Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Utawaua kwa pressure matagaSiasa mbona mambo bado!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawaua kwa pressure matagaSiasa mbona mambo bado!
Magu alishazikwa na he is burning in hell nowSGR, Rufiji Dam ni picha tu zile....🤣
CAG kaamua kishabiki kusema bila aibu akiwa na watendaji wale wale....akitaka kujikomba kwa mama kumbe anachotwa akili!
wa kujiuzulu sio PM tu hata Rais!!!!
Hakuna namna watamzima kirais JPM, he is here to stay with us for long long time
Ni mwendo wa kinyonga tuu, wanabadili, na wewe unabadilika.Kuwa karibu na mama Samia hilo msahau maana tayari tushampatia watu hatarishi kwenye utawala wake na anawajua vizuri.
Sasa wewe una shule gani unajichekesha chekesha hapa kutafta wanaume.Umeandika utopolo mtupu. Ila sio kosa lako itakuwa shule za kata hizi na vyuo vya kata huko ndio ulikolelewa; ndio maana huwezi kukuta mtoto wa kiongozi anasoma shule za kata wala vyuo vya kata.
Yaani Tanesco ndio ya kupata hasara [emoji23][emoji23] halafu unashangaa kwamba Atcl isipate hasara Daaah
We kiazi kweli
Yani hawa jamaa ni wa shamba sana walijidanganya Tanzania ni ya kwao!Sukuma gang hawafai kabisa.
Huyo analalia kwenye usukuma tu.Nimesoma lakini sijaelewa unataka kufikisha ujumbe gani.
Akiyajua hayo yote bado aliendelea kununua midege, sasa unajiuliza kama hakuwa na hidden agendas alikuwa na nini??Ccm nambari moja Afrika kwa kuiba na kufisadi matrillioni ya fedha za watanzania.
Kumbe mradi wa kununua madege ilikuwa ni njia ya upigaji.
CAG amesema kabisa kuwa midege haiwezi kuruka kwenda nje ya bara la Afrika maana zitakamatwa
Sasa hivi kila kitu ni njenje tu na MATAGA sasa wanalialia tuAkiyajua hayo yote bado aliendelea kununua midege, sasa unajiuliza kama hakuwa na hidden agendas alikuwa na nini??
Na hayo masuala ya manunuzi ya mindege, akahamishia mfuko wa ikulu, usiokaguliwa na CAG.
Everyday is Saturday............................... 😎
Mmezoea kudanganywaBinafsi huyu CAG simuamini kamwe...
Bado kabisa ndio kwanza saa kumi na moja asubuhi!Utawaua kwa pressure mataga
Kushuhudia miradi mikubwa ndiyo kiwe kigezo cha kuiba na kuwapumbaza wadanganyika kwa maneno haya mawili 1.wanyonge na 2. wazalendo?, ndiyo maana hamkuruhusi vyomba vya habari vya kiuchunguzi ili muibe kilaini, badala yake nafasi kubwa ilipewa vyombo vya habari vya kusifia tu, hadi mkatengeneza kundi la kuwadhuru wanao wakosoa lile la watu wasiojulikana,maana hadi leo wanaendelea kutojulikana . 'A country is not a company',and that, the truth will prevailNa. M. M. Mwanakijiji
Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli. Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea. Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.
Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.
Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufidadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.
Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.
Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Tulieni na muwachieni CAG atuonyeshe jinsi mlivyotuibia huku mkiimbishwa nyimbo za mapambio kwa boss wenu hapendi ufisadi wakati ndiyo wanaibomoa Tanzania.Inaonekana wewe mgeni au ni katoto kaliko nunua smart kwa mara ya kwanza hivi juzi, hivi unajua ufisadi wewe? Muulize hata huyo Mwanakijiji akupe mastory ya ufisadi nchi hii au pekua huku JF uone matukio ya kipindi cha 2006 mpaka hata 2012 hapo uone. Hii ripoti ya CAG hamna kitu zaidi ya fitina, majungu na unafiki. Isitoshe, ni CAG huyu huyu mliponda alipoteuliwa ila leo ni mzuri sana zaidi hata ya Assad! Yaani kila uchao ni vituko tu nchi hii, kaazi kweli.
Ww utakuwa mzoga team sio bure you can't even reason!!???Nime note kitu kimoja kutoka kwako nayo ni 'wapinzani' kumbe ulishajiweka tawi la watawala?
Ok ni haki yako lakini kwa binadamu kamili angehoji je, kwanini aliyeninasibu kuwa msafi mithili ya sufi apende kufanya mambo gizani kiasi kile?
Kweli mtu msafi ajiondoe kwenye mikataba ya uwazi?
Kwanini mtu msafi hakuitaji transparency ili umma umsaidie kuwa msafi?
Mnachofanya sasa ni nafsi zinawasuta, mmeachwa kwenye tope msijue nani atawachomoa, mli compromise nafsi zenu kwa vitu vya kipuuzi na kishenzi.
Kinachowauma zaidi mlizoea kuuza maneno sasa hakuna atakaewaamini tena.
Kwa tuliomfahamu Magufuli tangu enzi hatukua tayari kuuza nafsi zetu kwa sifa za kipuuzi na kijumla jumla namna ile.
Pole sana mtafute kazi ya kufanya sasa.
Huyu kama asingeondolewa pale karibu na mama Samia basi angefanya figisu ili report ya CAG isipelekwe yenye uhalisia.Bado kabisa ndio kwanza saa kumi na moja asubuhi!
Wakitaka kujua kwamba mambo bado wangalie hii sura ina juwa wizi wote na CCM yenye wamepigwa vibaya kwenye kodi za majengo yao!
View attachment 1747290
Oo huyu mzee alikuwa anapiga akiwa amefunga macho kabisa ili asione ukubwa wa mzigo 💰Absolutely, alete maelezo ya tamasha la Kigwangala na EFD receipts, atuonyeshe ile ndege iliyofanyiwa ukarabati wa 3.92Bn ikiwa inaruka na kufanya safari, atuonyeshe magari ya wizara yaliyonunuliwa, ambayo kwenye makaratasi pesa zimetoka, ila wizarani magari hayajafika.n.k.
Issue ni jinsi mwendazake alivyokuwa anajipambanua na wapambe wake kuwa alikuwa perfect, utawala wake hauna ufisadi kama watangulizi wake, yako wapi, tena wamekuwa wanajipigia Bilions zamani ilikuwa mamilioni.
Ooh Rais wa wanyonge, ooh tumeibiwa sana, kumbe naye alikuwa na kiu kama wenzake, ELSE mikataba ingewekwa waziwazi, tuione, siyo yeye tu na Kabudi waisome.
Everyday is Saturday............................... 😎
Ndiyo maana walikuwa wanataka Bashiru abakie pale ikulu ili afunike funike vitu kama hivi.Ni kama unasema CAG ni mwongo
Au sijaelewa?
Mtu yoyote asiyeona wizi wa jpm basi yupo under a serious spell
Halafu kila CAG anayeripoti ukweli mnamkataa?
Of course mshazoeshwa mambo kufanywa gizani na mwendazake