishwi kwenye maamuzi moja kwa moja.Kumbe ulikuwa na akili za kushikiwa.
Wewe "Mnyonge" ujasili wako umekuwa na tija gani kwa taifa?
Stupid! Unategemea mtu akupe ujasiri badala ya wewe mwenyewe kutafuta maarifa ya kukupa huo ujasili.
Hatareeee...Upuuzi mtupu kuamini hivyo. She was sleeping with the devil full stop.
Huyu Mama ni Vulture, alikuwa very Patient, kapata kaanza mipasho.
Tungekuwa na bunge ingebidi ipigwe kura ya "No confedence" kwa rais na waziri mkuu, uchaguzi ufanyike upya.
Kama alishuhudia yote haya, na anayajua, nani anakuwa na imani naye?
Unateseka ukiwa wapi?Hawatakuelewa, watu wako bize kummezea mate mlegeza macho kwa udini. Wanapiga nae pambio mnafiki namba moja wa taifa, limbukeni wa madaraka mkojoa kwa kukaa yule. Bullshit.
Nampongeza sana CAG kwa kuwa imara na kuweka wazi uozo uliokuwa unafanywa kwenye miradi ya watanzania.Hii ni sababu ya matatizo yako ya kubaki na Mbunge mmoja tuu Nkasi,
Pole sana subiri 2125 siyo mbali sana japo tayari utakuwa umegeuka ugongo.
MATAGA kwa sasa hakuna aliyekwenye hali yake ya kawaida.We jamaa umechanganyikiwa. Sasa hivi CAG yupo huru kuyaanika madudu ya mwendazake
Ämetoa report ya kisiasa sana,C.A. G mpuuzi Sana,anatumia njia ya kuchafua wengine ili abakizwe kwenye system.
Huyu ni wa kufukuza tu kwanza amekalia nafasi ya prof.Asad
Yani uwongozi wake ulikuwa wa kidhalimu kabisa!Kwanini alizuia watu wasiseme akawafunga midomo?? Hapo ndipo panapo onesha uhusika wake ma ushiriki wake.
Hakuna watu wanafurahia hii hali ya MATAGA kukosa raha kama mimi.Unateseka ukiwa wapi?
Punguza hasira na unywe maji