Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Na hii ndio shida yenu mnaona waTZ wajinga sana..... Eti kikundi kimelipwa? Kwamba hakuna mtu mwenye uwezo wa kukosoa au kufikiri mpaka alipwe? Hvi CCM mnajiona mnamiliki mawazo yetu kisa propaganda zenu.

1. JPM 2019 alidai ATCL imeingiza mabillion hadi ikatoa gawio sasa leo watu wakiona hasara miaka 5 yote wasicharuke

2. SGR haikukaguliwa sasa leo imegundulika ndani ya 35% za pesa iliyolipwa ilitumia infkated exchange rate na haikua ya siku ya malipo wala ya BOT. Rate ya benki za kibiashara. Sasa hya tungejua bila CAG?

3. Tunaambiwa SGR wafanyakazi wa kigeni hawakuwa na vibali hivyo kukosesha nchi mabillion ya fedha. Furthermore interest rate ilikua inakua kubwa kutokana na fedha kucheleweshwa makusudi.

4. Nyerere Dam ilitumia feasibility/EIA ya mwaka 70 na 80 ila haikufanyila harmonisation kwa standards na sheria za Tanzania za sasa ikiwemo sustainability ya flow ya maji kwa miaka tajwa. Haya yangejulikana lini kama sio CAG kutufungu macho?

5. TGFA iliwahi kukaguliwa? Imegundulika na wao ni liability na hakuna mwenye utaalam na uzoefu kwenye aviation industry. Hya tungeyajua bila CAG?

Kilicho pelekea haya yote ni TRANSPARENCY kutoweka. Kama mambo yangekuwa wazi unadhani kuna mtu angeshtuka? so sad Mzee Mwanakijiji nao wanageuka conspiracy theorists wkt facts zipo mezani
Mkuu hiyo Number 4 ina implications kubwa sana. Naona Sustainability ya flow ya Maji ni issue!
 
Na kwakweli wanathibitisha kauli yake kuwa sisi ni matajiri na donor country, kama yeye anaweza kuchota matrilions na bado akafanya wonders hizi sisi ni akina nani sasa?
Uko na akili nyingi mno kama Magufu ni Fisadi papa na kibaka na mwizi wa kutupwa aliyekwapua hiyo mipesa Yote CAG aliyoitaja na bado akafanya hayo aliyofanya nchi nzima nchi hii ni tajiri mno maana kaiba weee na bado change ikabaki ya kuweka miradi ya maendeleo na ya jamii na miundo mbinu nchi nzima nchi hii ina utajiri mkubwa .I salute Magufuli he was right Tanzania Tajiri ushahid Ripoti yac CAG anasema zilikwapuliwa na wananchi tunasema matumizi tuliyaona maeneo tunayoishi

Challenge kwa serikali iliyopo nchi yetu tajiri nyie mliopo tunatarajia mtafanya makubwa kuliko fisadi mkubwa na kibaka Magufuli kwenye Miradi na huduma za jamii sababu mtabana wizi wa pesa kwenye nchi yetu tajiri
 
Ajenda gani?? Mshenzi wenu angekuwa msafi asingemtoa kwenye cheo chake Prof Assad. Ile ni ishara tosha hakuwa msafi na ni mchafu kuliko kiongozi yeyote kuwai tokea Tanzania
Hawa ndo waliodiriki kumuita jiwe mungu walitukuza walisadiki na kumuabudu
 
Uko na akili nyingi mno kama Magufu ni Fisadi papa na kibaka na mwizi wa kutupwa aliyekwapua hiyo mipesa Yote CAG aliyoitaja na bado akafanya hayo aliyofanya nchi nzima nchi hii ni tajiri mno maana kaiba weee na bado change ikabaki ya kuweka miradi ya maendeleo na ya jamii na miundo mbinu nchi nzima nchi hii ina utajiri mkubwa .I salute Magufuli he was right Tanzania Tajiri ushahid Ripoti yac CAG anasema zilikwapuliwa na wananchi tunasema matumizi tuliyaona maeneo tunayoishi

Challenge kwa serikali iliyopo nchi yetu tajiri nyie mliopo tunatarajia mtafanya makubwa kuliko fisadi mkubwa na kibaka Magufuli kwenye Miradi na huduma za jamii sababu mtabana wizi wa pesa kwenye nchi yetu tajiri
Mkuu mlituaminisha ufisadi umeisha mpaka mkadai wapinzani wameishiwa ajenda maana hamna wizi tena serikalini.

Mlidai mahakama ya mafisadi ilikua haina kesi maana wizi umedhibitiwa. Sasa mnadhani credibility ipo tena.

Kingine fahamu JPM alikua anakopa na ndio maana pato la mwezi almost trillion 1 iliishia kwenye mishahara na kuserevice madeni na overlapping interest rates!! Sasa kma Mama samia akikopa pia atashindwa nini? Si unakopa tu maadam hujafika 56% ya GDP!!

Issue sio mambo yanayoonekana issue ni sustainability mfano Nyerere dam kumbe haina sustainability plan, Ndege kumbe ni hasara, TGFA kumbe ni liability, sasa issue ni kujenga tu au faida yake kurudi?

Yaani hata angejenga daraja hadi zanzibar kama ni hasara hamna shida ilimradi linaonekana ni daraja? Hvi reasoning zetu zina shida gani
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.

Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.

Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.

Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.

Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.

Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.

Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Kuna kikundi kiko nyuma ya hili jambo ndiyo hicho kiko highly likely kilihusika na kifo cha hayati Magufuli. Ukiona bandari ya Bagamoyo inarudi kwa kasi, jua ile ccm ya wapigaji inataka kurudi kwa kasi sana.
 
Kichele na Pro Assad ripoti zao hazipishani .. Assad alizimwa (umesahau)

Wewe unataka Tujadili siasa au..?

Tumuamini nani BUNGE, CAG, WAZIRI, SPIKA au RAIS..?

Hivi mnapata wapi muda wa kutetea wizi na upotevu wa kodi zetu?
kwa maelezo ya mdau anatuhusia tusiamini maneno ya mtu yeyote yule, bali tujitafutie maarifa sisi wenyewe bila kuletewa na mtu

Kwa point hiyo hata hayo maneno yake yanapaswa kupuuzwa maana kuyakubali ni kurudia kosa ambalo amesisitiza
 
H
Na. M. M. Mwanakijiji

Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.

Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.

Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.

Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.

Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.

Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.

Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Huwezi kuwa na mapenzi ya aina hiyo huo ni UNAFIKI kwenye UKWELI usemwe UKWELI!
 
Wewe umeamua kuwa mjinga na sio kuwa watu nafsi zinawasuta

Kwako serikali iliyopita ni JPM!!! sio watendaji sasa hapa usaidiwe nini?

Na hao unaosema wala rushwa si ndio hawa hawa walikuwa madarakani na bado wapo??😜

Shida yako ni uwazi? upi?

umeulizwa hivyo vitu vinajengeka? vipo? vinaonekana? sasa kama mtendaji aliamua kuwa apige kazi na siasa zako weka pembeni...that is a true definition ya mwanaume

Labda na wewe unaungana na wale wajinga wanaodhania JPM alikuwa mpigaji? kwa nguo zile na maisha yale kwake nyumbani mpaka hana paved blocks?

JPM angekuwa mroho wa hela angekuwa tajiri kuliko mengi, bakhresa na manji...kakaa wizara ya ujenzi miaka mingapi?...

sasa huwa tunapenda muwaze pande hizo kuwa HE IS MOTIVE was pure, genuine and good...

ila ukiwasikiliza watanzania kama wewe nchi haiendi mahali hii....he decided is own way.....alifaulu JPM...wala report ya CAG isikupe faraja yoyote
Tafadhali sana usipende kudanganya watu kuhusu utajiri wa Magufuli kwa watu wanaokijua vyema, tafadhali sana ndugu yangu.
Haya ni majengo yaliyopo nyumbani kwa Marehemu Magufuli hapo kilimani Chato.

Nyumba ya vyumba viwili - yapo 14
Nyumba ya vyumba vitatu -yapo 9
Nyumba zinzotumika kama jiko..stoo..na sehemu ya kulia chakula (ukumbi) yapo 4
Nyumba ya mbili na kila moja na ghorofa 2, alizifanya kama Ikulu.
Nyumba nne na kila moja ni ghorofa 3, alizifanya kama hoteli.
Kanisa moja
Nyumba zote hizi zipo ndani fensi moja.
Samahani sana ndugu, Marehemu alikua fisadi kama mafisadi wengine.. hapo nimegusia tu hapo Mlimani Chato, bado Nyabirezi, Karagwe, Mwanza, Dodoma na Dar.
R.I.P Mpendwa wetu.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.

Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.

Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.

Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.

Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.

Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.

Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Kweli leo ndio nimeamini we kweli mwanakijiji
 
Tafadhali sana usipende kudanganya watu kuhusu utajiri wa Magufuli kwa watu wanaokijua vyema, tafadhali sana ndugu yangu.
Haya ni majengo yaliyopo nyumbani kwa Marehemu Magufuli hapo kilimani Chato.

Nyumba ya vyumba viwili - yapo 14
Nyumba ya vyumba vitatu -yapo 9
Nyumba zinzotumika kama jiko..stoo..na sehemu ya kulia chakula (ukumbi) yapo 4
Nyumba ya mbili na kila moja na ghorofa 2, alizifanya kama Ikulu.
Nyumba nne na kila moja ni ghorofa 3, alizifanya kama hoteli.
Kanisa moja
Nyumba zote hizi zipo ndani fensi moja.
Samahani sana ndugu, Marehemu alikua fisadi kama mafisadi wengine.. hapo nimegusia tu hapo Mlimani Chato, bado Nyabirezi, Karagwe, Mwanza, Dodoma na Dar.
R.I.P Mpendwa wetu.
Daaa wewe mzee hii nilikuwa sifahamu daaa myonge kama mimi nipo Dumila nashangilia Mzee anakula mahindi ya kuchoma huku tunashangilia daaah.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.

Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.

Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.

Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.

Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.

Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.

Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Uchaguzi Uitishwe
Serikali ivunjwe
Wale wale wa kusifu na kuabudu Wale Wale wa Kukosoa Leo
Wapinzani Wananchi au niseme WaTz ni bendera mfuata upepo
Walioko Bungeni ni hasara tupu
Mambumbumbu wamekuwa wengi
Wote ni wezi period!

*Mkuu on a serious note - Kwani hukujua hii miradi mikubwa kwa mpigo italeta shida? Haraka ilikuwa ya nini? Mshika mawili moja humponyoka
Mwendazake aliambiwa alilokuwa anataka kusikia matokeo yake ni haya
Utawala mzima umeoza
 
Umeandika kitu hapa, ninavyofahamu madudu ya ofisi za huko serikalini huwa yapo kila awamu, japo sasa tunaaminishwa yamezidi kwa awamu iliyopita, ningedhani pia kwa uelewa wangu wapinzani sasa waje na solution nini cha kufanya ili kuepuka hiyo situation mbele ya safari, badala yake naona wapinzani wameungana na lile kundi jingine la CCM kumshambulia mwendazake, hapa mwenye akili timamu lazima ujiulize, hawa wapinzani wa sampuli hii lengo lao ni nini hasa?

Wamejisahau wanamshangilia huyu mama tokea aingie ikulu, hata madudu yake yaliyotokea hivi karibuni bado hawajayaona, wao ni kushangilia tu kwa hali hii kwanini tusiendelee kutawaliwa na CCM miaka yote? hii ni kwasababu watu wameacha kufuata akili zao wanafuata za viongozi wao wa mitandaoni ndio maana.

CCM ni wale wale, kulindana kuko pale pale lakini watu wanashangilia tu kwa ufupi wa kumbukumbu zao, baada ya siku kadhaa akili zitawarudia waanze kulia tena, just a matter of time.
Kama madudu yanakuwepo kila awamu kwanini aliweka kizuizi kuyaongelea?

Kwanini waliothubutu kuyaongelea madudu ya utawala wake aliwageuza kua maadui zake kuwateka, kuwaua, kuwajeruhi, na wengine kufanyiwa njama waondoke kwenye vyeo vyao ili wasipate hiyo access?
 
Member wengi wa jukwaa la siasa wamekariri majina ya member. Hawasomi Wana like tu bila kujua kuwa hata Mzee Mwanakijiji muda mwingine hupost thread akiwa na stress au kalewa.
Ni mpumbavu au msukuma pekee anaueweza kuamini serikali ya Mwendazake haikuwa ya kifisadi Kwa kiwango kilichoripotiwa na CAG.

Hapo bado CAG hajatia neno kuhusu Chato international airport.
 
Back
Top Bottom