MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
"Nilishatabiri mapema tu kuwa Simba SC inacheza Fainali ya Shirikisho. Na hata hiyo Jumapili nakuhakikishia Simba SC anaenda Kumfunga Orlando Pirates FC na kwenda Nusu Fainali ya Shirikisho. Simba SC ina Wachezaji wakubwa, wazuri, wanaofika na wanaweza Kukimbizana.
"Nimewaona Orlando Pirates FC ni wepesi mno na nilimshangaa sana yule Kocha wao akilalamika wakati Mimi kama Kocha ile Penati ya Simba SC ilikuwa ni ya halali kabisa.
"Kitu pekee tu ambacho nawaonya Simba SC ni kuwa makini mipira ya Set Pieces na Kona kwani kwa maeneo haya wako vizuri ila Kwingineko ni wa Kawaida na kama Wachezaji wa Simba SC wakijitambua, wakicheza maradufu na walivyocheza Kwa Mkapa nakuhakikishia Simba SC anavuka na kuingia Nusu Fainali na sina Shaka katika hili," amesema Kocha Makini, Mwerevu na Fundi wa Mpira Tanzania nzima na Kocha Mkuu wa Cambiasso Sports Academy Mecky Maxime.
Taarifa: Sports Extra Clouds FM leo.
"Nimewaona Orlando Pirates FC ni wepesi mno na nilimshangaa sana yule Kocha wao akilalamika wakati Mimi kama Kocha ile Penati ya Simba SC ilikuwa ni ya halali kabisa.
"Kitu pekee tu ambacho nawaonya Simba SC ni kuwa makini mipira ya Set Pieces na Kona kwani kwa maeneo haya wako vizuri ila Kwingineko ni wa Kawaida na kama Wachezaji wa Simba SC wakijitambua, wakicheza maradufu na walivyocheza Kwa Mkapa nakuhakikishia Simba SC anavuka na kuingia Nusu Fainali na sina Shaka katika hili," amesema Kocha Makini, Mwerevu na Fundi wa Mpira Tanzania nzima na Kocha Mkuu wa Cambiasso Sports Academy Mecky Maxime.
Taarifa: Sports Extra Clouds FM leo.