dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
π π π π π π π πHAPO UNAKUTA YUKO HOI BIN TAABANI HATA PESA YA KULA HANA MFUKONI LAKINI ETI ANACHAMBUA MAMBO YA URUSI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π π π πHAPO UNAKUTA YUKO HOI BIN TAABANI HATA PESA YA KULA HANA MFUKONI LAKINI ETI ANACHAMBUA MAMBO YA URUSI
Film industry, music industry & entertainment industry kwa ujumla ya US Ni sawasawa na viwanda vyote vya RussiaUrusi wana bidhaa nyingi sana Mkuu.Urusi ana karibu viwanda vyote alivyonavyo Mmarekani.
The following export product groups represent the highest dollar value in Russian global shipments during 2018. Also shown is the percentage share each export category represents in terms of overall exports from Russia.hapa bongo TZ taja vitu vya mrusi dukani
Mbona huna weredi kabisa. Ubalozi wa Marekani mbona wa kawaida sana. Na kingine ujue ubalozi unakuwa mkubwa au kuwa na shughuli nyingi kulingana na diplomasia ya nchi ilivo na mahusiano baina ya nchi hizo. Huwezi taka eti ubalozi wa Tanzania nchini Vietnam uwe mkubwa kuliko ubalozi wa Tanzania nchini China, inategemea sera zao na mahusiano vikoje. Watu kama wewe ndo mnapima utajiri wa mtu kwa nyumba anayoishi. Tumia vigezo vyenye akili kufanya justification ya unachokisema.AK47 za mrussi ziko Kariakoo Mkuu ?
Nenda kaangalie Ubalozi wa Urussi pale mataa O/bay halafu nenda msasani kacheki mjengo wa US ndio utapata angalau picha.
Russia choka mbaya sana njaa tupu. Najua povu saana lakini ndio hali halisi. Halafu wapo kibao kama wachina vile.
Film na music si ndo burudani hizo mkuuFilm industry, music industry & entertainment industry kwa ujumla ya US Ni sawasawa na viwanda vyote vya Russia
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upuzi. Sasa hivi US yupo Syria kwa mabavu umemsikia Russia anapiga bomu pale. Nako wachache sana.Mbona huna weredi kabisa. Ubalozi wa Marekani mbona wa kawaida sana. Na kingine ujue ubalozi unakuwa mkubwa au kuwa na shughuli nyingi kulingana na diplomasia ya nchi ilivo na mahusiano baina ya nchi hizo. Huwezi taka eti ubalozi wa Tanzania nchini Vietnam uwe mkubwa kuliko ubalozi wa Tanzania nchini China, inategemea sera zao na mahusiano vikoje. Watu kama wewe ndo mnapima utajiri wa mtu kwa nyumba anayoishi. Tumia vigezo vyenye akili kufanya justification ya unachokisema.
HAPO UNAKUTA YUKO HOI BIN TAABANI HATA PESA YA KULA HANA MFUKONI LAKINI ETI ANACHAMBUA MAMBO YA URUSI
Lakini ndugu zako waturuki huko wanaokula kipondo na watu waliochoka mkuu...huku mabeberu walioshiba wanaangalia tu wanamuogopa aliyechoka[emoji23][emoji23]AK47 za mrussi ziko Kariakoo Mkuu ?
Nenda kaangalie Ubalozi wa Urussi pale mataa O/bay halafu nenda msasani kacheki mjengo wa US ndio utapata angalau picha.
Russia choka mbaya sana njaa tupu. Najua povu saana lakini ndio hali halisi. Halafu wapo kibao kama wachina vile.
Kwa mwandiko wako tu naomba tusibishane tena. Asante sana kwa maoni yako.Nendeni mkaangalie tu ubalozi wa Urrudi pale S
Acha upuzi. Sasa hivi US yupo Syria kwa mabavu umemsikia Russia anapiga bomu pale. Nako wachache sana.
Vip uliiona ile clip wa Russia wame pigwa block kule syria wakaambiwa warudi walikotoka. Ipo youtube.
Naona naongea na mtu ambae hajui nasema nini. Mi nimeingia pale Ubalozini kwao Selader Bridge O^bay Russia njaa tupu.
Halafu tullingia kuchukua Visa pale msasni ililokuwa Drive Inn msasani. Tofauti kubwa mchana na Usiku.
Bye for now & signing out naona napoteza muda wangu tu
Kwani ukiwa na njaa ubongo unakufa?
Wengine raha yao ni kufuatilia mambo ya kijeshi, wengine mpira, huwezi kunipangia nisishangilie mpira au nichambue sababu nina njaa hasha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nasikia Edo ameomba msaada NATO.hawa wakija itabidi Russia awe mpole.Erdogan na kiburi chake chote kwa sasa yupo viganjani mwa Putin.
Mkuu hayo ndio maoni yangu,na huo ndio wasiwasi wangu.Na huo ndio mwisho wangu wa kufikiria,mimi sio mtaalam wa intelijensia, masuala ya Vita na Silaha.sasa nyinyi wataalamu toeni maoni yenu.Maana naona kinachoendelea huko Syiria sio salama kabisa.kuna Vita kubwa inanukia.Hahahaha nimecheka Sana ...yaani ndugu yangu unadhani Russia hawakuliona Hilo ??? Dah
Mkuu huamini Kama URUSI ana viwanda vya
Vifaru vya JWTZ,Lada za jeshi.hapa bongo TZ taja vitu vya mrusi dukani
Nitajie Muigizaji mmoja maarufu kutoka Ujerumani,Mwanamuziki mmoja maarufu kutoka ujerumani.Nitajie movie moja iliyopendwa Sana hapa duniani au wimbo uliopendwa sn hapa duniani kwa mwaka Jana kutoka German.Film industry, music industry & entertainment industry kwa ujumla ya US Ni sawasawa na viwanda vyote vya Russia
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu,na kwa majibu yako juu ya mtu huyu ndio nazidi kujua kuwa wewe Ni akili kubwa ambayo umejaaliwa.
Bahati mbaya jamaa yangu hakuyajua hayo uliyomweleza.
Nenda kituo cha porisi keko,chungulia kwa nyuma utaona magari kibao ya washawasha aina ya Kamaz yamepaki.sasa jaribu kufanya fujo ndo utakua uwezo wa hayo magari maana yanarusha maji balaa.AK47 za mrussi ziko Kariakoo Mkuu ?
Nenda kaangalie Ubalozi wa Urussi pale mataa O/bay halafu nenda msasani kacheki mjengo wa US ndio utapata angalau picha.
Russia choka mbaya sana njaa tupu. Najua povu saana lakini ndio hali halisi. Halafu wapo kibao kama wachina vile.
Ok thanks...samahani kwa kuonekana nakubeza..I am sorry...inaonekana wewe ni mtu muungwana na unayetaka hoja za kuelimishana...I am sorry...kwa upande Fulani upo sahihi...middle East inaweza kufumuka Vita kubwa...kwa uelewa wangu s-400 zipo za export na za wao warusi...ninavyowafahamu warusi hawaeezi kuwapa Kila kitu kuhusu s 400 hao waturuki..halafu nadhani warusi wanna mpango mkubwa mno kuhusu Syria...nadhani mikakati yote ya Syria inaandaliwa na Russia...kwa Russia Syria ni life and death..ni suala la kiuchumi pia,.Mkuu hayo ndio maoni yangu,na huo ndio wasiwasi wangu.Na huo ndio mwisho wangu wa kufikiria,mimi sio mtaalam wa intelijensia, masuala ya Vita na Silaha.sasa nyinyi wataalamu toeni maoni yenu.Maana naona kinachoendelea huko Syiria sio salama kabisa.kuna Vita kubwa inanukia.
Inawezekana hata Kuna raia wa Russia wanawaza Kama Mimi.
Inalingana na njaa zenu za chato?Urusi wana njaa kali.Ni sawa na mzazi anayemuuza binti yake kwa bazazi sababu ya njaa!