Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Pamoja na wizi wote huu kweli ujinga mzigo

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kichele na Pro Assad ripoti zao hazipishani .. Assad alizimwa (umesahau)

Wewe unataka Tujadili siasa au..?

Tumuamini nani BUNGE, CAG, WAZIRI, SPIKA au RAIS..?

Hivi mnapata wapi muda wa kutetea wizi na upotevu wa kodi zetu?
 
Si alikuwa anapokea faida hadharani anigiza anapta gawio au sie huyu
 

Palikuwa na uzi hapa kabla ya report ya CAG ukiwashangaa watu kwa majina yao wakiwamo kina Majaliwa:


Wamo serikalini bado wakimtumikia nani?
 
Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
Nilisema baada ys Magufuli kutokuwepo ufisadi kurudi upya kwa kasi ya 5G ripoti Mkaguzi Mkuu ni changa la moto kuandaa njia kwenda huko. Katiba Mpya sasa ndiyo suluhisho if they are seriuos.
 
Hakuna mradi wowote chini ya Jpm. Miradi yote ni ya JK.

unamalizia certificate wapi?

Kuna kosa miradi kuwa ya JK ikatekelezwa na JPM?? kuwa mkweli hapa...hakuna kosa

Sasa usichokijua mpaka nadhania una risiti mtihani wa form four ni kuwa miradi yote ni dira ya taifa!! iko kwenye ilani ya CCM...hata JK aliikuta ya mkapa, mkapa ya mwisho na hii stigler ni wa Nyerere

kuhamia dodoma ni Nyerere sio?

ila mahospitali, bus stand, busis ni ya JPM

Kingine ambacho nimedhania unarudia mtihani wa form two...umesahau yooote unayosema ya JK ndio hiyo hiyo ya JPM akiwa waziri

Kaombe msamaha kwa mama yako, hakukuzaa mjinga hivi
 
Hizi habari mlipaswa kumwambia jamaa yenu kabla hajafa maana aliwahakikisha watu kwamba niheri Mtu apotee kuliko Hela ya Serikali

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Upinzani uko kwenye damu yangu; ila sasa hivi naona kama umepotea maana sijui ni nani amebakia upinzani kweli. Labda tuunde upya kabisa... maana upinzani umekubali jukumu lisilo lao...
Wewe ni CCM JPM husijifanye mpinzani Mzee MM.

Kinachotokea sasa ni pigo la gafla Mungu wenu kuonekana ni mchafu kipindukia tofauti na mapambip ambayo mulimezeshwa,mbaya zaidi viongozi wenzie tena wa karibu ndio wameibua huu uwozo.

Hadithi ya mwendazake ni funzo kubwa kwenye siasa za Tanzania ,especially siasa za CCM kama CCM wote ni wezi tu na hata nyinyi hamuruhusiwi tena kumtukuz mtu badala ya Mungu.

Leo wanaCCM wamekuwa wapinzani wakubwa wa serikiali yao,kwa ulivyoandika hii mada na wewe tunakuingiza kundi ili pia kwasababu misingi yote muliyokuwa munapigia pambio imevunjwa, matumaini ya vyeo yote yamevunjwa, matumaini ya kupata kura za bure bure yote yamevunjwa.

Pole sana mzee wetu, wewe hutakiwi tumpangia mama aongoze vipi,wala PM aongoze vipi!! Kuvunja bunge au kuitisha uchaguzi tena,siyo kazi yake. Cha kumalizia mimi nasema "SAFARI HII TUNAWAKELA MPAKA MUAME NCHI AU MUACHANE NA SIASA MAJI TAKA".
 
Yeye aliwakaribisha chato walikuja kutia mkataba wa nini
 
kutojiuzulu au kujiuzulu kwa wazir mkuu hakuwezi kubadilisha madudu yaliofanyika wakati waawamu ya magufuli, tuache porojo nyingi kilichopo kwenye ripoti ya cag ni facts zile sio story za vijiweni. ndege zimetupa hasara ya billion 60 tumepoteza pesa nyingi kujenga jiukuta mererani nabado kunaibiwa.
karbia kila kilichofanywa kimegubikwa nawizi uliokua unafichwa kwakutumia vitisho,

Rais samia angeandaa tume yakuchunguza miradi yote mikubwa iliofanyika awamu ya magufuli nawatakao bainika kuhusika wachukuliwe hatua
 
Usimwamini NDUNGAI MNAFIKI na huyu Mama ambae hana anachojua zaidi ya mipasho na taarab
Ndugai sijawahi kumkubali tangu akiwa Naibu spika,jinga tu lile jamaa.Huyu mother anaonekana ni mtu asiye na msimamo,ni km vile anaenda na upepo tuna Hatari kubwa Sana tusipojiangalia.Mujimu hapa tupige magoti tuombe Mungu atusaidie ili Taifa letu libaki salama.
 
Akikujibu naomba nami uniite nimsome

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hebu tuondolee UPUMBAVU wako! Eti ajenda ya Magufuli haijafa!!! Tangu 2016 kila ripoti ta CAG ilikuwa imejaa madudu ya kutisha na hakuchukua hatua zozote zile zaidi ya yeye na Ndugai kuja na mkakati wa kumfukuza CAG Assad kwa kusema ukweli kabisa kwamba Bunge ni dhaifu. Una akili sawa sawa wewe? Magufuli kakwapua hazina 2.7 trillions ndani ya miaka miwili tu ya mwanzo na kugomea uchunguzi huru. Toa ujinga wako!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…