Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

kendy

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
296
Reaction score
564
a820aacab1624dec827f0d1ef770459c_18.jpg

Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.

Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi muda sio mrefu.

S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.

Hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya Mataifa ya Magharibi ni mafanikio makubwa kwa Marekani.
 
Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
MKUU Kwan Unahisi Wakati RUSSIA Anayauza Hayo Ma S Hakujua Kama TURKEY Ni Mwanachama Halali Wa NATO !?

Jamaa Walitazama Mpaka Kesho Kutwa Yao Kabla Yakufikia Maamuzi Yakuyauza Hayo Madude

Wafanye Watakavyoyafanya Wakiamuliwa Kuchapwa Wanachapwa Mpaka wanakaa Pembeni[emoji4][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe una akili kuwashinda warusi?.Warusi wanajua kabisa unavyomizia mtu silaha basi kuna uwezekano mkubwa ikafika kwenye mikono sio salama maana kuna adui kuteka silaha,kuna mapinduzi ya kikeshi na mambo mengine mengi tu.kwa iyo mpaka wanauza basi washanjiandaa kwa mamboengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
HAPO UNAKUTA YUKO HOI BIN TAABANI HATA PESA YA KULA HANA MFUKONI LAKINI ETI ANACHAMBUA MAMBO YA URUSI
 
Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
Mbona Syria zipo na Israel wana piga wapendavyo.
 
Wewe una akili kuwashinda warusi?.Warusi wanajua kabisa unavyomizia mtu silaha basi kuna uwezekano mkubwa ikafika kwenye mikono sio salama maana kuna adui kuteka silaha,kuna mapinduzi ya kikeshi na mambo mengine mengi tu.kwa iyo mpaka wanauza basi washanjiandaa kwa mamboengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasipouza silaha na mafuta nini tena wanacho cha kuuza
 
HAPO UNAKUTA YUKO HOI BIN TAABANI HATA PESA YA KULA HANA MFUKONI LAKINI ETI ANACHAMBUA MAMBO YA URUSI
Vijitu vingine bwana,yani hapo wewe nae eti umechangia,waswahili ndio maana huwa tunashindwa maswali mepesi tu.umeonesha jinsi ulivyo kilaza.
hivi mimi na wewe nani yuko hoi?kwanza umetumia herufi kubwa isivyostahili,pili umeonesha ujinga wako hadharani kwa kuhusisha fedha na maoni.sasa mtu kutokua na fedha kunamzuia kutazama Al jazeera,au Press TV,au RT,au kusoma Sputnik news,au kusoma habari kupitia Mitandao mbalimbali?
Kati ya mimi na wewe nani yuko hoi? kama mimi niko hoi mfukoni,wewe uko hoi kichwani.
kuna watu wengi hawana hela ya kula lakini kupata habari hawakosi elewa wewe kilaza.
hata hivyo kwa ujinga wako umewezaje kujua kuwa mimi niko hoi,hunijui wala sikujui,hujui niko wapi na ninafanya nini.
Kuchambua mambo ya Urusi wewe kwenu unaona ni Big Deal.?
Hata wazee vijijini wanakaa chini ya mwembe wanasikiliza BBC,DW,VOA,France,etc.
Kwanza napoteza mda wangu kujibizana na wewe usikute tayari ushavuta Ugoro.
 
Vijitu vingine bwana,yani hapo wewe nae eti umechangia,waswahili ndio maana huwa tunashindwa maswali mepesi tu.umeonesha jinsi ulivyo kilaza.
hivi mimi na wewe nani yuko hoi?kwanza umetumia herufi kubwa isivyostahili,pili umeonesha ujinga wako hadharani kwa kuhusisha fedha na maoni.sasa mtu kutokua na fedha kunamzuia kutazama Al jazeera,au Press TV,au RT,au kusoma Sputnik news,au kusoma habari kupitia Mitandao mbalimbali?
Kati ya mimi na wewe nani yuko hoi? kama mimi niko hoi mfukoni,wewe uko hoi kichwani.
karibu samaki samaki jioni acha kupanic na njaa zako,njoo mlimani city baadae utanikuta caunta acha maneno mengi,mstari mmoja unajibu na paragraph nzima?
 
Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
Urusi wanazungumzia S500..................
 
Back
Top Bottom