Mbona nipo pia karibu na CEO Barbara Gonzalez na Juzi alisema sasa Wameunda Kikosi Kazi cha Kuwabaini wanaoihujumu Klabu na yupo Mchezaji Mmoja Mwandamizi nae anahusika?
Haya na hapa pia kwa hii Siri aliyonipa CEO Wenu na Yeye pia nitamuharibia au Kumponza? Mimi ndiyo Mightier sawa?
Mpuuzi mkubwa Wewe.