Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Ukweli hasa umeandika pumba
Vijitu vingine bwana,yani hapo wewe nae eti umechangia,waswahili ndio maana huwa tunashindwa maswali mepesi tu.umeonesha jinsi ulivyo kilaza.
hivi mimi na wewe nani yuko hoi?kwanza umetumia herufi kubwa isivyostahili,pili umeonesha ujinga wako hadharani kwa kuhusisha fedha na maoni.sasa mtu kutokua na fedha kunamzuia kutazama Al jazeera,au Press TV,au RT,au kusoma Sputnik news,au kusoma habari kupitia Mitandao mbalimbali?
Kati ya mimi na wewe nani yuko hoi? kama mimi niko hoi mfukoni,wewe uko hoi kichwani.
kuna watu wengi hawana hela ya kula lakini kupata habari hawakosi elewa wewe kilaza.
hata hivyo kwa ujinga wako umewezaje kujua kuwa mimi niko hoi,hunijui wala sikujui,hujui niko wapi na ninafanya nini.
Kuchambua mambo ya Urusi wewe kwenu unaona ni Big Deal.?
Hata wazee vijijini wanakaa chini ya mwembe wanasikiliza BBC,DW,VOA,France,etc.
Kwanza napoteza mda wangu kujibizana na wewe usikute tayari ushavuta Ugoro.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona huna weredi kabisa. Ubalozi wa Marekani mbona wa kawaida sana. Na kingine ujue ubalozi unakuwa mkubwa au kuwa na shughuli nyingi kulingana na diplomasia ya nchi ilivo na mahusiano baina ya nchi hizo. Huwezi taka eti ubalozi wa Tanzania nchini Vietnam uwe mkubwa kuliko ubalozi wa Tanzania nchini China, inategemea sera zao na mahusiano vikoje. Watu kama wewe ndo mnapima utajiri wa mtu kwa nyumba anayoishi. Tumia vigezo vyenye akili kufanya justification ya unachokisema.
Umenisaidia sana kumpa jibu. Nilitaka kumpa jibu nikaona niache tu maana comment yake hakuhusisha ubongo wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Let's make good arguments here, mrusi ana kiwanda cha kutengeneza iPhone?

Refer your words up there
Iphone kampuni ya MRUSI ?!

Ama Huko Ilipo Popote Duniani Inakua Oparated Nanani


Mbna Unahoja Dhaifu!?

Ulitakiwa Uulize Kama RUSSIA Anakiwanda Chakutengenezea Cm !? Sio Kutengeneza Iphone

Kwan Duniani Iphone pekeake Ndio Cm ?!..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe una akili kuwashinda warusi?.Warusi wanajua kabisa unavyomizia mtu silaha basi kuna uwezekano mkubwa ikafika kwenye mikono sio salama maana kuna adui kuteka silaha,kuna mapinduzi ya kikeshi na mambo mengine mengi tu.kwa iyo mpaka wanauza basi washanjiandaa kwa mamboengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweli mkuu, njaa itawamaliza Warusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja wala haikua kugusa wala kutogusa mtoa hoja alisema urusi ina viwanda vyakila aina unavyovijua wewe wewe ukasema industry ya music

Kwan kutofika tanzania ndio kutokua na hio industry

Mbna maswali mepesi yanakua yanawapa shida kujibu

Kwamba industry ya US Ipo Juu Hakuna Anaebisha ila ukweli nikwamba hata RUSSIA Wanayo Hio Industry Nandio Ilikua Main Point

Sasa masuala yakuajiri sijui kufika kijijini kusikiliza yameingiaje hapa MKUU[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ambao hamjaona move za Russia basi mjue hamjaniwekea muzi nzur na kali kali jaribun kutafuta mbona mtaelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saudia wauliziwa ndege zile F-35 ambazo Trump alikuwa anazipamba kuwa hata rada haiwezi kuziona lakini kule Yemeni zilidondoshwa na waasi
Hakuna ndege za F-35 nchini Saudi Arabia.

Ndege pekee za mapambano za Kimarekani zinazotumika na Air force ya Saudia ni F-15 Eagle ambazo ni non-stealth.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iphone kampuni ya MRUSI ?!

Ama Huko Ilipo Popote Duniani Inakua Oparated Nanani


Mbna Unahoja Dhaifu!?

Ulitakiwa Uulize Kama RUSSIA Anakiwanda Chakutengenezea Cm !? Sio Kutengeneza Iphone

Kwan Duniani Iphone pekeake Ndio Cm ?!..

Sent using Jamii Forums mobile app
I knew you gonna answer like this.
Nakurudisha nyuma ulisema hivi

Urusi ana karibu viwanda vyote alivyonavyo Mmarekani.

Swali langu liko palepale Mrusi anakiwanda cha iPhone? Mchina anacho
 
Hivi kwa akili yako unaweza kuuziwa kitu cha hatari kama silaha ambayo iko genuine 100%? Kawaulize Saudia wauliziwa ndege zile F-35 ambazo Trump alikuwa anazipamba kuwa hata rada haiwezi kuziona lakini kule Yemeni zilidondoshwa na waasi
Nothing is genuine 100% change that so as i can continue arguing with your rubbish
 
Wewe una akili kuwashinda warusi?.Warusi wanajua kabisa unavyomizia mtu silaha basi kuna uwezekano mkubwa ikafika kwenye mikono sio salama maana kuna adui kuteka silaha,kuna mapinduzi ya kikeshi na mambo mengine mengi tu.kwa iyo mpaka wanauza basi washanjiandaa kwa mamboengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya policy ya kuuza silaha nje ya Russia ni
1.Kutakua na silaha bora kushinda inayouzwa
2.Silaha inayouzwa ni controllable kwa upande wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ambao hamjaona move za Russia basi mjue hamjaniwekea muzi nzur na kali kali jaribun kutafuta mbona mtaelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu miliwahi kuona movie moja ya Russia,Binti mmoja wa Kirusi alikua Sniper aliua wanajeshi wengi Sana wa German,ilikua imetulia Sana jina lake silijui.
 
Ukweli hasa umeandika pumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipochokozwa ulikaa kimya,umeshindwa hata kumlaumu tu mchokozi wangu,amenidhihaki,amenidhalilisha,amenikashifu na kunifedhehesha umekaa kimya tu,umeshindwa hata kumuonya juu ya alivyonifanyia, nimejitetea unasema nimeandika pumba.Haya bana sijibu tena.Namuachia Mungu.
 
Back
Top Bottom