Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Na. M. M. Mwanakijiji

Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli. Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea. Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.

Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.

Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufidadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.

Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.

Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Rais alikua na nafasi ya kuchagua viongozi wapya, lakini yeye karudisha wale wale. Shida tayari inaanza hapo. Kazi kwelikweli
 
Kumbe ndiyo maana Mwenyezi Mungu aliamua kumtwaa, yaani kwa jinsi alivyo shiriki kutuibia adi inatia hasira huku akituaminisha kuwa sisi wanyonge, sijui chapeni kazi
 
Wewe umeamua kuwa mjinga na sio kuwa watu nafsi zinawasuta

Kwako serikali iliyopita ni JPM!!! sio watendaji sasa hapa usaidiwe nini???

Na hao unaosema wala rushwa si ndio hawa hawa walikuwa madarakani na bado wapo??😜

Shida yako ni uwazi? upi?

umeulizwa hivyo vitu vinajengeka? vipo? vinaonekana? sasa kama mtendaji aliamua kuwa apige kazi na siasa zako weka pembeni...that is a true definition ya mwanaume

Labda na wewe unaungana na wale wajinga wanaodhania JPM alikuwa mpigaji? kwa nguo zile na maisha yale kwake nyumbani mpaka hana paved blocks?

JPM angekuwa mroho wa hela angekuwa tajiri kuliko mengi, bakhresa na manji...kakaa wizara ya ujenzi miaka mingapi?...

sasa huwa tunapenda muwaze pande hizo kuwa HE IS MOTIVE was pure, genuine and good...

ila ukiwasikiliza watanzania kama wewe nchi haiendi mahali hii....he decided is own way.....alifaulu JPM...wala report ya CAG isikupe faraja yoyote
Mnajitahidi sana kusafisha kibwetere wenu hasafishiki nankosa kubwa alilo fanya ni kuziba watu midomo hivuo mambo yalijikusanya sana

Kazi kufanyika sio tija na huwezi kuaminisha watu wenye akili eti wasihoji wizi wake kisa tu kazi inaoneka huilo ni ujinga

Hata enzi za kikwete kazi zilionekana lakini bado ufisadi uliibuliwa na watu waliwajibishwa na kazi zilionekaka

Kikwete katekeleza miradi mingi sanabkuliko magufuli, miradi mingi ya magufuli ni white elephat nilikuwa natembelea SGR kumbe mambo bado kabisaaaa tofauti kabisa na tulivyo kuwa tunaaminishwa lakini mtu anataka asifike utadhani mradi umekamilika
SIFA ZILIZIDI MNO
 
Magufuli ameyataka Mwenyewe... Na hili liwe fundisho kwa viongozi wajao..

Alipinga na aliiua DEMOKRASIA nchini makusudi..
Aliuwa uhuru wa kutoa maoni..
Alipinga haki ya kidemocrasia ya kukusanyika..kuhabarishana na kupinga...
Aliuwa upinzani kwa nguvu zake zotee... Alinunuwa wabunge wa Upinzani kwa gharama kubwa....
Alifungia vyombo vya habari...magazeti yote aliyohisi ni kinyume nae...
Ktk serikali tumeshuhudia watu wakipotea...wakipigwa risasi...wakiuawa mchana kweupe.

Sasa baada ya kufanya hayo.. Wapinzani wamuachia Nchi yake..media ikamuachia nchi yake.. Ikabaki ni nchi ya kusema kile tuu...kiile tu kinachompendeza yeye.

Upuuzi upuuzi upuuzi....
Sasa yanaibuka.Wajanja wakawa bize kusifu na kuabudu kumbe wanapiga wanaiba wanamdanganya.

Na bado hatujasikia kitu. Bado Lissu hajaongea... Bado Mbowe hajaongea.

JK aliitwa Dhaifu kwa sababu tulifahamu na aliruuhusu watu waseme..waandamane..waongeee.wampinge..wamtusi..

Sasa Magufuli na Avune Alichopanda. Nilianza kumuonea huruma. Ila nimelala nimeamka na akili mpya.

FUNDISHO KWA MAMA SAMIA SULUHU...


Dont ever everrr follow the steps of your predecessor.
 
Mikopo kutoka kwa mabeberu inatumika huko. Hela za ndani zinatafunwa na wenye meno.
SGR, Rufiji Dam ni picha tu zile....[emoji1787]

CAG kaamua kishabiki kusema bila aibu akiwa na watendaji wale wale....akitaka kujikomba kwa mama kumbe anachotwa akili!

wa kujiuzulu sio PM tu hata Rais!!!!

Hakuna namna watamzima kirais JPM, he is here to stay with us for long long time
 
Leo kaandika vizuri sana mkuu.Soma tena utamuelewa.

Hapana, wewe hujamwelewa lengo lake.

Kwamba anakubaliana na wanaouliza kama CAG aliandaa report tofauti na hii kwa ajili ya Magu?

Kwamba hii report ya CAG ime-overstate weaknesses ili kuharibu legacy ya Magu?

Kuna mpinzani yeyote ambaye amewahi kusema flyovers (madaraja) hayajajengwa? Hospital hazijajengwa?
 
Soma tena mkuu, utaelewa. Mi nimesoma mara 1 tu na nimemuelewa mzee mwanakijiji. Anajaribu kusema, kama mwendazake alifanya ufisadi ilihali kafanya vitu vinavyo onekana hadi sasa na tena aliokua anafanya nao ndio hao hao leo wanashiriki kumkosoa then sisi kama wananchi tuna sababu gani ya kuwaamini kina Majaliwa, Ndugai na hata mama? Si wote walikua team moja? Ndicho anacho jaribu kutwambia wasomaji wake

Kuna point ya kumsafisha Magu ambayo hujaiona Mkuu.

Anyway, kazi ya fasihi siyo lazima wote tuelewe sawa.
 
Mikopo kutoka kwa mabeberu na pesa za mifuko ya pensheni zimetumika sana katika miradi hiyo huku tukiimbishwa tunajenga kwa pesa zetu za ndani ambazo wenye meno walikuwa wanaendelea kuzitafuna.
Wewe umeamua kuwa mjinga na sio kuwa watu nafsi zinawasuta

Kwako serikali iliyopita ni JPM!!! sio watendaji sasa hapa usaidiwe nini???

Na hao unaosema wala rushwa si ndio hawa hawa walikuwa madarakani na bado wapo??[emoji12]

Shida yako ni uwazi? upi?

umeulizwa hivyo vitu vinajengeka? vipo? vinaonekana? sasa kama mtendaji aliamua kuwa apige kazi na siasa zako weka pembeni...that is a true definition ya mwanaume

Labda na wewe unaungana na wale wajinga wanaodhania JPM alikuwa mpigaji? kwa nguo zile na maisha yale kwake nyumbani mpaka hana paved blocks?

JPM angekuwa mroho wa hela angekuwa tajiri kuliko mengi, bakhresa na manji...kakaa wizara ya ujenzi miaka mingapi?...

sasa huwa tunapenda muwaze pande hizo kuwa HE IS MOTIVE was pure, genuine and good...

ila ukiwasikiliza watanzania kama wewe nchi haiendi mahali hii....he decided is own way.....alifaulu JPM...wala report ya CAG isikupe faraja yoyote
 
Rais JPM hakutaka kufanya kazi na watu makini ambao ndo wangekuwa na wajibu wa dhati kumsaidia kiukweli sio hawa wakina Majaliwa,Ndugai nk ambao wengi wao walikuwa wanafiki wapenda cheo na kujali matumbo yao.

Mtu kama prof Assad alikuwa right person kufanya kazi na JPM bega kwa bega ila kilicho tokea sote tunafahamu"mwenye macho haambiwi tazama"

Leo imekuwa tofauti walio kuwa wanampamba rais JPM ndo wamegeuka na kuwa wakosoaji wake wakubwa.kuna vitu kadhaa vya kujiuliza kwanza

Je,angekuwepo hai JPM mwenyewe CAG angetoa ripoti hii??

Je,Mama hakuwa sehemu ya utawala ambao leo unalalamikiwa kuwa na ufisadi mkubwa?

Miradi iliyofanywa na JPM totally ni makosa? Na mibaya?
 
Siku zote watu ukiwabana sana na kutaka wafanye utakacho watakuwa wanifiki tu kwako na siku ukiyakosa hayo madaraka wataanza kuyafunua maovu yako maana hawakuigopi tena na hauna cha kuwafanya.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli. Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea. Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.

Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.

Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufidadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.

Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.

Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Andiko lako ni la kiwango cha chini mno, CAG kaja facts wewe unakuja na sentiment. Hadithi yako ingekua na maana kama ungetoa vielelezo dhidi ya hayo,
Kuwa Atcl haikulipa 3.6 b kwa ajili ya matengenezo ya ndege iliyotelekezwa toka 2015
Kuwa tamasha la urithi lilikua na matumizi halali
Kuwa atcl ni kweli inapata faida sio hasara
Kuwa wafanyakazi wote wa kigeni sgr wana vibali vya kazi na vimelipiwa
Kuwa sgr haitumii feasibility study ya 1970's n.k
Vinginevyo tuache ku undermine taasisi muhimu kama CAG ambayo inatusaidia kuboresha taratibu zetu za manunuzi na malipo serikalini.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli. Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea. Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.

Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.

Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufidadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.

Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.

Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Well said mkuu,
Niliwaza pia kitu hiki.
Ni dhahiri kwamba kwa usahihi wa mambo haya , serikali ya sasa hawapaswi kuendelea kuwepo madarakani.
Acha waendelee kujikaanga kwa mafuta yao wenyewe.
 
Se

Sema tu kelele zilikuwa nyingi. Jk alifanya Mambo makubwa kimyakimya.
Si ungeweka reference? Lile Bomba la mafuta ya pesa ya China, na mkwewe Albert kuchukua USD 25million? Fight the system not the individuals. Kwa hiyo kwako wewe mama Mipasho mzuri na Jk mzuri au siyo? All those are the System Gang, CCM.
 
Hii nchi imejaa mashetani. JPM alitufungua akili na kutupa ujasiri sisi wanyonge. Tunawasubiri tu, ngoja tuone
Kumbe ulikuwa na akili za kushikiwa.
Wewe "Mnyonge" ujasili wako umekuwa na tija gani kwa taifa?
Stupid! Unategemea mtu akupe ujasiri badala ya wewe mwenyewe kutafuta maarifa ya kukupa huo ujasili.
 
Kumbe ndiyo maana Mwenyezi Mungu aliamua kumtwaa, yaani kwa jinsi alivyo shiriki kutuibia adi inatia hasira huku akituaminisha kuwa sisi wanyonge, sijui chapeni kazi
Mkuu usikute hana hata mia... Wameiba wajanja..

Hivi kweli kwamba Wasukuma ni washamba kiasi hiki.
 
Mwandishi ni kama vile hutaki kuamini kuwa Magufuli alikuwa fisadi namba moja wa Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Ripoti rasmi za kiuchunguzi wa pesa (CAG) za sasa zinaonyesha hivyo. Ni upigaji mtupu.

Kwanini ushangae hilo sasa wakati wakosoaji wa Magufuli walikuwa wakiyasema hayo kwa miaka mitano yote?

Ni akina nani waliohoji upotezi wa Trilioni 1.5 zilizotajwa na Professor Assad?
Kwanini Professor Assad alifukuzwa kimizengwe?

Kwanini vyombo vya habari vilizibwa midomo?

Kwanini wapinzani walipotezwa, kununuliwa, kuteswa na kuuwawa?

Kwanini wapinzani walinyimwa fursa ya kufanya siasa, kushika ikulu, kuingia bungeni, kutawala serikali za mitaa au mabaraza ya halmashauri ?

Kwanini genge la Magufuli lilikuwa likiratibu utawala wa Magufuli udumu milele?

Kwanini tender zote za miradi mikubwa ziwe siri ya Magufuli na ikulu tu?

Kwanini genge la Magufuli lilitaka kupindisha mambo kwa gharama yoyote ili kukamata kiti cha urais hata baada ya Magufuli kuwa mahututi/kufariki dunia?

Ukweli unaweza kuchelewa kujionyesha, lakini muda utaufunua ukweli wote. Muda umefika sasa kwa utawala wote wa Magufuli kupimwa upya. Tusiogope kusema ukweli hata kama ukweli huo utatufedhehesha baadhi yetu.
Kwa sababu adui wa maendeleo ya mtu mweusi anategemea ufuate utaratibu huo aliokurithisha wakati akikutawala.
Marehemu alikua genius, aliyajua hayo. Aliwapiga chenga nyingi katika mambo mengi. Kwa kifupi mwendazake alikua level ya Raisi wa N.korea.
 
Back
Top Bottom