Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Anachambua kwa kina"ila jamaa hela atakuwa nayo maana ni mwana jf

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha hahaha hela nitoe wapi Mkuu!?
Nimetoa mtazamo wangu tu.Humu JF Kuna wataalamu wa kila fani.nilijua tu kuwa Kuna watu wataniondolea kiu ya maoni yangu.
Nipe Nondo zako Mkuu.
Ila bado Nina wasiwasi huko the dako hii Vita itachukua sura mpya,NATO wamekutana kujadili hatima ya mwanachama wao.Turky.Na Turkey amekwisha fungulia wakimbizi wameisha Anza kuingia Bulgaria.Europe wameanza kutafakari Jambo hilo.lnawezekana NATO wasiingie kijeshi lakini vipi wakimpa Turkey sophisticated weapons kumpiga Urusi Hali itakuaje?
 
MKUU Kwan Unahisi Wakati RUSSIA Anayauza Hayo Ma S Hakujua Kama TURKEY Ni Mwanachama Halali Wa NATO !?

Jamaa Walitazama Mpaka Kesho Kutwa Yao Kabla Yakufikia Maamuzi Yakuyauza Hayo Madude

Wafanye Watakavyoyafanya Wakiamuliwa Kuchapwa Wanachapwa Mpaka wanakaa Pembeni[emoji4][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Machuma chuma haya yasiwatishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I knew you gonna answer like this.
Nakurudisha nyuma ulisema hivi



Swali langu liko palepale Mrusi anakiwanda cha iPhone? Mchina anacho
Mkuu unajua maana ya neno ANA KARIBU?
Maana yake sio vyote.Lakini anavyo viwanda Kama vya Marekani.
Nadhani hiyo imekaa sawa.
Kwa maana hiyo unakubaliana na Mimi kuwa URUSI pia, ana viwanda ambavyo Marekani Hana?
Na unakubaliana na Mimi kua Marekani hununua bidhaa zilizotengenezwa na viwanda vya Urusi?
 
France aliiuzia Argentina makombora ya Exocet ya kutungua meli. Argentina ilivoingia vita vya Falkland na Uingereza, France akazuia kutoa codes za makombora na hivo hayakutumika zaidi.
Iran kipindi cha Shah iliuziwa F-14 Tomcats, mapinduzi ya kiislamu yalivyotokea ikazuiliwa kupata supply na maintenance. Hata kwenye vita na Iraq ilishindwa kuzitumia ipasavyo.

Mfano S-400 inabidi uwe unanunua yale makombora yake kutoka Urusi sasa ukivurugana nao watakuuzia vipi. Na pia Turkey anajua kuwa NATO hawatompa air defence system hivyo hawezi kucompromise system za Russia, najua lazima kwenye mkataba wa kuuziana kuna makubaliano ya kuzuia system hiyo usikaguliwe na wengine.
Na ikumbukwe silaha zinazouzwa zinakuwa ni export version ya silaha inayotumika na nchi. Kwahiyo kuna tofauti kidogo kwenye mifumo.

Mwisho kabisa. Wakileta jeuri hizo batteries zitaharibiwa na jeshi la Urusi lenyewe, kinyago ukikichonga wewe hakikutishi.
Da uchambuzi mrua kabisa,umekata kiu yangu kabisa.
 
The following export product groups represent the highest dollar value in Russian global shipments during 2018. Also shown is the percentage share each export category represents in terms of overall exports from Russia.

Mineral fuels including oil: US$237.6 billion (52.9% of total exports)

Iron, steel: $23.4 billion (5.2%)

Cereals: $10.5 billion (2.3%)

Gems, precious metals: $10.1 billion (2.2%)

Machinery including computers: $9.2 billion (2%)

Wood: $9 billion (2%)

Fertilizers: $8.2 billion (1.8%)

Aluminum: $6.6 billion (1.5%)

Copper: $5.4 billion (1.2%)

Electrical machinery, equipment: $4.9 billion (1.1%)

Kingine, mauzo ya Russia kwa Africa ni kama 3% tu ya exports zote. Na hizo ni kwa Algeria, Morroco, Egypt na nchi zenye mazoea na manunuzi uko. Wewe mbongo ni vigumu ukutane nazo lakini mifumo ya kompyuta iyo ndo waweza: eg.Telegram na Karspersky.
Da hii nayo Ni fact ambayo nilikua siijui.Asante ndugu kwa ufafanuzi huu,nimejifunza Jambo hapa.
 
Ha ha hahaha hela nitoe wapi Mkuu!?
Nimetoa mtazamo wangu tu.Humu JF Kuna wataalamu wa kila fani.nilijua tu kuwa Kuna watu wataniondolea kiu ya maoni yangu.
Nipe Nondo zako Mkuu.
Ila bado Nina wasiwasi huko the dako hii Vita itachukua sura mpya,NATO wamekutana kujadili hatima ya mwanachama wao.Turky.Na Turkey amekwisha fungulia wakimbizi wameisha Anza kuingia Bulgaria.Europe wameanza kutafakari Jambo hilo.lnawezekana NATO wasiingie kijeshi lakini vipi wakimpa Turkey sophisticated weapons kumpiga Urusi Hali itakuaje?
Hakuna Turkey Atakachopeww Zaidi Ya Kuwataka Wafanye Mazungumzo tu

Naikitokea jamaa akapewa Basi Wanatangaza Vita Rasmi Baina Ya RUSSIA na NATO

Ila Tuupe Muda Nafasi Yake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
J
Nendeni mkaangalie tu ubalozi wa Urrudi pale S

Acha upuzi. Sasa hivi US yupo Syria kwa mabavu umemsikia Russia anapiga bomu pale. Nako wachache sana.

Vip uliiona ile clip wa Russia wame pigwa block kule syria wakaambiwa warudi walikotoka. Ipo youtube.

Naona naongea na mtu ambae hajui nasema nini. Mi nimeingia pale Ubalozini kwao Selader Bridge O^bay Russia njaa tupu.

Halafu tullingia kuchukua Visa pale msasni ililokuwa Drive Inn msasani. Tofauti kubwa mchana na Usiku.

Bye for now & signing out naona napoteza muda wangu tu
Ha ha haaa,Ndugu unazungumzia Russia ku pogwa block huko njiani Syiria,Kama Marekani alikua amewahi kisima Cha mafuta fulani huko Syiria Urusi hawezi kumtoa,halikadhalika Urusi akiwahi kisima cha mafuta huko Syiria Marekani hawezi kumtoa.Hali iliyotokea inafanana na hivyo nilivyokuambia.Urusi walikua wanaelekea kwenye eneo la kisima Cha mafuta lililokaliwa na Marekani,Marekani kweli waliwablock Warusi.
Sasa nakuuliza hivi Utakubaliana na Mimi kuwa URUSI ameiblock kabisa Marekani na NATO nchini SYIRIA?
Unajua kuwa Marekani ilikwenda Full Syiria kuwasaidia waasi kumng'oa Assad?
Unajua kuwa Marekani wameondoa majeshi Syria na Assad bado yupo?
Unafikiri Marekani kaondoka hivihivi tu.?
Hapana bwana Mrusi katibua mipango yote ya Yankee.
Kwa lugha rahisi Mrusi Kam block Marekani nchini Syiria sio barabarani tu.Ni Syria yote.
 
K
Mrusi movie zake teknolojia yake ipo vizuri naye kama Hollywood! Niliona movie yao ya Allien wanavamia Dunia.
Kosa kubwa analofanya Urusi ni kutosambaza bidhaa zake,nadhani athari na akili za ukomunist bado haijawatoka.
 
Jamaa wanaitwa waomevu kwasababu tofauti na RUSSIA Kwamaana RUSSIA Yupo Kijeshi SYRIA Kwamualiko wa Al Assad
Sasa kwanini marekani Akifanya hivyo anaitwa muonevu?.


Sent using Jamii Forums mobile app
US Alienda SYRIA LIBYA IRAQ AFGHANISTAN Kwamualiko wanani nahuko kote alipoenda maraisi ama viongozi wamataifa husika hawajabakia salama.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
T
Tanzania haiwezekani kubeba vitu vya Dunia nzima.Kuna nchi wanatumia bidhaa za kutoka Urusi pia.Pia Kuna nchi zinapata hizo Entertainment products Kama movies na music kutokea Urusi.Shida ninayoiona Ni Wao Urusi kutosambaza bidhaa zao Hadi huku Kwetu,nadhani hayo yalikua ni mapungufu ya Ukomunist.Hata wachina walikua hivyo,bidhaa zao wanauza ndani tu,walipofungua masoko bidhaa zao zilienea dunia mzima.
Mkuu unataka kusema Urusi kuna akina Jay z like lakin huku bongo ndo hatuwajui?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja wala haikua kugusa wala kutogusa mtoa hoja alisema urusi ina viwanda vyakila aina unavyovijua wewe wewe ukasema industry ya music

Kwan kutofika tanzania ndio kutokua na hio industry

Mbna maswali mepesi yanakua yanawapa shida kujibu

Kwamba industry ya US Ipo Juu Hakuna Anaebisha ila ukweli nikwamba hata RUSSIA Wanayo Hio Industry Nandio Ilikua Main Point

Sasa masuala yakuajiri sijui kufika kijijini kusikiliza yameingiaje hapa MKUU[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
'Bongo tunayo Bongo movie kama US', Hollywood na bongo movie wapi na wapi! Nadhan umenielewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wanaitwa waomevu kwasababu tofauti na RUSSIA Kwamaana RUSSIA Yupo Kijeshi SYRIA Kwamualiko wa Al Assad US Alienda SYRIA LIBYA IRAQ AFGHANISTAN Kwamualiko wanani nahuko kote alipoenda maraisi ama viongozi wamataifa husika hawajabakia salama.....

Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa kasema Uwepo wa Urusi Syria ni mkakati kijeshi,ilo la kualikwa ni jambo jingine.

sasa kama ni mkakati wa kijeshi,Marekani nae anajeshi na ana mikakati yake pia,sasa kwanini marekani Akifanya hivyo Anaitwa jina tofauti na wengine?.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Erdogan hajaamua kuingia full fledged war na Syria.Siku akiamua nafikiri mazingira ya vita yatabadilika kabisa...Watu wanawachukulia powa sana Uturuki..
 
Urusi yawaonya tena Uturuki iondoke kwenye mipaka ya Syria na Warudi kwao Uturuki kuna mashambulizi anataka kufanya Russia mwenyewe, taari Su-25 kama 30 zinajitaarisha na mashambulizi


#BREAKING: Minutes ago, #Russian officials warned #Turkish government to not have #Turkish Army troops outside their observation posts in #Idlib, #Syria because they will be targeted by #Russia Air Force!

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umewaacha ndugu zako waturuki sasa unaishabikia Russia😀😀😀😀.
 
Back
Top Bottom