Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Zinapigwa mda huu
Screenshot_20200228_203131_com.rt.mobile.english.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitajie Muigizaji mmoja maarufu kutoka Ujerumani,Mwanamuziki mmoja maarufu kutoka ujerumani.Nitajie movie moja iliyopendwa Sana hapa duniani au wimbo uliopendwa sn hapa duniani kwa mwaka Jana kutoka German.
Maana yangu ni hivi.
Sio Kama nchi ikiwa Haina vitu ulivyovitaja maana yake iko chini.Je ujerumani sio Tajiri? Mbona Haina filim industry kubwa?
Hata hivyo Ni kutokujua tu kwako.huwezi kulinganisha Entertainment industry ya MAREKANI kuwa sawa na viwanda vyote vya Urusi.Viwanda vya Urusi ni zaidi na vinaiingizia hella nyingi Sana.
Kutengeneza masilaha yote hayo inahitaji fedha nyingi Sana.
Kwani matajiri wanalingana?! Hata Mo naye ni tajiri! Lakin vipi ikimuweka kumuweka kwenye kapu moja na akina bill gate?!
Kama siraha US naye anazitengeneza mno na Russia anatengeneza pia, na wala huku mtaani hawajui hayo mambo yao ya siraha, lakin kitaa hadi kijijini sitimbi hukongwa nyoyo na mziki mzuri wa akina criss brown, Usher, Celine Dione, nk.
Entertainment ya US imeajiri wananchi hadi vijijini, mfano wanaoweka nyimbo kwenye simu, wanaoburn CD, wanaouza t-shirt zenye logo za wasanii, nk. Lakin viwanda vya Urusi havigusi moja kwa moja watu wengi duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
Ndio maana huwa kuna version kwa ajili ya export,sijui hapa russia walikua na maana gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani matajiri wanalingana?! Hata Mo naye ni tajiri! Lakin vipi ikimuweka kumuweka kwenye kapu moja na akina bill gate?!
Kama siraha US naye anazitengeneza mno na Russia anatengeneza pia, na wala huku mtaani hawajui hayo mambo yao ya siraha, lakin kitaa hadi kijijini sitimbi hukongwa nyoyo na mziki mzuri wa akina criss brown, Usher, Celine Dione, nk.
Entertainment ya US imeajiri wananchi hadi vijijini, mfano wanaoweka nyimbo kwenye simu, wanaoburn CD, wanaouza t-shirt zenye logo za wasanii, nk. Lakin viwanda vya Urusi havigusi moja kwa moja watu wengi duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja wala haikua kugusa wala kutogusa mtoa hoja alisema urusi ina viwanda vyakila aina unavyovijua wewe wewe ukasema industry ya music

Kwan kutofika tanzania ndio kutokua na hio industry

Mbna maswali mepesi yanakua yanawapa shida kujibu

Kwamba industry ya US Ipo Juu Hakuna Anaebisha ila ukweli nikwamba hata RUSSIA Wanayo Hio Industry Nandio Ilikua Main Point

Sasa masuala yakuajiri sijui kufika kijijini kusikiliza yameingiaje hapa MKUU[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijitu vingine bwana,yani hapo wewe nae eti umechangia,waswahili ndio maana huwa tunashindwa maswali mepesi tu.umeonesha jinsi ulivyo kilaza.
hivi mimi na wewe nani yuko hoi?kwanza umetumia herufi kubwa isivyostahili,pili umeonesha ujinga wako hadharani kwa kuhusisha fedha na maoni.sasa mtu kutokua na fedha kunamzuia kutazama Al jazeera,au Press TV,au RT,au kusoma Sputnik news,au kusoma habari kupitia Mitandao mbalimbali?
Kati ya mimi na wewe nani yuko hoi? kama mimi niko hoi mfukoni,wewe uko hoi kichwani.
kuna watu wengi hawana hela ya kula lakini kupata habari hawakosi elewa wewe kilaza.
hata hivyo kwa ujinga wako umewezaje kujua kuwa mimi niko hoi,hunijui wala sikujui,hujui niko wapi na ninafanya nini.
Kuchambua mambo ya Urusi wewe kwenu unaona ni Big Deal.?
Hata wazee vijijini wanakaa chini ya mwembe wanasikiliza BBC,DW,VOA,France,etc.
Kwanza napoteza mda wangu kujibizana na wewe usikute tayari ushavuta Ugoro.
Acha kujidhalilisha.
 
Ununuzi wa S400 kwa Uturuki ndio uliopelekea US kufanya cancellation ya kuwauzia F35; kwa sababu hizo hizo awana imani na Uturuki nchi kigeugeu.

US waliona kuna risk Russia wanaweza itumia hiyo fursa kupitia Turkey kuangalia kama kombora lao linainyaka hiyo ndege kwenye radar kirahisi, kuanzia umbali gani na kitendo kinachoweza kuwapa fursa ya kuboresha radar technology.
 
T
Kwani matajiri wanalingana?! Hata Mo naye ni tajiri! Lakin vipi ikimuweka kumuweka kwenye kapu moja na akina bill gate?!
Kama siraha US naye anazitengeneza mno na Russia anatengeneza pia, na wala huku mtaani hawajui hayo mambo yao ya siraha, lakin kitaa hadi kijijini sitimbi hukongwa nyoyo na mziki mzuri wa akina criss brown, Usher, Celine Dione, nk.
Entertainment ya US imeajiri wananchi hadi vijijini, mfano wanaoweka nyimbo kwenye simu, wanaoburn CD, wanaouza t-shirt zenye logo za wasanii, nk. Lakin viwanda vya Urusi havigusi moja kwa moja watu wengi duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania haiwezekani kubeba vitu vya Dunia nzima.Kuna nchi wanatumia bidhaa za kutoka Urusi pia.Pia Kuna nchi zinapata hizo Entertainment products Kama movies na music kutokea Urusi.Shida ninayoiona Ni Wao Urusi kutosambaza bidhaa zao Hadi huku Kwetu,nadhani hayo yalikua ni mapungufu ya Ukomunist.Hata wachina walikua hivyo,bidhaa zao wanauza ndani tu,walipofungua masoko bidhaa zao zilienea dunia mzima.
 
Bongo bana yan mtoa mada ana akili kuliko FSB na SVR

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Mkuu unaelewa maana ya maoni?
Mimi hayo Ni maoni yangu,lakini wachangiaji wamekuja na maoni yao.
Wewe sio muumini wa mijadala?
Unajua hata ukifungua Social media za nje wanaweza kua na maoni kama yangu.
 
Back
Top Bottom